Wakuu,
Inabidi wanaosimamia kampeni za Mgombea urais CCM wawewanamkaririsha vizuri hotuba maana anachapia sana.
Mgombea unachanganya maeneo ya nchi yako tena ndo upo ziara? hii ni aibu sidhani kama anaelewa anachohutubia
🔹 Magonjwa yenye gharama kubwa mara nyingi ni kama vile:
Saratani (cancer)
Magonjwa ya moyo
Upandikizaji wa figo na matatizo ya figo
Upasuaji mkubwa
Magonjwa ya kurithi na yasiyoambukiza ambayo yanahitaji tiba ya muda mrefu
🔹 Umuhimu wake kwa jamii:
1. Kupunguza vifo – wagonjwa wengi...
Kwa ufupi; Samia haoni matatizo ya kitaifa; Usalama na utekaji, Rushwa na wizi wa mali za nchi, Huduma duni za elimu na afya.
Nilipoona kampeni zinaanza na jukwaa kupambwa na watu wapuuzi, nikajua hakuna kitu hapo! Wa-TZ tuendelee kuwa na uongozi wa kipuuzi. Huwezi kuanzisha kampeni ukiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.