USIKU wa June 18, 1968 Karibu na Kijiji cha "Go Cong" kusini mwa Vietnam, Luteni Usu wa jeshi la Marekani akiendesha helikopta ya Mashambulizi aina ya G- Cobra yenye mruko namba AH1 alipokea taarifa ya kuombwa msaada kupitia simu ya upepo (Radio call)...
Mwaka 1983 Brazil waliingia katika msiba mzito kisoka pale walipompoteza gwiji wao Manuel Francisco dos Santos almaarufu kwa jina la Garincha. Garincha ni moja ya kizazi cha dhahabu cha soka la Brazil kilichoibuka mwishoni mwa miaka ya 1950s akiingoza vyema nchi hiyo kunyakua ubingwa wa dunia...
bila shaka naisi tupo wengi ambao tumekumbwa na janga ili la window 10 updates yani kila niki download any app kwenye pc inakuja na icon ya website iliyo downlodia kama ile ya e ambayo ni explorer, naombeni msaada kwa wana jamvi wale ambao mnaujuzi mnipe mwongozo kidogo maaana am not good with...
Habari za asubuhi wanajamvi,
Nimeleta uzi hapa naamini nitapata msaada wa kimawazo. Kwa kawaida katika makuzi ya watoto malezi yanatofautiana na hivyo kuleta tabia tofautitofauti baina ya familia moja na nyingine au jamii moja na nyingine.
Hoja yangu ni kuhusu kuongeza IQ, Creativity and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.