halmashauri ya jiji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Jiji Dar: Hatukamati Wanaoshusha au kupakia abiria bali wanaoegesha kabisa

    Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imetoa ufafanuzi kuhusu uendeshaji, utaratibu wa maegesho, pamoja na utozaji wa faini kwa vyombo vya usafiri wa umma, hasa pikipiki za miguu miwili (bodaboda) na miguu mitatu (bajaji), ili kuondoa taharuki na usumbufu kwa madereva pamoja na wananchi. Akijibu...
  2. JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Jiji la Dar yasitisha ada ya maegesho Mjini

    Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imebatilisha tangazo lililowataka waendesha bodaboda, bajaji na maguta kulipa ada ya maegesho ya Sh100,000 kwa miezi sita au Sh180,000 kwa mwaka, huku baadhi ya madereva wakilalamikia ukamataji na faini ya Sh70,000 wanazodai kukutana nazo wanapoingia katikati...
  3. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Harufu ya rushwa katika Idara ya Utawala na Utumishi, Halmashauri ya Ilala

    Katika mashauri ya kinidhamu yaliyohitimishwa mwaka 2024/2025, baadhi yetu watumishi tulikutwa na hatia na kuamuriwa kukatwa asilimia 15 ya mishahara yetu kila mwezi kwa kipindi cha miaka mitatu. Kinachoshangaza ni kwamba baadhi yetu tunakatwa mishahara, lakini wenzetu wengine hadi leo...
  4. JamiiForums Tanzania Usaili Ndani ya Ajira: Halmashauri ya Jiji la Mwanza Mmefeli sana

    Kama ulidhani Mwanza kuna mambo ya samaki tu, basi chukua na hii! Jiji la Mwanza limeingia kwenye kituko baada ya Mkurugenzi wa Halmashauri kutangaza usaili wa ghafla mnamo tarehe 27 kwa askari wote wa Jiji ili kubaini & "wasio na sifa."* Hapo ndipo wakazi wa Mwanza na Viunga vyake waliposhika...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Jiji Dar ina mpango gani na Soko la Ilala Boma? Lina mazingira hatarishi kiafya

    Nimekuwa nikitembelea Soko la Ilala Boma kununua bidhaa za ndani kwa ajili biashara ya genge, sasa ni takribani miaka minne imepita. Kusema ukweli, soko hilo lipo katika hali mbaya licha ya kuchangia kwa kiwango kikubwa kwenye mapato ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Katika kipindi hiki...
  6. JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Jiji la Mbeya rekebisheni mitaro ya maji maeneo ya Kabwe

    Habari ndugu zangu, ndugu yenu Mwanongwa katika pitapita zangu leo nimeibukia maeneo ya Kabwe Jijini Mbeya. Kuna mitaro maeneo ya Kabwe njia ya kwenda Block T ni janga kubwa sababu maji na inaleta kero kubwa kwa vyombo vya usafiri hii ni kutokana na maji hayo kuharibu barabara. Mitaro hiyo...
  7. JamiiForums Tanzania Sintofahamu: Halmashauri ya Jiji la Arusha na Mchakato wa Kodi ya Majengo

    Hii fomu imetolewa na Halmashauri ya Jiji. Ukiwauliza walioleta fomu mbona huu mchakato wa Kodi ya Majengo tayari ulishaingizwa kwenye manunuzi ya umeme hawana majibu! Kuna namba imewekwa hapo chini, ukipiga hawapokei! Sijui wanataka nini zaidi... LAKINI hisia zangu zinaniambia zinatafutwa...
  8. JamiiForums Tanzania Hii ndiyo orodha ya Majiji, Manispaa, Miji na Halmashauri 65 zenye mzunguko mkubwa wa fedha ukianzisha biashara hapa, kutoboa ni lazima

    Ni vyema ikaeleweka kwamba pamoja na kwamba TRA ndio Ina jukumu mama la kukusanya Mapato ila Kuna taasisi pia zimekasimiwa jukumu Hilo pia.Baadhi ya taasisi hizo ni pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa,Tume ya Madini nk. Leo nitajadili Makusanyo ya ndani (Own Source) yanayokusanywa na Mamlaka...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…