ict

  1. Future ya computer science au ICT ni kama imekufa

    Kufika 2030 nadhani kutakua na uhitaji hafifu sana wa watu waliosoma computer science. Kwanini? Integration ya AI imekuja kuharibu vitu vingi, na mbaya zaidi hatuwezi kuikwepa, miaka 10 nyuma watu walimeza code, syntax Kwa ajili ya kutengeneza website au application, sasaivi simple website...
  2. Kuhusu Ajira za ICT (Practicals)

    Kuna jambo linanisumbua kichwa siku nyingi naomba niwashirikishe wadau wenzangu.. Mchakato wa Ajira za Utumishi kwa hivi karibuni umerahisishwa upande wa Written interviews kwa maana ya Kwamba wasailiwa hawana ulazima wa kusafiri kwenda Dar es Salaam kufanya mtihani wa mchujo, badala yake...
  3. O

    Ni kampuni zipi naweza KUWA reseller na Zenye unafuu vile vile Nina swali Kwa kampuni ya ICT, uendeshajibwake ukoje

    Ndio wadau kampuni ya ICT works inaendeshwa vipi na upatikanaji WA tende ni vitu gani muhimu hasa KWENYE kuoperatr. Kwa Sasa tunafanya heavy printing but tunataka kujua upande huo pia
  4. Gen. Muhoozi Kainerugaba Vs ICT Minister Chris Baryomunsi

    Gen. Muhoozi Kainerugaba CDF and son to President Yoweri Museveni threatens ICT and National guidance minister Chris Baryomunsi that he will never be minister again. This tension resulted from a comment made by Chris Baryomunsi on a radio station claiming that Gen. Muhoozi’s tweets on X were...
  5. Nimepanga nisome open university degree ya ICT, Lakini malalamiko ya watu humu ni Mengi je ni uhalisia?

    Mimi ni mtumishi, Nilipata ruhusa ya kwenda masomoni lakini sikwenda kwasababu ya ukiritimba uliopo halmashauri kwamba ukienda masomoni basi uwezi kupanda daraja, na Mimi napanda daraja Mwakani, nimetimiza miaka mitatu ya ajira Sasa, naona nikasome kitu kingine, passion yangu ni Mambo ya...
  6. Yah: Ombi la Nafasi ya Ufasiliteta/Mwalimu wa ICT

    Mimi ni kijana wa kiume, mwenye umri wa miaka 27, Ninapenda kuwasilisha nia yangu ya kujiunga na taasisi yako kama mwalimu au fasiliteta wa masomo ya ICT. Nina Shahada ya Business Information Technology, na kwa takribani mwaka mmoja nimekuwa nikifanya kazi na kampuni inayotoa mafunzo ya TEHAMA...
  7. P

    Vyama vya kisiasa vyaa anza uchunguzi kuhusu mgombea urais wa ICT.

    Kiongozi huyu , VAR, ya vyama vya kisiasa ya mnasa mgombea urais chama cha ICT , kanda wachama hicho ikiandiii imekosa vigezo vya kuwa mgombea urais wa chama hicho kama katiba yao ya chama inavyoelezaa kwa mgombea urais vifungu vya sheria 6A(2) na 4(5)b vikieleza sifa za mgombea uraisi...
  8. S

    ICT vs water supply Engineering vs Agriculture

    Hello wanajukwaa. Naombeni ushauri wenu kulingana na uzoefu wenu wataalamu. Nina mdogo wangu kamaliza kidato Cha nne mwaka jana, amepangiwa Kozi ya ICT chuo Cha Taifa Cha usafirshaji. Mimi nilitamani sana asomee mambo ya maji hasa kozi ya Water supply engineering au pump mechanic engineering...
  9. Je,ni UDOM pekee katika mashindano ya ICT kwa vyuo vya Tanzania?

    Kuna jambo ambalo bado najiuliza kuhusu vyuo vyetu hapa Tanzania linapokuja suala la mashindano ya ICT. Maana naona vingi vipo kimya sana — ukiachana na UDOM (University of Dodoma). Jana nilikuwa napiga stori na rafiki yangu wa SUA (Sokoine University of Agriculture) kuhusu masuala ya IT. Ni...
  10. J

    Msaada practical interview ASSISTANT ICT OFFICER II

    Ndugu naombeni msaada kwa wale wenye uzoefu wa practical za kada ya ICT. (Kwenye duties and responsibilities nyingi ni kuhusu maintanance and repair). Naomba kujua maswali yanakujaje na mda wanatoaga mda gani. Ahsante
  11. Msasda jinsi ya kuunganisha UPS na desktop

    Nina SMART UPS C (APC) Hii ni kama back up ya umeme kama unatumia umeme ukakata kama ukiconnect hii desktop haizimi ni mpya kabisa Tatizo sijajua kuiunganisha ili desktop ichukue moto. Mwenye uzoefu anipe madini wakuu
  12. J

    Msaada kujua maswali ya ICT tutorial assistant kuanzia step ya kwanza mpaka mwisho na aliefanya TRA

    Msaada kujua maswali ya ICT tutorial assistant kuanzia step ya kwanza mpaka mwisho na aliefanya TRA
  13. Viashiria vya rushwa ICT commission na YAS - serikali ichunguze

    Tarehe 21 Feb ,ICT commission ilitoa tuzo muhimu tatu kwa kampuni ya YAS(zamani Tigo) Walishinda Tuzo tatu kama zilivyo hapa chini 1. Huduma Bora za Intaneti (Best Internet Service Provider) 2. Kampuni Bora ya Mawasiliano (Best Mobile Network Provider) 3. Mtumiaji Bora wa TEHAMA & Manufaa kwa...
  14. Specialist; ICT Networks – LAN & WAN at CRDB Bank

    Reporting Line MANAGER WAN & LAN Location Tanzania Head Office Department DEPARTMENT OF ICT Job Purpose Manage networks to ensure they function efficiently. Tasks such as collecting network performance data, monitoring network security, troubleshooting issues, anticipating problems and...
  15. Download kitabu cha "Guidance and counselling in education institution" na ict and computer application for teachers(pdf)

    VITABU HIVI NI VIZURI KWA WALIMU, NA WANAFUNZI WANATAKA KUA WALIMU VITAWASAIDIA
  16. N

    Austin ict technology

    We are providing best ICT services
  17. Short course gani ya ICT, yenye uwanja mpana kwenye kujiajiri?

    Wadau habarini!!! Niende moja kwa moja kwenye title. Nina mpango wa kusoma short course inayohusiana na mambo ya ICT, ili nije nijiajiri kutokana na huo ujuzi nitakaoupata. Nimeshafanya tafiti zangu binafsi kwa vyuo wanavyotoa hizi short course, na nime-decide nipige ATC coz nipo chuga kwa...
  18. Naombeni ushauri chuo gani kizuri kwa kozi ya ICT

    Naombeni ushauri chuo gani kizuri kwa kozi ya ICT kati ya vyuo hivyo hapo kwa level ya degree!. Chuo kizuri kwa kozi ya ict kati ya must, arusha tech na ardhi
  19. Natafuta business partner kampuni ya ICT services

    Habari, mimi nimeanzisha kampuni ya kutoa huduma za ki ICT. Ofisi ya kampuni ipo Dar es Salaam, kuna vifaa vya kazi kama Computer 5, printer 2, ofisi kubwa yenye AC, mashine nyingine kama mashine za Stationery servies pia zipo kama, lamination machine, binder, paper cutter nk. ipo miradi kadhaa...
  20. Ni mfumo wetu wa elimu mbovu au wanafunzi uelewa upo chini? Nchi nyingi duniani vijana waliosoma ICT ndio matajiri ila kwetu wanazunguka na bahasha

    Kama kichwa cha habari kinavyosema hebu tutoe maoni kwanini vijana wa sayansi especially ICT wanahangaika sana wakati Kwa elimu yao wangekuwa na uwezo wa kubuni apps ambazo zingewakwamua kiuchumi badala yake wanahangaika na bahasha kama wahitimu wa procurement & supply. Mfano wa kijana wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…