Nawasalimu wote. Habari ya wakati huu?!. Moja kwa moja kwenye mada.
Ujinga sio tusi, bali ni hali anayoweza kuwa nayo mtu yeyote, wakati wowote.
Ukiambiwa wewe ni mjinga usilaumu kua umetukanwa bali jitafakari.
Mohamed Dewji (Mo) aliwahi kusema "unaweza kua mjinga kwa kufikiri ujinga."...