Amerika ilimuua MUAMMAR GADDAFI na kuiharibu LIBYA ambayo sasa haijulikani tena namna ya kupona. Sasa, wanataka kumfuata nahodha wetu, IBRAHIM TRAORE JULIUS MALEMA
Kama jambo lolote likimtokea IBRAHIM TRAORE basi ni kwa sababu sisi vijana wa Afrika tumemwangusha* kwa kushindwa kuchukua hatua...