italia

Stephanie Italia Ricci (Italian: [iˈtaːlja ˈrittʃi]; born October 29, 1986) is a Canadian actress best known for playing White House Chief of Staff and Special Advisor Emily Rhodes in Designated Survivor.

View More On Wikipedia.org
  1. OMBI: Mwenye code au Note za wimbo wa "Parapanda Italia"

    Inasemekana nyimbo nyingi zinazoimbwa hasa kwenye nyumba za ibada zinakuwa na mpangilio maalum ambao mtu yeyote akiufuata anaweza kuimba. Sasa kuna huu wimbo una maneno kama ifuatavyo. "Parapanda italia parapanda, Parapanda italia parapanda" Mwenye kujua au mtaalamu wa nyimbo anisaidie...
  2. Italia yaiomba UN kuchunguza mauaji ya Balozi wake

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia ameuomba Umoja wa Mataifa kufanya uchunguzi kuhusiana na mauaji ya balozi wake nchini DRC katika shambulizi la kushtukiza. Mwana Diplomasia Luca Attanasio, mwenye umri wa miaka 43, aliuwawa siku mbili zilizopita baada ya msAfara wa magari ya Shirika la Mpango wa...
  3. Balozi wa Italia nchini Congo DRC auawa katika shambulizi

    Washambuliaji ambao hawajajulikana wamevamia msafara wa UN na kupelekea kifo cha balozi wa Italia nchini Congo DRC pamoja na bodygurd wake. ---- Italian ambassador killed in DR Congo attack, says Italy's foreign ministry Rome, Italy (CNN)The ambassador to the Democratic Republic of Congo...
  4. Uvutaji sigara kwenye maeneo ya wazi umepigwa marufuku katika mji wa Milan nchini Italia

    Uvutaji sigara kwenye maeneo ya wazi umepigwa marufuku katika mji wa Milan nchini Italia. Kulingana na uamuzi wa Manispaa ya Milan, uvutaji sigara hautaruhusiwa katika maeneo ya wazi, bustani za umma, viwanja vya michezo, makaburi na vituo vya mabasi endapo kutakuwa watu wengine waliosimama...
  5. T

    Hatimae Telecom Italia, kampuni namba moja ya simu Italia imeiondoa Huawei kwenye uzinduzi wa 5G yake

    Jana zilitoka habari za ndani au chini ya kapeti kua nchi ya Italia inafikiria kuitenga Huawei kwenye mfumo wake wa mtandao wa 5G. Juzi pia zilitoka habari kua Marekani inaishinikiza Brazil kutafta kampuni nyingine nje ya Huawei kuunda mfumo wake wa taknolojia ya 5G na Marekani akaahidi yuko...
  6. Italia kufungua mipaka kwa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) kuanzia Juni 3

    Waziri Mkuu wa Italia, Giuseppe Conte amesema nchi hiyo itafungua mipaka yake kwa nchi zote ambazo ni wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) kuanzia Juni 03 mwaka huu Conte amesema hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za kufufua uchumi na ameeleza kuwa hakutokuwa na utaratibu wa karantini ya lazima kwa...
  7. Italia: Safari za ndege zitaanza kuruhusiwa Juni 3

    Nchi ya Italia imeazimia kuruhusu safari Juni 3, moja kati ya hatu ya kufungua uchumi baada ya kufunga nchi hiyo kuepuka maambukizi ya #CoronaVirus tangu Machi 9, 2020 Watu wataruhusiwa kutoka mkoa mmoja hadi mwingine. Aidha kuanzia Mei 18 hawatahitaji kuwa na sababu ya kusafiri au kutembea...
  8. Sista Mtanzania awa mtawa wa 118 kufariki wa corona Italia

    MTAWA wa Kanisa Katoliki ambaye ni Mtanzania kutoka Mkoani Kilimanjaro, Sista Anastasia Cristian Malisa amefariki dunia kwa virusi vya corona nchini Italia ambako alikuwa akitoa huduma ya kiroho kwa takribani miaka 26. Habari zilizochapishwa na mtandao wa Kanisa Katoliki duniani wa vaticannews...
  9. Maelfu wapona corona kwa siku moja Italia

    Habari njema kutoka Italia zinaarifu kuwa nchi hiyo kwa mara ya kwanza imerekodi idadi kubwa ya watu waliopona virusi vya corona katika kipindi cha masaa ishirini na nne. Kulingana na mkuu wa idara ya kukabiliana na majanga Angelo Borelli, watu 2,563 wamethibitishwa kupona virusi vya corona...
  10. CoronaVirus: Hizi ndizo sababu kwanini Italia ina vifo vingi vitokanavyo na virusi vya Corona

    Licha ya safu kadhaa za hatua za karibu za kupungua au kusitisha kuenea kwa virusi vya Corona zikiwemo kufungwa kwa nchi nzima na kufunga kwa biashara zote ambazo sio muhimu, Italia haikuweza kuzuia kuenea kwa maambukizi 1. WINGI WA WAZEE Ingawa virusi vya #corona vinaweza kuambukizwa kwa watu...
  11. Italia: Kwa siku ya leo watu 651 wamefariki, Pia Kansela wa Ujerumani yuko karantini

    Idadi ya vifo vinavyotokana na #Covid19 imeendelea kuongezeka huko Ulaya, kwa sasa Italia imetangaza kuwa na vifo 651 kwa siku moja, idadi inayopelekea vifo ndani ya Italia kufikia 5,476 Pia Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amejiweka karantini mwenyewe baada ya kuchangamana na daktari...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…