jobless

Unemployment, according to the OECD (Organisation for Economic Co-operation and Development), is people above a specified age (usually 15) not being in paid employment or self-employment but currently available for work during the reference period.
Unemployment is measured by the unemployment rate, which is the number of people who are unemployed as a percentage of the labour force (the total number of people employed added to those unemployed).
Unemployment can have many sources, such as the following:

the status of the economy, which can be influenced by a recession
competition caused by globalization and international trade
new technologies and inventions
policies of the government
regulation and market
war, civil disorder, and natural disasters
Unemployment and the status of the economy can be influenced by a country through, for example, fiscal policy. Furthermore, the monetary authority of a country, such as the central bank, can influence the availability and cost for money through its monetary policy.
In addition to theories of unemployment, a few categorisations of unemployment are used for more precisely modelling the effects of unemployment within the economic system. Some of the main types of unemployment include structural unemployment, frictional unemployment, cyclical unemployment, involuntary unemployment and classical unemployment. Structural unemployment focuses on foundational problems in the economy and inefficiencies inherent in labor markets, including a mismatch between the supply and demand of laborers with necessary skill sets. Structural arguments emphasize causes and solutions related to disruptive technologies and globalization. Discussions of frictional unemployment focus on voluntary decisions to work based on individuals' valuation of their own work and how that compares to current wage rates added to the time and effort required to find a job. Causes and solutions for frictional unemployment often address job entry threshold and wage rates.
According to the UN's International Labour Organization (ILO), there were 172 million people worldwide (or 5% of the reported global workforce) without work in 2018.
Because of the difficulty in measuring the unemployment rate by, for example, using surveys (as in the United States) or through registered unemployed citizens (as in some European countries), statistical figures such as the employment-to-population ratio might be more suitable for evaluating the status of the workforce and the economy if they were based on people who are registered, for example, as taxpayers.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Jamani jobless kutatuua vijana kisaikolojia naomba msaada wenu

    Habari za mwaka mpya wan JF natumai wote wazima wa afya Kama kichwa cha habari hapo juu naomba mwenye kibarua cha kuweza kunipatia risk aniunganishe Elimu yangu : Diploma in medical laboratory na zaid ya 4years of work experience Nilikuja na uzi week chache zilizopita kujieleza kwa urefu...
  2. T

    PostGE2025 Tume ya uchunguzi is officially jobless

    Tume yao haina kazi tena. Majibu yote kuanzia nguvu iliyotumika mpaka aliyetoa order wameyapata leo Waendelee kula pension tu
  3. Youbettersleep

    Story : Jamaa wa pool table alivyowaingiza 18 wadau team jobless

    Kuna mahali alikuja kijana mmoja mgeni akakuta wenyeji akauliza hakuna mchezaji tucheze bukubuku mwenyeji mmoja akasema labda buku mbili mbili jamaa akasema sawa Wanacheza mgeni akaliwa game 5 mgeni akasema twende ten ten mgeni akaliwa game 3 ikawa jumla kaliwa 40000 mgeni akasema twende laki...
  4. Mr Beach Boy

    Nawezaje kuwa Jobless Maarufu humu JF

    Ety wakuu sina maisha sina KAZI Nawezaje kuwa Maarufu uenda nikapata pakuingiza mia miambili Matusi ruksa Haina shida
  5. Mr Beach Boy

    Wazo zuri sana kwa jobless

    Tiba asili ndio mkombozi wa waafrica. Allah Yesu Ni matokeo ya ujio wa wageni. Hii hapa njia ya kupata connection au ajira direct. Mtalaamu anakuitia jini unaingia mkataba nalo likutafutie KAZI baada ya hapo unatoa kafara ya mnyama(ng'ombe) Baada ya hapo unakuwa tayari na KAZI Yako ya...
  6. marcoveratti

    CCMJless: Mapambano ya Jobless, Mapinduzi kwa Njia ya Siasa

    “Ujobless si kilema – ni hali ya mpito, lakini pia ni cheche ya mabadiliko.” Katika kona za vijiwe vyetu vya kahawa, mitandao ya kijamii, na hata kwenye foleni za usafiri, sauti moja imeanza kusikika – sauti ya matumaini lakini pia yenye mzigo mzito wa ukweli. Sauti hii inaitwa CCMJless –...
  7. Zee la madawa

    Suluhisho la jobless wanawake na graduate waliokosa ajira kwasasa ni kuolewa? Inanishangaza sana

    Inanishangaza sana inaonekana kwa sasa suluhisho la jobless na graduate wengi sana waliokosa ajira ni kuolewa na hii hali inanishangaza sana aisee sasa najiuliza hapa nikiingiza miguu yangu kwamba hawa wanawake wote watanihitaji kwa ajili ya mapenzi na ndoa au kwa ajili ya kusukuma siku ziende...
  8. Brain Kingdom

    Yote ya Gen Z Kenya ni sababu Bangi, Jobless wengi ambao ni graduates, Serikali haijali na maisha magumu sana, Tanzania inakaribia hali ya Kenya

    Ukibisha sawa ukiafiki chukua hatua , ukivimba utavimbishwa na utapasuka Mungu hachezewi. Kupanga ni kuchagua aidha mipasho, jeuri, kibri na dharau wajiandae kwa mashimo ya futiz za kutoshea. Tuishi kwa namna ya udogo na ukubwa wenye kunyenyekea . Ni hayo tu
  9. Tauceti Rigel

    Kulazimisha Vijana Jobless Kuhudhurua Vikao vya Harusi Mkikusanya Mamilioni ili Mchome kwa Siku Moja ni Upunguani wa Hali ya Juu

    Katika miaka ya hivi karibuni, ugonjwa wa misplaced priorities umekuwa janga sugu miongoni mwa Watanzania. Tunaishi kama watu waliopoteza dira—tukisherehekea anasa na matumizi ya kipuuzi huku tukilia na kulalamika kuhusu ukosefu wa ajira, huduma mbovu za afya, na umaskini. Ni jambo la kushangaza...
  10. Intelligent businessman

    Ewe jobless kukosa kwako ajira kusikuondolee usomi au uwezo wako wa kufikiri

    Mimi Kama rais wa chama Cha ma jobless pro max, nime ona nitoe angalizo Kwa wanachama wote walio ma jobless. lengo la kutoa angalizo ni kueleweshana mambo kadhaa, ili tuweze kujua ni mambo gani ya kuzingatia wakati huu. 01, Serikali haiwezi kuajiri watu wote, enyi ma jobless huu ndio ukweli...
  11. Mwachiluwi

    Kijana acha kujiita jobless, chukua hii achana na ubishoo

    Kijana mimi leo nakupa connection hii hakuna mtu jf hapa ata kuja kukupa hii conenction kabisa nakwambia acha ubishoo tafuta chako si vyema kujiita jobless vyeti weka pembeni fanya hii kitu Mahitaji karanga, mayai,siagi/blueband,sukari na chumvi Kwanza changanya blueband na sukari Kisha...
  12. Intelligent businessman

    Ewe jobless wakikuchokoza usipigane, huo ni mtego

    Uzi huu ni kwa ajili ya kuwapa mbinu vijana wa chama Cha ma jobless pro max. Ili waweza kujua na kuelewa namna bora ya kuishi na kuwa salama, ndani ya jamii yenye mchanganyiko wa watu mbali mbali. vijana nawapa onyo ukiwa jobless usi pende kupigana, maana kufanya hivyo ni kuweka maisha yako...
  13. Intelligent businessman

    Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

    Umoja huu ni kwa ajili ya ma jobless pro max wote.bila ya kujali umri, jinsia au hata uzoefu. Lengo ni kumpa nguvu jobless, kumpa moyo na hata ushauri juu ya yale anayo yapitia. amini usi amini, Kuna vyama vya kutetea na kusikiliza kero na matatizo ya familia, wafanya kazi, Wana michezo. ila...
  14. Rorscharch

    Fahamu Makundi Mbalimbali ya Vijana Wanaokaa Vijiweni (Jobless)

    Kila kundi la vijana wa vijiweni lina historia yake, historia inayogusa nyoyo, inayosimulia simulizi za huzuni, kukataliwa, na kusahaulika. Wanapokaa chini ya kivuli cha mti mchache wa mji, wakipiga gumzo au kushiriki michezo ya bahati nasibu, wanatoa picha ya taifa ambalo limewaacha wakiwa...
  15. Rorscharch

    Ndugu/Wazazi kulazimisha vijana jobless kushiriki vikao vya harusi ni ukatili wa kiuchumi

    Katika miaka ya hivi karibuni, ugonjwa wa "misplaced priorities" umekuwa tatizo sugu miongoni mwa Watanzania. Kwa lugha nyepesi, tunaweza kusema kuwa vipaumbele vya jamii yetu vimepotoka, mara nyingi vikiegemea kwenye matumizi yasiyo ya lazima badala ya kushughulikia changamoto za msingi. Mfano...
  16. contask

    Uzi maalumu kwa ajili ya jobless na watu wenye michongo ya pesa

    Habari wakuu. iKiwa juma tatu tulivu na yenye majonzi kwa ndugu zetu watanzania waliopata maafa ya kuangukiwa na kifusi, Mungu azidi kutia wepesi katika ukozi wa ndugu zetu waliopo chini ya kifusi NImefunguu uzi huu ikiwa ni moja kwa moja katika jitihada za kupeana michongo kwa vijana,wafanya...
  17. Masalu Jacob

    Mnaonaje graduates wote ambao hamna ajira mkaja na Bongo Jobless Festival?

    Habari Tanzania, Mnaonaje Graduates wote wa Bongo mtengeneze paredi la uhakika kila baada ya miezi 6 mnakutana sehemu iwe town kati kila mkoa mkijipa pole kwa ukosefu wa ajira na kupongezana kwa kuwa wahitimu wa taifa la Tanzania. Mnaweka mualiko kwa taasisi mbalimbali kuja kuwaona na kufanya...
  18. excel

    Naishukuru sana serikali ya Rais Samia kwa kuniweka benchi miaka 10 bila ajira

    Kwa kweli niseme tu asante, nishukuru kwa kila jambo kama Biblia ilivyotuamuru. Nilihitimu Elimu yangu ya ngazi ya juu mwaka 2015 Katika Shahada ya Logistics and Transport Management, mpaka leo nasugua benchi tu😭 Mama Samia na serikali yako mbarikiwe sana kwa hili. Tupo wengi sana tunaosota...
Back
Top Bottom