Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,069
- 5,679
Kocha mkuu wa Manchester City, Pep Guardiola, anadaiwa kuwa "hapatikani" na hatumii simu yake ya mkononi, huku muda mwingi akijifungia ofisini akijaribu kutafuta njia ya kutoka kwenye hali ya vipigo mfululizo vinavyoikumba timu yake.
Guardiola, ambaye anasifika kwa mbinu na Soka safi amekumbana na vipogo saba mfululizo bila kuonja ushindi na Man City, anapambana kutafuta suluhisho la haraka kwa hali mbaya ya timu hiyo.
Taarifa za ndani zinadai kuwa kocha huyo anajaribu kufikiria mikakati mipya ya kuirejesha timu hiyo kwenye ufanisi baada ya mfululizo wa matokeo mabaya.
Guardiola, ambaye anasifika kwa mbinu na Soka safi amekumbana na vipogo saba mfululizo bila kuonja ushindi na Man City, anapambana kutafuta suluhisho la haraka kwa hali mbaya ya timu hiyo.
Taarifa za ndani zinadai kuwa kocha huyo anajaribu kufikiria mikakati mipya ya kuirejesha timu hiyo kwenye ufanisi baada ya mfululizo wa matokeo mabaya.