hezbollah

Hezbollah (; Arabic: حزب الله‎ Ḥizbu 'llāh, literally "Party of Allah" or "Party of God", also transliterated Hizbullah or Hizballah, among others) is a Shia Islamist political party and militant group based in Lebanon. Hezbollah's paramilitary wing is the Jihad Council, and its political wing is the Loyalty to the Resistance Bloc party in the Lebanese parliament. Since the death of Abbas al-Musawi in 1992, the group has been headed by Hassan Nasrallah, its Secretary-General. Either the entire organization or just its military wing has been designated a terrorist organization by at least 21 countries, by the European Union and since 2017 by most member states of the Arab League, with the exception of Iraq and Lebanon, where Hezbollah is the most powerful political party. Hezbollah maintains that it is a legitimate resistance movement fighting for the liberation of Lebanese territory.
After the Israeli invasion of Lebanon in 1982, the idea of Hezbollah arose among Lebanese clerics who had studied in Najaf, and who adopted the model set out by Ayatollah Khomeini after the Iranian Revolution in 1979. The organization was established as part of an Iranian effort, through funding and the dispatch of a core group of Islamic Revolutionary Guard Corps (pasdaran) instructors, to aggregate a variety of Lebanese Shia groups into a unified organization to resist the Israeli occupation and improve the standing and status of the long marginalised and underrepresented Shia community in that country. A contingent of 1,500 pasdaran instructors arrived after the Syrian government, which occupied Lebanon's eastern highlands, permitted their transit to a base in the Bekaa valley.During the Lebanese Civil War, Hezbollah's 1985 manifesto listed its objectives as the expulsion of "the Americans, the French and their allies definitely from Lebanon, putting an end to any colonialist entity on our land", the submission of the Christian Phalangists to "just power", bringing them to justice "for the crimes they have perpetrated against Muslims and Christians", and permitting "all the sons of our people" to choose the form of government they want, while calling on them to "pick the option of Islamic government". Hezbollah organised volunteers who fought for the Army of the Republic of Bosnia and Herzegovina during the Bosnian War. From 1985 to 2000, Hezbollah participated in the South Lebanon conflict against the South Lebanon Army (SLA) and Israel Defense Forces (IDF), which finally led to the rout of the SLA and the retreat of the IDF from South Lebanon in 2000. Hezbollah and the IDF fought each other again in the 2006 Lebanon War.
Its military strength has grown so significantly since 2006 that its paramilitary wing is considered more powerful than the Lebanese Army. Hezbollah has been described as a "state within a state" and has grown into an organization with seats in the Lebanese government, a radio and a satellite TV station, social services and large-scale military deployment of fighters beyond Lebanon's borders. Hezbollah is part of Lebanon's March 8 Alliance, in opposition to the March 14 Alliance. It maintains strong support among Lebanese Shia Muslims, while Sunnis have disagreed with its agenda. Hezbollah also has support in some Christian areas of Lebanon. It receives military training, weapons, and financial support from Iran and political support from Syria.Since 1990, Hezbollah has participated in Lebanese politics, in a process which is described as the Lebanonisation of Hezbollah, and it later participated in the governemnt of Lebanon and joined political alliances. After the 2006–08 Lebanese protests and clashes, a national unity government was formed in 2008, with Hezbollah and its opposition allies obtaining 11 of 30 cabinet seats, enough to give them veto power. In August 2008, Lebanon's new cabinet unanimously approved a draft policy statement that recognizes Hezbollah's existence as an armed organization and guarantees its right to "liberate or recover occupied lands" (such as the Shebaa Farms). Since 2012, Hezbollah involvement in the Syrian civil war has seen it join the Syrian government in its fight against the Syrian opposition, which Hezbollah has described as a Zionist plot and a "Wahhabi-Zionist conspiracy" to destroy its alliance with Bashar al-Assad against Israel. It has deployed its militia in both Syria and Iraq to fight or train local forces to fight against the Islamic State of Iraq and the Levant (ISIL). The group's legitimacy is considered to have been severely damaged due to the sectarian nature of the Syrian war. In the 2018 Lebanese general election, Hezbollah held 12 seats and its alliance won the election by gaining 70 out of 128 seats in the Parliament of Lebanon.

View More On Wikipedia.org
  1. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hezbollah washambuliwa na IDF huko Beirut, Lebanon

    IDF: Tulishambulia kituo cha kuhifadhi ndege zisizo na rubani mali ya shirika la kigaidi la Hezbollah huko Dahiyya, Beirut. Hivi majuzi IDF ilishambulia miundombinu katika kitongoji cha Hadahiya cha Beirut kwa ajili ya kuhifadhi magari ya anga I (UAVs) yanayotumiwa na kitengo cha anga cha...
  2. Echolima1

    JamiiForums Tanzania BAADA YA KULEMAZWA NA IDF HEZBOLLAH YAJITUTUMUA TENA KUISHAMBULIA ISRAEL

    Leo tena, kombora lingine limerushwa Israel kutoka Lebanon. Israel wamezoea ving'ora vya roketi na milipuko wakati Iron-Dome ikipopoa makombola kama vile sisi tulivyozoea kunywa kahawa au chai. Wakati mwingine, huwa najiuliza ikiwa ni jambo zuri wamezoea hilo (labda njia ya kukabiliana na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hezbollah Waliishia wapi, Purukushani yao imeisha kabisa

    FaizaFoxy Hivi wale vijana machachari wa Hezbollah waliendaga wapi? Wamebaki wala Mirungi wa Houthis ndio wanasumbua sumbua. Hezbollah hata online hawaonekani Hamas wamesalitiliwa na kila mtu 😅 😅 😅
  4. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hezbollah waendelea kupata kipondo huko Lebanon!!!

    Magaidi wa Hezbollah baada ya wao jana kuishambulia Israel leo hii majeshi ya israel yamewalenga makamanda wa Hezbollah waliokuwa wakisafiri kutumia gari. Ikimbukwe kuwa magaidi wa Hezbollah walilemazwa na Operation Beeper 📟 ambayo ilisababisha wao kupi Gish wa magoti kwa kuwepo Ceasefire ambayo...
  5. Bams

    JamiiForums Tanzania Israel yafanya Mashambulizi Mazito Lebanon, Jeshi la Lebanon Laangamiza Vituo vya Kurushia Makombora vya Hezbollah.

    Kufuatia kitendo cha makombora kurushwa tokea Lebanon kuelekea Israel, Israel imeshambulia targets mbalimbali za Hezbollah kusini mwa Lebanon. Hezbollah hawajasema kuwa ni wao ndio waliorusha, lakini Israel inaamini ni Hezbollah. Netanyahu ameahidi kufanya mashambulizi makubwa zaidi dhidi ya...
  6. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Kimeumana: Magaidi wa HTS na Hezbollah wauana kikatili

    Magaidi waliompindua Rais Assad wa Syria wameapa kupambana na Magaidi wenzao wa Hezbollah kwenye mpaka wa Syria na Lebanon hii inatokana na Hezbollah kuingia Syria na kuwateka nyara askari wa Utawala mpya wa Syria kisha kuwaua kwa ku wapiga mawe kichwani baada ya kuwa Una miguu kwa risasi. Hapo...
  7. I

    JamiiForums Tanzania Lebanon yanasa dola milioni 2.5 kutoka Iran zikipelekwa kwa kundi la kigaidi la Hezbollah.

    Lebanon yatwaa dola milioni 2.5 zilizokuwa zikitumwa kwa Hezbollah kutoka Iran baada ya kumnasa mtu kwenye uwanja wa ndege katika tukio "lisilo na mfano". Mtu anayedaiwa kubeba dola milioni 2.5 pesa taslimu zilizokuwa zikipelekwa kwa kundi la kigaidi la Lebanon Hezbollah aliripotiwa kuzuiliwa...
  8. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hezbollah wanaendelea kupata kichapo kutoka majeshi ya Israel

    Majeshi ya Israel IDF bado yanaendelea kushusha kipondo ki Takatifu kwa magaidi wa Hezboullah baada ya magaidi hao kukiuka masharti ya kusitisha mapigano huko kusin mwa Lebanon.
  9. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Rais mpya wa Lebanon anasema magaidi wa hezbollah hawana nafasi katika nchi hio

    Mwamba anaitwa joseph aoun. Aliwahi kuhudumu kama jenerali katika jeshi la Lebanon.
  10. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Silaha, Makombora na Vifaa vya Kijeshi Zaidi ya 85,000 vya Hezbollah Vimetwaliwa na Jeshi la Israel IDF Kusini mwa Lebanon

    Tangu Oktoba 2024, vikosi vya IDF vilifanya kazi dhidi ya Hezbollah katika zaidi ya maeneo 30 kusini mwa Lebanon. Wanajeshi hao walitambua na kuharibu miundombinu ya magaidi, wakaondoa magaidi, na kupata na kunyang'anya silaha. makombora na vifaa vya kijeshi zaidi ya 85,000. Silaha...
  11. U

    JamiiForums Tanzania Iran kutumia njia ya anga kupelekea silaha kwa magaidi ya Hezbollah, njia ya ardhini kupitia Syria imedhibitiwa na Israel baada ya kuangushwa Asad

    Wadau hamjamboni nyote? Serikali ya Iran sasa imeamua kutumia njia ya anga kupitia uwanja wa ndege wa Beirut kusafisha silaha nzito kwa washirika wao ambao ni magaidi ya Hezbollah Mazungumzo mazito yanaendelea muda huu huko tehran Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Live Update arrow...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Balozi wa Iran Lebanon aibuka Beirut baada ya matibabu, alijeruhiwa vibaya shambulizi la pagers, atembelea eneo kiongozi wa Hezbollah aliuawa

    Balozi wa Iran Lebanon aibuka Beirut baada ya matibabu, alijeruhiwa vibaya shambulizi la pager Septemba, atembelea eneo ambalo kiongozi wa Hezbollah hassan nasrallah aliuawa Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: ======= Iran’s ambassador to Lebanon reappears after...
  13. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania This time Hezbollah na Iran tumeshindwa. Hili halina tena kificho. Tujipange upya next time

    Hawa waasi wa Syria wamepata nguvu kutokana na mambo makuu mawili 1. Kushindwa kwa Hezbollah huko Palestina. Hezbollah ndo walikuwa kikwazo kikubwa kwao 2. Hali mbaya ya Iran pamoja na Syria 3. Vita vya Urusi na Ukraine. Sababu hawa ndo marafiki wakubwa wa Assad jemedari wetu. Kwa sasa Russia...
  14. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Israel yasambaratisha kituo kikubwa zaidi cha kutengeneza makombora cha Hezbollah

    Jeshi la Israel limesema limeharibu kituo kikubwa zaidi cha kutengeneza makombora cha Hezbollah huku ikiwa wameingia makubaliano ya usitishwaji wa mapigano kati yao Hii hapa animation ya kituo hicho chenye eneo la upana wa kilomita 1.4 na kina cha mita 70 kwenda ardhini: SOURCE...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo Israel walivyomuua Hassan Nasrallah, simba aliyeisuka Hezbollah kwa miaka 30

    Ijumaa ya tarehe 27 September 2024, katikati ya makao makuu ya Hezbollah yaliyopo kwenye mtaa uitwao Danieh kwenye viunga vya jiji la Beirut nchini Lebanon: Kikao cha kimkakati kilikuwa kikiendelea katika chumba kilicho ardhini kwenye handaki mahali hapo. Chumba hiki kilikuwa chini umbali wa...
  16. G

    JamiiForums Tanzania Tuweka mihemko pembeni, Hezbollah kapigwa kachakaa, pona yao ni Biden kuinyima Israel silaha kulazimisha cease fire

    Wiki iliyopita Bunge la marekani lilipiga kura kwa ushindi mkubwa kufuta katazo la kuiuzia Israel Silaha lakini haikuwa hivyo kwa Rais, Biden ana presha kubwa sana ya kutafuta chochote cha kujisifia kwa siku 60 alizobakiza, Alimwambia Netanyahu akubali kustop mashambulizi lasivyo hamuuzii...
  17. 5523

    JamiiForums Tanzania Hezbollah yathibitisha 'ushindi' dhidi ya Israel baada ya usitishwaji mapigano

    Hezbollah ilithibitisha "kupata ushindi" dhidi ya Israel, ambayo iliitaja kuwa "adui wa kufikirika", kwa zaidi ya miezi 13, baada ya usitishaji mapigano kuanza kutekelezwa na maelfu ya watu waliokimbia makazi yao kurejea katika miji na vijiji vyao, hasa kusini mwa Lebanon. Hayo yamejiri katika...
  18. FaizaFoxy

    JamiiForums Tanzania Netanyahu asalimu amri baada ya kichapo cha Hezbollah

    Kwa mara ya tatu katika historia ya mazayuni wanasalimu amri bila kupenda kwa Hezbollah. hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni wanaondoka Lebanon walikukokuwa wanaishikilia kwa mabavu wakisaidiwaa na Mmarekani. Kweli, walitimiza...
  19. Ritz

    JamiiForums Tanzania Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah unakaribia kukamilika

    Wanaukumbi. Yerusalemu CNN - Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na kundi la wanamgambo wa Lebanon Hezbollah "uko karibu sana," chanzo cha kikanda kiliiambia CNN siku ya Jumapili, hata kama ongezeko la mashambulizi ya Israel lilishuhudia vifo vya Lebanon tangu katikati ya Septemba...
  20. U

    JamiiForums Tanzania IDF yasambaratisha kwa makombora jengo la ghorofa 8 Beiruti huku ikidaiwa mlengwa alikuwa kiongozi mkuu mpya Hezbollah Naim Qassem!

    Wadau hamjamboni nyote? Yasemekana Kiongozi Mkuu huyo aliyechaguliwa karibuni na shura ya maimamu kuongoza kikundi hicho cha Hezbollah alikuwa ndani ya jengo hilo pamoja na afisa mwandamizi Talal Hamiya Watu 4 wameuawa na 23 wakijeruhiwa vibaya Jengo hilo la ghorofa 8 limesambaratishwa...
Back
Top Bottom