heshima

Heshima Salim Thompson ( EESH-mə; born 23 October 1986) is a British actor and singer.
Born in the London Borough of Brent, son of Jamaican Reggae singer Dr Alimantado and brother of soul singer Zalon.In 2001 Heshima began his career singing on BBC Documentary Heart of Harlesden, he was scouted from the documentary to play a lead role in BBC’s Babyfather. He has appeared on television in Spooks, Spooks: Code 9 as Jez, Prime Suspect, Casualty, City Lights and Judge John Deed. In theatre he has appeared at The Young Vic in Generations and at The Royal Court in Incomplete and Random Acts of Violence. In 2009 he was nominated for a Screen Nation Award in the Young Shooting Star category. Heshima toured with Amy Winehouse along with brother Zalon on her Back to Black album which was only scheduled to last for 3 months, but the tour was so successful they ended up touring for six years and collected five Grammy Awards.In 2009 he auditioned for the sixth series of The X Factor and in 2011 he auditioned for the eighth series. In 2010 he was cast as Asher Levi in series 2 of EastEnders: E20.In March 2012 Thompson auditioned for the first series of The Voice UK After four chair turns, Heshima chose will.i.am as his coach and made it to the battle rounds of the competition. Heshima worked with Zalon, Salaam Remi and Mark Ronson singing and vocal producing on Amy Winehouse's Album Lioness: Hidden Treasures including singles "Our Day Will Come" and "Like Smoke", which features Nas. Lioness: Hidden Treasures debuted at number one on the UK Albums Chart.In 2014 Heshima founded HTG Entertainment a British entertainment agency.

View More On Wikipedia.org
  1. GE2025 Kyara: SAU Tukishinda Urais tutapunguza Bei ya umeme, Kupunguza makali ya maisha

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Kyara, amesema iwapo atachaguliwa kuwa Rais, atahakikisha anarejesha heshima ya wanaume ambayo imeonekana kupotea, kutokana na ukweli kwamba wengi wao siku hizi wanakwepa majukumu na kutegemea wanawake...
  2. Heshima iliyofutwa na reset

    Inaitwa Heshima, na “Resets” Zimeifuta Nililelewa katika dunia ambapo heshima haikuwa hiari, ilikuwa ndiyo msingi. Haikuwa kitu cha kuonesha pale tu unapohitaji kitu. Haikuwa hila ya kujipandisha mbele. Ilikuwa mtindo wa maisha. Nilifundishwa kugonga mlango kabla ya kuufungua, kwa sababu...
  3. Pamoja na kukitumikia chama na serikali chama kimeshindwa mkumbuka Ndugai katika mapokezi ya uchukuaji form ya ugombea Urais 2025

    Nilitegemea Rais katika hotuba yake angewaongoza wanachama wa ccm kumuombea kheri mh Ndugai ambaye ametangulia mbele za haki na ambaye bado ajazikwa badala yake hilo halijafanyika zaidi nikuomba burudani iendelee
  4. Tundu Lissu ana hadhi ya kupewa udaktaria wa heshima

    Udaktaria wa uropokaji.🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  5. I

    Kwa heshima kabisa Pastor Tony kaa kimya, Unakoelekea unaharibu

    Baada ya mke wa Pastor Tony,kushuhudia ibadani kuwa kuna siku waliishiwa gesi,Pastor Tony akaupuliza mrija,wakapata gesi ya kutumia wiki mbili,nchi ni kama imerindima na kupatwa na taharuki Wengine wanaona,ni usanii at its maximum point,wengine wanajiuliza maswali ya kufikirisha sana,ambayo...
  6. M

    Kama mwanamke wako anamwita mchungaji wa kilokole "Daddy" kaa nae mbali, huwezi kumshauri wala kueleweka, ameshaamua nani anamwongoza

    Siku hizi imekuwa kawaida kabisa kuona wanawake wa kilokole wakipost picha za wachungaji wao kwenye status huku wakisema “DADDY” – yaani “Baba yangu.” Hawa wachungaji ni wale wa kilokole wanaosifika kwa miujiza ya kustaajabisha kama kuuza mafuta ya upako, keski za upako, kujaza gesi ya mtungi...
  7. GE2025 Polepole ni muda wa kujitoa mwenyewe CCM kabla hujafukuzwa, utaheshimika zaidi!

    Wanabodi, Jana nilipandisha bandiko hili humu jukwaani Polepole, Ubalozi kwaheri. Huwezi kukata tawi la mti uliokalia. Shuka kwanza chini, simama kwa pembeni ndipo upige hilo shoka moja Mbuyu chini Leo hilo jambo, limetokea kweli GE2025 - Rais Samia atengua uteuzi wa Humphrey Polepole...
  8. Nahitaji heshima, thamani na tusitukanane najisikia vibaya

    Shikamooni wakubwa wote humu ndani. Siku ya kwanza kujiunga na mtandao huu nilifundishwa na dada yangu, ambaye ndiye boss wangu. Alinielekeza mengi, hasa kuhusu majina na picha, akanambia kuwa si vema kuweka picha na majina halisi. Lakini haikuniingia akilini kwanini nijifiche, nijibane...
  9. M

    Sowah, anakipaji anapaswa kutunza kipaji chake kwa Nidhamu na siyo kuvunja heshima ya watu wengine

    Sowah ni mchezaji mzuri, katika kuendelea kudhihirisha kile alichonacho, anahitaji kurekebisha vitu vichache tu Sowah, anahitaji kutengeneza kitu kinaitwa Nidhamu, katika kujenga uwezo wa kipaji na kukipalilia, mtu yeyote anahitaji ajiheshimu na kuheshimu wengine hata kama ni kwa jambo...
  10. Mbowe kaamua kuchagua fedha na sio heshima

    Wengi wa watu wanachukia sana wanasiasa kwa sababu wanawaona wana sifa mbaya ni ukweli wako wenye sifa mbaya na nzuri ni kama tu Kwenye biashara kuna ambao ni wafanyabiashara waaminifu na ambao sio waaminifu, hata makazini ni hivyo hivyo kunawapigaji na ambao ni waaminifu Wanasiasa ni rahisi...
  11. Namshauri Bilionea Patrice Motsepe Rais wa Heshima wa CAF afute michuano hii ya CHAN

    Michuano Gani ambayo Haina shamrashamra, michuano inafanyika kwenye nchi ambayo watu hawana muda, marketing iliyofanyika ni ya kiwango Cha chini sana, Yan mtu anaetoka ulaya akija hawez kujua kabisa kwamba Kuna michuano ya mpira wa miguu inafanyika nchini, Naona kabisa bilionea Motsepe ataifuta...
  12. A

    Nini kipo nyuma ya ubunge nje ya maslahi na heshima kwenye jamii

    Nimekuwa nikijiuliza maswali tele, kuwa ni nini hasa kipo nyuma ya ubunge? Kwanini watu wanaufukuzia kwa kiwango cha kutisha hivi. Unakuta mtu tayari ana uchumi mkubwa....ana miradi yake ipo stable tu, lakini bado anausaka ubunge... Angalia mtu kama Abood, late Mkono nk Utakuta mwingine ana...
  13. Heshima ya mwanamke wa sasa ipo wapi?

    Miaka ya 1990 kurejea nyuma, wanaume tulikuzwa na familia zetu kuwaona wanawake kama viumbe wa kuwalinda na kuwajali sana. Hii haikuwa Tanzania tu bali ulimwenguni. Ukitazama filamu,wanaume walikuwa wakisalimia wanawake wanawavulia kofia na kuinamisha kichwa kidogo na kuwaita majina ya heshima...
  14. Watu na heshima zao wadhalilishwa kwa chakula kiasi hiki ambacho kipo karibu yao

    Hii ni aibu kwa dunia na unyama uliopitiliza mipaka.
  15. Heshima kwa wageni kuendelea kuwepo eneo la tukio

    Wanandoa nchini Filipino wamewashangaza watu wengi ulimwenguni baada ya kuendesha shughuli za harusi yao katika kanisa ambalo limejaa maji kutokana na dhoruba na mafuriko. Bwana Newlyweds Jade Rick na Jamaica kiss - wanaeleza Maamuzi hayo kwao ni kama kujitoa sadaka katika jambo Lao, lakini...
  16. Et Muliro anasema "MTU aliyejitambulisha kua ni Polepole wewe Muliro Wewe, Mpe Heshima yake !!.

    Akiongea na vyombo vya habari kuhusu Sakata La Dada wa Aliyekua Balozi Cuba, Katibu mwenezi CCM , Mh Polepole, Leo Afande Muliro anamuita "Et MTU aliyejitambulisha ' Wewe Muliro Wewe utadhan unafanya kazi ya kutukuka wakati Mzee Kibao aliuliwa na Watu wenye Bunduki walomshusha Ndani ya Bus...
  17. K

    Kazi nzuri ya Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete

    Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, moja kati ya uwekezaji wa maana na wakimkakati. Pamoja na uwingi wa wagonjwa, hawa jamaa wanafanya kazi kwa weredi, unyenyekevu na kujituma sana. DR. Tatizo Waane, ni moja kati binadamu wa mfano, licha ya changamoto chache, lakini hii haiondoi ukweli kwamba...
  18. AKIAMUA KUISHIA HAPA ATAJIJENGEA HESHIMA KULIKO ANAVYOTAMANI KUENDELEA.

    Hakuna anayeweza kutoa ushauri huu kwa sababu ambao wangemshauri wanafaidika na mfumo, wamejizima data wala hawaoni Mambo yanaenda ndivyo siyo, hawaoni majirani zetu wanavyopata taabu kurudisha treni kwenye reli, yakiacha yafike kwa Nchi yetu kuuzima moto itatughalimu jasho na damu. Hivi nini...
  19. Una uhakika simu yako haiwezi kukutia aibu au kukushushia heshima

    Ikitokea imetokea umekufa au upo katika hali ambayo haikulazimu wewe kutumia simu yaani ili utumie simu lazima usaidiwe na mtu je vitu ulivyo hifadhi kwenye simu yako kuanzia kwenye mafile mpaka picha je heshima yako bado itabaki vile vile Kuna mama mmoja simu yake ilikuwa imegoma kufuta picha...
  20. Wanawake wengi wa kiislamu ndiyo wanaongoza kuwq na maadili na heshima Tanzania hii!!

    Wanawake wengi sana wa kiislamu ila sio wote ndiyo wanaongoza kuwa na maadili na heshima kwa Taifa hilo pia ndiyo wanaongoza kukaa kwenye ndoa na kuwatii waume zao na hii kitu nimekifanyia utafiti sana kila kona sifa nyingi zinaenda kwa wanawake wengi wa kiislamu We fuatilia ndoa nyingi sana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…