heche

Heche is a small village located in the Sorab panchayat town of Sagara, taluka in Shimoga district in the Indian state of Karnataka. It is close to Chandragutti, which has an ancient fort and temple. Heche has a few ancient temples, including the Kalikamba Temple, Eshwara (Pachalingeshwara) and Anjaneya temple.

View More On Wikipedia.org
  1. GE2025 Mahakama yafafanua zuio la CHADEMA, zuio linawahusisha Tundu Lissu na Makamu Wenyeviti wake wawili

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar Es Salaam imetolea ufafanuzi amri ya zuio la kufanya shughuli za kisiasa kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambapo Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu na Makamu Wenyeviti wake wawili (2) ambao ni John Heche wa...
  2. PreGE2025 Heche: Nikiwa Mbunge kwa mwezi tulilipwa Sh 12.7m, sasa nadhani wanalipwa Sh 18m

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akizungumza na Wasafi FM, jana Julai 15, 2025 katika Kipindi cha Jana na Leo.
  3. John Heche akata Keki ya Birthday Mahakamani

    Viongozi na wanachama wa CHADEMA wamemfanyia 'suprise' ya Birthday Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, John Heche kwa kumletea keki mahakamani ambapo baada ya kesi inayokihusu chama hicho Heche alikata keki akiwa eneo la parking ya Mahakama Kuu Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam.
  4. Heche kuna kigogo ndani ya CCM aliwekwa ndani Ili hasiende kwenye usahili wa ubunge.

    Ndani ya CCM Kuna mambo ya kutisha. Henche amesema sahivi Wana CCM wanampiga simu wanasema kuwa na wenyewe wanataka reforms. Heche amesema kuna kigogo ndani ya CCM Kwakua mfumo haumuitaji siku ya usahili aliwekwa ndani Ili hasiende kwenye usahili. Lakini pia amebainisha ya kwamba Majaliwa...
  5. P

    Interview ya Heche iko edited

    Waliofanya hii editing Mungu anawaona. Huu ni upotoshaji na Heche ana haki ya kuwafungulieni mashitaka. Video hapo chini
  6. R

    Sikiliza madini ya Makamu Mwenyekti Chadema, Heche

    "Mimi ni Simba tumefungwa kihalali hakuna malalamiko, tumechapwa, tuko kimyaaaaaa. Hivyo hivyo kwenye uchaguzi tuwe na fair ground!
  7. GE2025 Heche: Kuna watu walikuwa CHADEMA malengo yao yalikuwa ubunge

    "Interest za viongozi zikiwa tofauti na za wananchi,wananchi hawatokuunga mkono. Sasa kuna watu walikuwa CHADEMA kumbe malengo yao ni kuwa wabunge na madiwani" - JOHN HECHE,Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
  8. Baada ya kumsikiliza John Heche nimegundua ndo anafaa kuwa Rais wa Tanzania jamaa ana akili sana.

    John Heche ni hazina kubwa Sana na yupo mbele Sana ya Muda. Huyu ndo anafaa kuwa Rais.
  9. Mama Samia Vs Lissu au Heche ni kama Kamala Harris na Trump kazi kwa CCM kuamua kuwa kama Democrats

    Kwa speed ya uongea, mass mobilization, maneno ya kejeli na Karaha, kujenga hoja n.k namfananisha Lissu na Trump. Mama Samia nae ongea yake, nafasi yake ya VP, gender,chama chake kuwa chama tawala n.k namfananisha na Kamala Harris Huko Marekani Democrats nao hawakuwa na mchakato wa nomination...
  10. PreGE2025 Heche: Hatuna imani na Jaji anayeendesha kesi

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMBA Bara, John Heche hii leo afika Mahakamani kwenye kesi iliyofunguliwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti Zanzibar kwa miaka zaidi ya kumi, Said Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Bodi ya wadhamini wa CHADEMA na Katibu Mkuu wa CHADEMA "Ni wazi kwamba CCM...
  11. W

    PreGE2025 Mnyika ashangazwa na kitendo cha Jaji kutokufika mahakamani, akiita kitendo hiko ni muendelezo wa Jaji kutokutenda haki

    Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa, John Mnyika ameonyesha masikitiko yake juu ya Jaji anayeendesha kesi yao kutofika Mahakamani na kesi hiyo imepelekwa mbele hadi Julai 10, 2025 Mnyika ameeleza kuwa tayari wameshaandika barua ya kuonyesha kutokuwa na imani na Jaji huyo na kutaka aondolewe na...
  12. Heche ni hatari kwenye siasa za nchi hii kiasi hiki?

    Kesho jumapili kulipangwa kipindi maalumu cha CAFETALK ambacho waongozaji wake walipangwa Kuwa Salim Kikeke na muuliza maswali nguli Masoud Kipanya, ghafla likatoka tangazo juu ya kwamba Heche hatahojiwa sababu ya chama chake kuzuiwa siasa... Sasa Je ni kweli kwamba Heche ni hatari kwenye...
  13. Heche azuiwa kushiriki kipindi cha Cafe Talk

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Bara), John Heche amezuiwa kushiriki kipindi cha Cafe Talk kitakachofanyika kesho Juni 22, 2025 jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa wanandaaji wa kipindi hicho zinasema wamepokea barua kutoka mahakamani ikiwaeleza kuwa CHADEMA imezuiwa kufanya kazi, hivyo...
  14. Huyu Waziri anayetaka kumdhuru Mzalendo Heche ni nani? Kwa nini anamuhofia Heche.?

    Kuna mkutano mkubwa wa CHADEMA. Heche amemwambia Dj apige audio ya mmoja wa Mawaziri wa CCM akiapa kumnyoosha Heche kwa kumdhuru. Je, huyu Waziri ni nani na kwa nini awe anatishia watu maisha? # No reform no election
  15. Dola yenye watu Wazalendo, Utimamu Bora wa Akili na Maono, Haiwezi Ruhusu Watu aina ya Mpina, Gwajima, Lissu, Heche wapotee Kwa manufaa ya Taifa !!.

    Hawa watu ni muhimu sana Kwa Manufaa ya Tanzania ya Leo na baadae , ni watu ambao Kanuni, Falsafa na Imani zao kuhusu Tanzania Bora zinapaswa kugeuza kua ITIKADI YA NCHI !!. Ni watu ambao ni Nadra sana kupatikana, katika wakati kila MTU amekua Chawa Chawa kiasi cha kupofusha viongozi wasione...
  16. PreGE2025 Polisi yazuia Mkutano wa John Heche na Waandishi wa Habari uliokuwa ufanyike leo Juni 17, 2025

    Jeshi la Polisi limezuia kufanyika Mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche na waandishi wa habari ulokuwa ufanyike leo Juni 17, 2025 katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam, kwa maelezo kwamba chama hicho kimezuiwa na Mahakama kufanya shughuli za...
  17. Mkutano wa John Heche na Waandishi wa Habari ni Chadema kujichanganya kisheria. Usiri wao utawagharimu

    Kuna taarifa kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche atazungumza na waandishi wa habari leo tarehe 17 Juni 2025 saa tano kamili asubuhi, katika hotel ya Seashells Millennium Hotel, iliyopo Makumbusho Dar es salaam. Chadema imeamua kufanya mkutano huo kwa siri, usiri huo utawaponza hasa...
  18. W

    SI KWELI PreGE2025 Heche amesema wao Oktoba wanatiki

    Wakuu Je, ni kweli Heche amesema wao Oktoba wwanatiki?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…