jwtz

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ni jeshi la ulinzi wa wananchi nchini Tanzania linalolinda na kutetea maslahi ya Taifa la Tanzania.
  1. H

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Wananchi ni muhimu sana liliishi jina lake

    Mwalimu Nyerere wakati anabadilisha jina la jeshi kutoka East Africa Rifles na kuwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, alisema kuwa jeshi hili ni Jeshi la Wananchi wa Tanzania. Jukumu lake la msingi ni kuwalinda Watanzania na kuilinda katiba ya nchi. Kwa nyakati kama hizi ambazo dhuluma dhidi ya...
  2. Msanii

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Amri imetoka juu. Wastaafu JWTZ wanaitwa kuongeza reinforcement

    Wanabodi Nitaendelea kuwapatia updates ya yanayojiri baada ya Captain Tesha kusema mazito kuelekea 29 Oktoba Maandamano Jana, usiku vikao vimefanyika vya ngazi mbalimbali ambapo amri moja imetoka na kudemand utekelezwaji wa haraka. Amri Wastaafu wote wa JWTZ wameitwa kambini. (Wastaafu wa...
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Habari njema ni kuwa JWTZ ndio Taasisi pekee ilobakia yenye Kibali Cha Wananchi Nchi nzima na inayoungwa Mkono na Ulaya, Marekan na Nchi Wahisani.

    Lolote lile litakalifanyoka na Vijana wa JWTZ wanaokerwa na Utekaji, Uuaji, Ufungwaji wa Makanisa, Majaribio ya Kuua Viongozi wa Dini ya Ukristo, kubagaWa Kwa Rasimali za Nchi n.k ,lolote lile liyakalifanywa na Wazalendo Hawa. NCHI NZIMA ITAWAWAFANYIA SHEREHE, JUMUIYA ZA KIMATAIFA...
  4. ngara23

    JamiiForums Tanzania Sina shaka na uzalendo wa CDF General Jacob Mkunda na JWTZ yake

    Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeendelea kuwa nguzo ya ulinzi, amani na uzalendo wa kweli kwa taifa. Ni taasisi yenye heshima kubwa, ndani na nje ya mipaka yetu. Nidhamu yake, utii kwa taifa, na msimamo wa kutanguliza maslahi ya Watanzania ni mambo yanayolifanya JWTZ kuwa taasisi ya...
  5. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Muda huu kuna Utekaji wa kutisha wa Wanachadema unaendelea nchi nzima, JWTZ sitisheni kampeni na chukueni nchi

    Kule Bulyanhulu jana kuna utekaji wa vijana 3 umefanyika Jana pia pale Ikungi kiongozi wa Chadema alitekwa. Leo Njombe katekwa Katibu wa Bavicha. Jeshi letu pendwa JWTZ, Kiapo chenu kikuu ni kuwalinda Wananchi wa Tanzania. CCM wana kiburi cha uzima.Hawasikii maonyo na sasa wanazunguka nchi...
  6. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Swali kwa JWTZ: Vyombo vya usalama kufanya gwaride mitaani kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi siyo siasa?

    Mbona kozi zingine za majeshi huwa hamfanyii mitaani, huwa mnaenda kwenye maeneo maalumu yaliyojificha mnafanya kozi zenu huko kimya kimya bila kuleta bughudha kwa raia wa kawaida? Kwa nini kipindi hiki cha uchaguzi mkuu mnafanya magwaride mtaani, tena mmeungana majeshi yote, na hiyo yote baada...
  7. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) latoa ufafanuzi kuhusu yanayoendelea mtandaoni

    Zingatia: "Hoja hizo zinatolewa na watu waliopo mazingira ya kijeshi" Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linautaarifu umma wa Watanzania kuwa kumejitokeza baadhi ya watu wanaotumia mitandao ya kijamii kuweka maudhui yanayochochea kuingiza Jeshi katika...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Capt Tesha ni Mwanajeshi Active wa JWTZ, ukweli huu hapa, Wananchi tumlinde na tujitokeze kwa wingi kwenye maandamano

    Watu Wema, Wazalendo, wapenda Haki wamo Majeshini kwetu Tujitokeze Kwa Wingi, Kwa kadiri tutakavyokua wengi, tutawapa sababu Wanajeshi Hawa kusimama na Wananchi!!. Soma Pia: Mwanajeshi, Kapteni Tesha ajitoa muhanga kuongea hatari ya Taifa linapoelekea A1 maana yake ni ACTIVE SOLDIER. Zile...
  9. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Nimeshangazwa na mno watu kushangilia hotuba ya Captain Tesha wa JWTZ katika mitaa ninayoishi. Wengine wameamini JWTZ imechukua nchi

    Ni wazi sana sasa kuwa kumbe wananchi wanasubiri kwa hamu kubwa kupata habari njema za anguko la serikali hii ya CCM. Captain Tesha, askari wa JWTZ alikuwa amesubiwa kwa hamu kubwa asikike... All in all, ni kuwa binafsi sikuwa na hili wala lile. Nimetoka kwenye mihangaiko yangu ya kutafuta...
  10. Ritz

    JamiiForums Tanzania Tesha ni kanjanja tu hakunaga mwanajeshi wa hivi JWTZ

    Wanaukumbi. (✍️ na mchambuzi wetu) TESHA NI KANJANJA TU HAKUNAGA MWANAJESHI WA HIVI JWTZ Nimemsikiliza huyu mtu aliyejivalisha nguo za JWTZ na anajiita Kepteni Tesha nimebaki najiuliza maswali mengi sana kama hii ndiyo aina ya wanajeshi wetu basi tuna wanajeshi vilaza sana kwenye JWTZ...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ukiachilia Mbali Kutisha tisha, JWTZ haliwezi kamwe kugeuza Bunduki zake dhidi ya Raia ! Tujitokeze wengi sana katika Maandamano!!

    Gen Z na Watanzania wote ,hili nawahakikishia 100% hakuna Jeshi la Ulinzi liwezalo FYATUA RISASI zake dhidi ya Wananchi !!. Infact wanachokifanya ni kututisha, Kwani ni mara ngapi wakati wa Uchaguzi, Ma Vifaru yao huzagaa zagaa Barabarani ?. Mbinu wanayotumia CCM ni kuzijaza Barabara na...
  12. H

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Harakati za kutafuta mpaka kuandikishwa JWTZ

    Habarini ndugu ? Ninawashirikisha baadhi ya harakati nilizofanya katika kutafuta kuandikishwa na kuwa askari JWTZ. Ni ndoto yangu tangu nikiwa mdogo kiumri kuwa askari wa JWTZ hususa ni kuwa komandoo. Baada ya kuhitimu kidato cha nne nilitaka kwenda jeshini wazazi wangu wakanikatalia wakasema...
  13. Msanii

    JamiiForums Tanzania Tukumbushane: Dhima, Dira na Majukumu ya JWTZ

    Niwatakie siku yenye baraka tele
  14. Damaso

    JamiiForums Tanzania JWTZ ni kwamba mnafanya maigizo ama?

    Wakati dunia inazungumza kuhusu vita vya kisasa vinavyotumia teknolojia ya hali ya juu, jeshi la Tanzania bado limebaki nyuma likifanya mazoezi yasiyo na tija. Badala ya kuwekeza kwenye zana za kivita za kisasa na mbinu za kijeshi zinazolingana na zama hizi, mara nyingi wanajeshi huonekana...
  15. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Traore Mwanajeshi aliyeamua Kulinda Rasilimali za Nchi yake !! JWTZ kikatiba Ina WAJIBU huo, shuhudia za Polepole ,nalitegemea Jeshi lichukue Hatua !

    Inawezekana kabisa Watu wameridhika kwakua wanaishi vizuri kupitia Wana mtandao. KOSA kubwa tunalolifanya kama Nchi ni kutokuwaza THAMANI YA RASILIMALI ZETU MIAKA MICHACHE IJAYO !!. Katika Wakati ambao Thaman ya Rasimali zetu itakua juuu zaidi, ndio wakati ambao Serikali itakua Haina chochote...
  16. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Majukumu ya TAKUKURU yahamihishiwe Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ)

    Wakuu asalaam ! Kwa mujibu wa sheria, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) iliundwa kwa lengo la kuchunguza, kuzuia na kupambana na vitendo vya rushwa nchini Tanzania. Inatakiwa iwe nguzo ya haki na mwanga wa matumaini kwa kila raia anayetafuta msaada dhidi ya dhuluma na...
  17. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Urusi iliivunja KGB na kuunda Shirika Jipya la FSB. Tanzania TISS ivunjwe na jukumu wapewe MI chini ya JWTZ huku TISS ikiundwa upya.

    Kwa hali iliyopo sasa nchini Tanzania hatuna budi kufanya kama walivyofanya Urusi baada ya kuanguka kwa Shirikisho la Kisovieti (USSR). Inakumbukwa baada ya kuanguka kwa shirikisho hili Urusi waligundua kuwa moja ya sababu kuu ya kufeli wa USSR ilikuwa ni udhaifu mkubwa sana kwenye Shirika lao...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Wazalendo ndani ya JWTZ, Polisi, Usalama tuokoe nchi yetu wekeni haki mbele yenu kwa Tanzania

    Wazalendo ndani ya JWTZ, Polisi, Usalama tuokoe nchi yetu wekeni Haki mbele yenu kwa Mama TZ Hatuombi upendeleo lakini fanya haya machache tu hapa ndani ya uwezo wako 1. Tenda haki kama kiapo chako kinavyosema 2. Usipendelee mtu yeyote kwasababu za kisiasa 3. Sema mabaya kama unafahamu usione...
  19. baro

    JamiiForums Tanzania Je JWTZ wako tayari kumlinda aliyevunja Katiba?

    Ndugu Wana ukumbi, Nina swali kwenu, Je JWTZ na vyombo vingine vya ulinzi vinaweza kula kiapo cha kumtumikia na kumlinda Rais aliyeingia madarakani kwa kuvunja Katiba ya nchi? Wakati wao huapa kuilinda Katiba ya nchi?
  20. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania JWTZ lipewe mradi wa Mabus ya Mwendo Kasi liuendeshe , Likopeshwe MaBus , hapatakua tena na Uhuni kama huo unaoendelea !!.

    Kuna Crisis ya makusudi kabisa inatengenezwa na Wahusika wa Mradi huo wakishirikiana na Wamiliki Binafsi wa Magari watoto Huduma za Usafiri !!. Ila Kukomesha Uhuni huo, ambao ni pamoja na Uharibifu wa Magari Kwa njia za Kihuni , JWTZ lipewe Fursa hiyo!! Naamini kupitia JWTZ Huduma...
Back
Top Bottom