israeli

Israeli Jews or Jewish Israelis (Hebrew: יהודים ישראלים, romanized: Yehudim Yisre'elim) are Israeli citizens and nationals who are Jewish through either their Jewish ethnicity and/or their adherence to Judaism. The term also includes the descendants of Jewish Israelis who have emigrated and settled outside of the State of Israel, where they are predominantly found in the Western world. The overwhelming majority of Israeli Jews speak Hebrew, a Semitic language, as their native tongue.
Israeli Jews trace their origins back to the ancient Israelites and Hebrews, and, as a population, are a least partially descended from ancient Middle Eastern Semitic populations. The Jewish population in Israel comprises all of the communities of the Jewish diaspora, including Ashkenazi Jews, Sephardi Jews, Mizrahi Jews, Beta Israel, Cochin Jews, Bene Israel, Karaite Jews, and many other groups. The Israeli Jewish community manifests a wide range of Jewish cultural traditions and encompasses the full spectrum of religious observance ranging from the Haredim, who observe Orthodox Judaism, to the Hilonim, who maintain a secular Jewish lifestyle. Among Israel's Jewish population, over 25 percent of schoolchildren and over 35 percent of all newborns are of mixed Ashkenazi and Sephardi/Mizrahi descent, and these figures have been increasing by approximately 0.5 percent annually. Over 50 percent of the entire Israeli Jewish population is of at least partial Sephardi/Mizrahi descent.Despite the ongoing debate over the question of determining Jewish identity among Israeli Jews, the Jewish status of a person, which is considered a matter of nationality by the Israeli government, is registered and controlled by the Israeli Interior Ministry, which requires a person to meet the Halakhic definition to be registered as a Jew. In a December 2017 estimate by the Israel Central Bureau of Statistics, the Israeli Jewish population stood at around 6,556,000 people, comprising 74.6 percent of the total population of Israel (if the Arab populations in East Jerusalem and the Golan Heights are included).A 2008 study by the Israel Democracy Institute shows that a plurality of Israeli Jews (47 percent) identify as Jews first and as Israelis second, and that only 39 percent consider themselves to be Israelis first and foremost.Jews living in the Holy Land prior to the establishment of the State of Israel in 1948 were commonly referred to in English as "Palestinian Jews" (in reference to the Palestine region and its British Mandate) and in Hebrew as HaYishuv HaYehudi Be'Eretz Yisra'el (lit. 'The Jewish Community in the Land of Israel').

View More On Wikipedia.org
  1. Ritz

    Iran yapiga kiwanda cha Kusafisha Mafuta cha Israeli HAIFA

    Wanaukumbi. Baada ya zaidi ya saa 12, udhibiti wa Israel unasema "iliruhusu" kuchapishwa kwa athari ya kombora la Iran karibu saa 1 asubuhi huko Haifa, https://x.com/aryjeay/status/2035001330511569060?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
  2. M

    Benjamin Netanyahu atoa kauli ya kibabe: Mnaweza kukimbia, mnaweza kujificha, lakini mwishowe tutawapata tu

  3. Sir John Deere

    Israeli yashambulia ndege za bandia huko Iran baada ya kuingia mkenge

    Hii vita inahuzunisha na kuchekesha kwa wakati mmoja. Hii Leo Israel imetangaza kushambulia helicopter na ndege vita za Iran kumbe imeingia chaka na kushambulia michoro (paintings) iliyowekwa na jeshi la Iran kuwapoteza maboya. Nimecheka sana aisee 🤣🤣
  4. Echolima1

    Israeli imelaani Jukwaa la Al Jazeera kama "mkutano wa kilele wa magaidi" huko Doha

    Israeli inalaani Jukwaa la Al Jazeera kama "mkutano wa kilele wa jihadi" huko Doha Wizara ya Mambo ya Nje ya Israeli ilitoa karipio kali kwa Jukwaa la 17 la Al Jazeera lililofunguliwa Doha wikendi hii, ikilielezea kama "mkusanyiko teule wa wanajihadi na wafanyakazi wao wa usaidizi." Jukwaa...
  5. Echolima1

    Israel yagundua ulinzi wa mpaka wa kisasa kabisa!

    🚨 ISRAELI YAFUNGUA ULINZI WA MPAKA WA KIZAZI KIJACHO Magari yanayojiendesha, ndege zisizo na rubani, na ndege nyepesi sasa zinaunganishwa katika mfumo mmoja wa ulinzi wa mpaka unaoendeshwa na AI, uliozinduliwa na Viwanda vya Anga vya Israeli. 🔹 Muunganisho wa akili wa wakati halisi katika...
  6. Echolima1

    Mpango wa Kujenga kiwanda Huru cha Silaha cha Israeli

    Netanyahu Atangaza Mpango wa $110 Bilioni wa Kujenga kiwanda Huru cha Silaha cha Israeli Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ametangaza uwekezaji mkubwa wa shekeli bilioni 350 (takriban dola bilioni 110) katika muongo ujao ili kuendeleza sekta huru ya silaha za ndani. "Niliidhinisha jumla...
  7. Mi mi

    Sasa naelewa Kwanini baadhi ya askari wa Israeli ujiua baada ya vita vya Gaza

    Kwa niliyo shuhudia toka 29 Oktoba mpaka leo sasa naelewa kwa nini baadhi ya askari wa Israel hujiua baada ya vita hasa vya Gaza. Aisee kilicho tokea nchini ni unyama uliopitiliza ambao nimeshuhudia mpaka sasa sipo sawa. Nawaza kuhusu askari walioshiriki unyama ule hali zao kiafya hasa kiakili...
  8. Zacht

    Watu zaidi ya Milion mbili walijitokeza kwenye maandamano ya kupinga vita vya Israeli.

    Maandamano hayo yalioyotokea katika miji mikubwa ya italia yenye wito wa kuupinga uhusiano wa kifedha, kisiasa na kijeshi kati ya Italia na Israel, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inaingia Gaza bila vizuizi.  ******* Hauitaji kuwa na upande kwenye kukemea maovu moyo wa utu haujafungwa...
  9. kyagata

    Israeli imetoa onyo kali kwa nchi za ulaya

    Oya Myahudi kachafukwa kinoma. Hataki discussion na mtu yeyote yule. ================= Mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya Kaja Kallas amependekeza awamu nyengine ya vikwazo dhidi ya mawaziri wawili wa Israel, walowezi wanaozua vurugu na viongozi 10 wa kundi la Hamas. Waziri wa usalama wa...
  10. A

    Al Houth walivyo ipiga ndege ya Israeli zingine zikakimbia

    Israel hawezi kusema ndege yake imewashwa moto huko Yemen https://youtu.be/9xTlZHMZVEU?si=24Rrt9mJsqn5U76a
  11. Setfree

    Naendelea kuamini kuwa Mungu hasemi uongo. Alisema ukiibariki Israeli, utabarikiwa. Ukiilaani, utalaaniwa. Ushahidi huu hapa

    Mungu alimwahidi Ibrahimu akisema: “Nitawabariki wakubarikio, na atakayekulaani nitamlaani” (Mwanzo 12:3). Kauli hii haikubaki historia tu, inajidhihirisha mpaka leo kwa mataifa na watu binafsi. Marekani ni mfano wa taifa la watu waliobarikiwa kwa sababu wanaiunga mkono Israeli. Tangu...
  12. Echolima1

    Israeli hawakuwa na chaguo jingine bali kuwachukulia hatua Hamas!!

    Israeli hawana chaguo ila kuchukua hatua. Uongo wa Hamas ya Palestina kusema Gaza ina njaa na huku magaidi hao kuwatesa mateka wa Israel katika mahandaki yao huko Gaza na israel ilishaapa mauaji ya Oktoba 7.hayatajirudia tena milele Israel haina chaguo ila kuwasambaratisha magaidi wa Hamas na...
  13. Mathanzua

    Israeli Minister admits: Israel to have deliberately withheld Gaza Food/Aid for 2 .5 months

    Israeli Minister Admits: Deliberately Withheld Gaza Food/Aid 2 1/2 Months! August 19, 2025 Hits: 14438 Israel Finance Minister Bezalel Smotrich has admitted on TV the Israeli government deliberately withheld food and other aid from 1.5 Million people in Gaza, for two and a half months! It...
  14. P

    Kama vita vya Israeli na Irani vinaisha, nyie watu wa humu mnao gombana kisa dini lini mtanyamaza

    Acheni hayo mambo ya dini .Nchi yetu ina uhuru wa kuabudu. Wahusika wajirekebishe Uzi tayari.
  15. D

    Wale viongozi uchwara wanijibu: Farao alivyokufa wale wana wa Israeli Je, Walisikitika au walishangilia?

    Nyie viongozi wakati mwingine muone haya kama asemavyo aliyekuwa mwenzenu Polepole! Ni kweli pengine polepole alikuwa kama nyinyi lakini Kaona haya moyoni mwake akaamua kutubu hadharani kwetu wanadam wenzake. Watu wengine HUJISEMEA Eti ukitubu kwa Mungu sirini inatosha, UKWELI ni kwamba...
  16. hamis77

    Unabii wa Israeli kurudi na kusimama tena – na ulivyotimia kihistoria na kisasa

    🇮🇱 UNABII WA ISRAELI KURUDI NA KUSIMAMA TENA – NA ULIVYOTIMIA KIHISTORIA NA KISASA ISRAEL – TAIFA DOGO LENYE NGUVU ZA AJABU Leo tunashuhudia jambo lisilo la kawaida: ✅ Taifa dogo, lenye eneo dogo (mara 40 dogo kuliko Tanzania), lenye watu wachache (takriban milioni 9), lakini lina nguvu kubwa...
  17. C

    Je, Mathayo aliunda unabii kwa makusudi au aliichukua aya ya Isaya nje ya muktadha na kuitumia?

    “Simulizi za Mathayo” Mathayo anasema kuhusu Yohana: “Huyu ndiye aliyenenwa na nabii Isaya aliposema: ‘Sauti ya mtu aliye jangwani: Itengenezeni njia ya Bwana, nyoosheni mapito yake.’” (Mathayo 3:3) Lakini je, Isaya alikuwa anamtabiri Yohana Mbatizaji aliposema? “Sauti ya mtu aliye...
  18. mcTobby

    Mfahamu Robert Ames. Afisa wa CIA aliyewakutanisha Yitzhak rabin P.M wa Israeli na Yasser Arafat wa palestina

    Ilikuwa ni siku ya jumatatu ya mwezi wa 9 mwaka 1983. Siku ambayo anga lilikuwa angavu na bluu ikimaanisha hali ya joto kiasi ndani ya makao makuu ya nchi ya marekani Washington d.c. Hakika siku na tarehe hii ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa na watu wengi na sio tu wamarekani bali...
  19. Yoda

    Kuna wakati utafika Wakristo wafia dini wataitelekeza Israeli

    Waisrael Kupiga bomu kanisa huko Gaza na kuharibika kwa hali ya ubinadamu katika vita vya gaza sasa ni kama imepitiliza mstari wa utu. Wakristo pia ni kama wanaanza kubugudhiwa tena kwenye nchi ya ahadi alipozaliwa mkombozi wao Bwana Yesu Kristo! Hali sio shwari.
  20. ELI COHEN

    Ulaya ina chaguzi 2; Ijifunze kutoka kwa Israeli jinsi ya kushinda terror ya itikadi kali au kupoteza muuda kuilaan Israeli huku wakiwa terrorized

    Hivi karibuni ulaya itasambaratika na kuwa eneo jipya la mapigano ya kivita, ulaya haifahamu kuwa Israel ambayo imekuwa ni uzio kwao wa kuwazuia itikadi kali na magaidi ambao ndio wapangaji wa machafuko ya dunia Leo hii ulaya inajifanya kuwa "politicall correct" kwa kuwapa fursa na nafasi...
Back
Top Bottom