KWA MTINDO HUU HEZBOLLAH INABIDI WAJITAFAKARI VIZURI.

KWA MTINDO HUU HEZBOLLAH INABIDI WAJITAFAKARI VIZURI.

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,000
Reaction score
7,618
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon katika mahojiano na waandishi wa habari:

"Tuliweka wazi kuwa msaada na ujenzi mpya utakuja mara tu silaha zote nchini Lebanon zitakapokuwa mikononi mwa serikali."

Kimsingi anasema kwamba ujenzi upya wa kusini mwa Lebanon na Dahiya utaanza tu baada ya Hezbollah kupokonywa silaha. Hapo ndipo wataanza kujenga upya maeneo yaliyoharibiwa na majeshi ya Israel kipindi cha vita.
 

Attachments

  • IMG_2383.jpeg
    IMG_2383.jpeg
    111 KB · Views: 23
Kwani kuna ubaya kujenga?
KAZI ni kipimo cha utu
 
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon katika mahojiano na waandishi wa habari:

"Tuliweka wazi kuwa msaada na ujenzi mpya utakuja mara tu silaha zote nchini Lebanon zitakapokuwa mikononi mwa serikali."

Kimsingi anasema kwamba ujenzi upya wa kusini mwa Lebanon na Dahiya utaanza tu baada ya Hezbollah kupokonywa silaha. Hapo ndipo wataanza kujenga upya maeneo yaliyoharibiwa na majeshi ya Israel kipindi cha vita.
Naona Hezbollah anapata kigugumizi na mtihani mgumu kwani kimsingi silaha alizonazo Hezbollah ni mali ya Baba yao mfadhili wa ugaidi Iran. Hezbollah labda apate kibali cha Baba huyo - kitu ambacho sio rahisi. Lakini kadri Hezbollah anavyokuwa na kiburi cha kuzisalimisha silaha hizo na muda unakwenda, IDF ikishamalizana na HAMAS; watakaofuata ni Hezbollah ambapo kazi itakuwa kupokonywa silaha kwa nguvu ikiwa ni pamoja na kufinywa. Hapo ndipo Lebanon anapopasubiri kwa hamu.
 
Kuna ubaya kujenga sasa hivi kwani Israel itakuja kubomoa tena maana Hezboullah hawajatimiza masharti ya usitishwaji mapigano huko Lebanon
Isreale ndo hajatimiza sijui kwani wabongo mnajizima data
 
Naona Hezbollah anapata kigugumizi na mtihani mgumu kwani kimsingi silaha alizonazo Hezbollah ni mali ya Baba yao mfadhili wa ugaidi Iran. Hezbollah labda apate kibali cha Baba huyo - kitu ambacho sio rahisi. Lakini kadri Hezbollah anavyokuwa na kiburi cha kuzisalimisha silaha hizo na muda unakwenda, IDF ikishamalizana na HAMAS; watakaofuata ni Hezbollah ambapo kazi itakuwa kupokonywa silaha kwa nguvu ikiwa ni pamoja na kufinywa. Hapo ndipo Lebanon anapopasubiri kwa hamu.
Asante kwa ufafanuzi muruuuua
 
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon katika mahojiano na waandishi wa habari:

"Tuliweka wazi kuwa msaada na ujenzi mpya utakuja mara tu silaha zote nchini Lebanon zitakapokuwa mikononi mwa serikali."

Kimsingi anasema kwamba ujenzi upya wa kusini mwa Lebanon na Dahiya utaanza tu baada ya Hezbollah kupokonywa silaha. Hapo ndipo wataanza kujenga upya maeneo yaliyoharibiwa na majeshi ya Israel kipindi cha vita.
Iran itajenga tena bure kabisa.
 
Naona Hezbollah anapata kigugumizi na mtihani mgumu kwani kimsingi silaha alizonazo Hezbollah ni mali ya Baba yao mfadhili wa ugaidi Iran. Hezbollah labda apate kibali cha Baba huyo - kitu ambacho sio rahisi. Lakini kadri Hezbollah anavyokuwa na kiburi cha kuzisalimisha silaha hizo na muda unakwenda, IDF ikishamalizana na HAMAS; watakaofuata ni Hezbollah ambapo kazi itakuwa kupokonywa silaha kwa nguvu ikiwa ni pamoja na kufinywa. Hapo ndipo Lebanon anapopasubiri kwa hamu.
Wapigwe tu maana tumechoka Sasa. Dini gani imeeldkezwa na Mungu wao kiifuta jamii ya watu wengine!!!!!!???? Eti unabaka ukimaliza unaimba Allahu Akbar,unachinja unaburuza maiti barabarani huku unaimba Allahu Akbar...na mda huu nasikia huko nje huu wimbo unaimbwa huko nje" Allahu Akbar" tuelewe nini sasa? Na wenye dini yao humu jukwaani wakija wanatetea kila linalofanywa na Hezbollah, Hamas na Houthi. Mambo gani haya ya kipuuzi... Na kule Afghanistan nako kila siku matamko yakijinga tu mara Ooo wanawake wasitoke nje mara oo jikoni kusiwe na dirisha mara ooo marufuku kucheka. HALAFU WANATAKA DUNIA INYAMAZE IRAN AMILIKI NYUKIRIA....SHENZI KABSA
 
Irani ndio anawapa jeuri hezbola so nikahisi wataenda kuwaomba wawajengee tena mkuu usinitolee povu hivyo ndugu yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Thubutuuu! Watoto wake(proxies) wote wamebaki yatima. SI walisema baada ya October 7 kuwa Israel akiivamia Gaza Iran itaingilia!!!!??? Yakowapi sasa katuma vijumbe wa Hezbollah matokeo yake viongozi wao na makamanda wao woteee wako huko wanakokujua wanafanya ngono na dada zao wale 72 pamoja na kina Yayaha Sinwar, Ismail hanniyeh,Osama bin laden, Alzawair,
 
Thubutuuu! Watoto wake(proxies) wote wamebaki yatima. SI walisema baada ya October 7 kuwa Israel akiivamia Gaza Iran itaingilia!!!!??? Yakowapi sasa katuma vijumbe wa Hezbollah matokeo yake viongozi wao na makamanda wao woteee wako huko wanakokujua wanafanya ngono na dada zao wale 72 pamoja na kina Yayaha Sinwar, Ismail hanniyeh,Osama bin laden, Alzawair,
Doh! Zawadi za huko ndio hizo kumbe
 
Irani ndio anawapa jeuri hezbola so nikahisi wataenda kuwaomba wawajengee tena mkuu usinitolee povu hivyo ndugu yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa kweli bora tu hili Povu nikafulie koti langu
 
Back
Top Bottom