kampeni ccm 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Oscar Nyerere (Mchekeshaji): Wanaotuchochea tufanye vurugu wapo nje ya nchi

    Msanii wa Vichekesho Oscar Nyerere amewahimiza Watanzania Kuilinda Amani ya nchi hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi Mkuu akisisitiza kupuuzwa kwa wanaharakati wanaochochea kuwepo kwa Vurugu. Akizugumza na Wanahabari katika Uzinduzi wa Kampeni za mgombea ubunge kupitia CCM Jimbo la Ikungi...
  2. W

    GE2025 Hatimae CCM wameacha kutumia Youtube channel ya Ikulu kurusha kampeni zao

    Baada ya CCM kula spana za kutosha kuhusu kutumia akaunti rasmi za Seriklai ikiwemo Youtube channel ya Ikulu naona somo limewaingia. Jana Septemba 18, 2025 wakati mama akifanya kampeni zake Nungwi, Zanzibar walikuwaa live kupitia Youtube channel ya chama chao.
  3. R

    GE2025 Paresso: Samia ameonesha jitihada kubwa za kupambana na maadui wakubwa wa nchi hii ambao ni maradhi, ujinga na umasikini

    Kuna wakati hawa Wanasiasa wanatakiwa kuchuja maneno kuhusu mambo wanayoyanadi kwa wananchi kabla ya kukurupuka na kuropoka vitu ambavyo kiuhalisia wananchi tunajua na tunaviona Kama ni umasikini ni tatizo kubwa kwenye familia na imeongezeka kwa awamu hii ya uongozi ambapo deni la Taifa pia...
  4. R

    GE2025 Mwenyekiti wa TANECU, Karimu Chipola amuombea kura Mgombea Urais CCM Rais Samia

    Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Wilaya ya Tandahimba na Newala (TANECU LTD) Karimu Chipola amemuombea kura Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana na mchango wake mkubwa katika sekta ya kilimo, hususan zao la korosho Akizungumza katika uzinduzi wa...
  5. R

    GE2025 Mchengerwa: Miaka mitano ijayo ni ya Mapinduzi Kiuchumi kumjenga kila mwana Rufiji

    Mgombea Ubunge wa Rufiji kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mohamed Mchengerwa anaweka wazi kuwa endapo akipewa ridhaa na Wananchi wa Rufiji kuwa Mbunge katika awamu ijayo ya Miaka Mitano ambapo ameahidi ongezeko la Viwanda ili kukuza Ajira kwa Vijana Mjini hapo.
  6. R

    GE2025 Esther Bulaya: Nataka nisimamie Ujenzi barabara 25KM, Stendi na Soko la kisasa yenye hadhi ya Mji wa Bunda

    Mgombea Ubunge katika jimbo la Bunda Mjini Mkoani Mara Esther Bulaya amezindua kampeni za ubunge katika jimbo hilo huku akitaja vipaumbele mbalimbali atakavyohakikisha anasimamia baada ya kuchaguliwa kuwa Mbunge
  7. R

    GE2025 Wananchi Kigoma: Samia Mitano tena inaonekana michache, Tungempa Umalikia moja kwa moja

    Mgombea Urais Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa leo kufanya Kampeni ya kuomba kura Kigoma Mjini, ambapo kupitia Mahojiano ya Wasafi TV baadhi ya wananchi wa Kigoma wameeleza kupendezwa na mgombea huyo wakidai kauli mbiu ya mitano tena haitoshi kuwa ingefaa...
  8. R

    GE2025 Abubakar Asenga: Awamu hii mkinichagua ni mtaa kwa mtaa barabara za changarawe

    Mgombea ubunge wa jimbo la Kilombero kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Abubakar Asenga ameahidi kutatatua changamoto ya miundombinu ya barabara za mitaa kwa kupata kilomita 10 za kiwango cha changarawe kila kata, ahadi hizo ametoa kwa wananchi wa jimbo hilo na kuomba apewe ridhaa ya kuendelea...
  9. R

    GE2025 Mwigulu: Mkinipatia ridhaa nitapasua barabara na nitashusha shule mpya

    Mgombea ubunge jimbo la Iramba Mashariki kupitia Chama Cha Mapinduzi Dkt Mwigulu Lameck Nchemba amesema kuwa endapo akipata ridhaa ya kuwa Mbunge kwa awamu nyingine ataongeza na kuboresha miundombinu ya Elimu, Afya, Barabara pamoja na Maji ili wananchi Wa wilaya ya Iramba Mkoani Singida...
  10. R

    GE2025 Miss Tanzania wa mwaka 2022 na Wadudu wakizisaka kura za CCM Arusha

    Harakati za kusaka kura za Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 Miss Tanzania 2022 Halima Kope na wadudu wanakiwasha
  11. R

    GE2025 Mapokezi ya Mgombea mwenza urais CCM Balozi Emmanuel Nchimbi Longido- Arusha

    Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amepokewa kwa kishindo alipowasili kwenye uwanja wa Polisi,Longido kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi kwenye mkutano wa kampeni leo Ijumaa Septemba 12,2025...
  12. R

    GE2025 Rais Samia: Ninaahidi kuidhibiti Rushwa kuleta Maendeleo zaidi

    Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema mafanikio yaliyopatikana katika sekta mbalimbali nchini yametokana na usimamizi imara wa mapato ya serikali yanayotokana na kodi za wananchi na mikopo kutoka vyanzo mbalimbali. Akizungumza leo, Septemba 10...
  13. Just Pray

    GE2025 Samia aahidi ruzuku za Mbolea, chanjo za mifugo

    Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, akiwa Igunga mkoani Tabora leo, Jumatano Septemba 10, 2025, ametoa wito kwa wafugaji wa mkoa huo kupeleka mifugo yao kwenye chanjo na utambuzi ili kuiweka Tanzania katika viwango vinavyokubalika kimataifa katika soko la mifugo...
  14. R

    GE2025 Kikwete: Sitamzuia Mke wangu kufanya kazi ya Siasa

    Rais mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete, amesema hana pingamizi lolote kwa mkewe, Salma Kikwete kuendelea kufanya kazi za uwakilishi bungeni Amewataka wananchi wa Jimbo la Mchinga, lililopo mkoani Lindi, kumpigia kura ili aendeleze alipoishia katika kipindi kilichopita. Salma amelitumikia jimbo...
  15. Common Folk

    GE2025 Kenani Kihongosi: Kusafirisha watu ni hoja dhaifu hatuna muda kuijibu

    Hapa inaonekana hakuna proper communication flow kati ya wana kampeni. Ina maana huwa hawafanyi briefing kuambiana nini cha kujibu na nini siyo cha kujibu!
  16. Waufukweni

    GE2025 Dkt. Samia: Nipeni tena urais, migogoro ya ardhi itakoma

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendeleza programu ya "Tutunzane" ili kukomesha migogoro ya ardhi kati ya wafugaji na wakulima, endapo atachaguliwa kuwa Rais kwa awamu nyingine. Akizungumza na wananchi wa...
  17. Erythrocyte

    GE2025 Kampeni za Mgombea Urais wa CCM zapotea Mitandaoni, inadaiwa Chanzo ni Bomu la Polepole

    Kwa Mara ya kwanza tangu siasa za mitandaoni zianze, Kitengo cha Propaganda Cha CCM kinaogopa kuleta habari za Mgombea Urais Samia Suluhu Hassan Mitandaoni Taarifa fupi ya timu yetu ya ufuatiliaji inaeleza kwamba, Sababu Kuu ni Kombora Takatifu Alilolivurumisha Mzalendo Polepole, ambalo...
  18. Mwanongwa

    GE2025 Ni Kwanini Rais aliyepo Madarakani anafanya kampeni wakati bado Yuko Ikulu?

    Habari ndugu zangu, hivi huu ndiyo uchaguzi wa haki na tunategemea Kuna siku upinzani utakuja kushika nchi? Yaani rais anatoka Ikulu anaenda Kwenye kampeni Kisha anarudi tena Ikulu kupumzika. Kwanini kipindi kama hichi Cha kupambania uongozi Nchi asikabidhiwe mkuu wa majeshi mpaka pale...
  19. Mshana Jr

    GE2025 Kuna kila dalili CCM wakakatisha kampeni. Sababu ni hizi hapa

    1. Kutokuwa na hoja makini na jadidi. Wamebaki na vijembe kejeli na majigambo 2. Mafunuo ya Polepole yanawabagaza vibaya sana na kuwaacha uchi.. Anaamsha hasira ya watanganyika 3. Wasombwaji kwa maroli kukaidi 4. Zomeazomea.. Ikifanikiwa kwenye kampeni moja tu huko kwingine itakuwa ndio ada...
  20. Waufukweni

    GE2025 Prof. Kabudi: Dkt. Samia amejaliwa maono makubwa

    Prof. Palamagamba Kabudi, Mgombea Ubunge Jimbo la Kilosa akizungumza kwenye Mkutano wa Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Morogoro leo Agosti 29, 2025
Back
Top Bottom