INTRODUCTION
Dear President Samia, the saying that "actions speak louder than words" means that a person's behavior and actions are a more reliable indicator of their true intentions and feelings than what they say.
The wisdom of this saying fully applies to your government's actions between...
Introduction
In the course of this year’s budget discussions, there has been limited emphasis on reducing government spending. Despite increases across ministries and public institutions, the focus on implementing cost-cutting measures has been inadequate. This raises concerns about the...
Vijana wanaoanza kazi, ajira mara nyingi nimekuwa nikiwaona wanapitia changamoto nyingi katika mazingira ya ugenini huku wakiugulia maumivu mbalimbali kutokana na kipato kidogo wanachopata wakati huo huo wakiwa hawawezi kukwepa kutoa msaada kwa ndugu zao wa karibu ambao mara nyingi ndio...
Wakuu habari za siku mingi.
Mercy yupo mzima, yupo dar kwasasa na kila siku ananisumbua niende dar au aje nilipo tuonane.
Merry yupo tunasonga na maisha.
Nimekuja leo naombani ushauri.
Nilipata job govenment lakini at a time napambana na job ya govenment nilikuwa nishaanza kufatilia na...
Sijui huu uoga ni wa nini
Kwanini mtu tulomshinda kwa ushindi mkubwa hivi atupe hofu
CCM inakubalika kwa 99% hata mwenyekiti wa tume angekuwa Lema bado tungewashinda Sasa hofu yetu ninin Hadi kutumia nguvu nyingi KIASI hiki kudhibiti watu wasio na nguvu yeyete sio ya umma Wala...
The government is on Autopilot ??
Yani Mkuu wa mkoa kutoka chama cha Mapinduzi CCM Mbele ya Naibu Waziri Mkuu anamdhalilisha Mbunge wa Chama cha Mapinduzi CCM Mbele ya wananchi huku Vyombo vya habari vikiwa Live 🧎🏽♂️hii ni mara ya pili .
1.Je Makonda ni nani??
2. Makonda anamamlaka gani Juu...
African Gen Z are increasingly leaning toward forging a path to unite the continent as one.
The Kaluta Blueprint for a trustless global government powered by AI and blockchain technologies offers the perfect special-purpose vehicle to form an African Union with the potential to surpass any...
Introduction
Education is the heartbeat of a nation’s progress. It is the foundation upon which we build our economy, empower our citizens, and shape our future. In Tanzania, both public and private schools are integral to this mission, tirelessly nurturing the next generation of leaders...
Habari wakuu
Kama title inavyojieleza naomba kufahamu hivi page ipo chini ya taasisi ya serikali au ipo chini ya mtu binafsi.
Ni kwasababu mara nyingi nimeona caption zake zinaanza na neno " nime... " Nimefanya hivi n.k
Lakini kuna vingine pia ni kama havihusiani na page au viko kibinafsi...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema Serikali tayari imeshanunua treni 10 za mchongoko ambapo treni 8 zimeshawasili na kati ya hizo 8, treni moja siku ya Jumamosi Januari 25, 2025 inakamilisha majaribio yake kutoka...
Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko yashuhudia ongezeko kubwa la hamasa kupitia kampeni ya Samia Legal Aid Campaign (MSLAC), ambapo elimu ya sheria inaendelea kutolewa kwa wananchi kwa kasi kubwa. Wananchi wamehamasishwa kuhusu masuala ya ardhi, mirathi, ndoa, haki za kijinsia, ajira, na mbinu za...
Mradi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato jijini Dodoma umeendelea kuonyesha maendeleo makubwa, huku kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ikieleza kuridhishwa na hatua zilizofikiwa hadi sasa. PAC imeitaka serikali na wakandarasi kuhakikisha mradi huu unakamilika haraka lakini pia...
Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema Daraja la JP MAGUFULI (Kigongo-Busisi), linalounganisha mkoa wa Mwanza na Geita, linatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu.Akikagua Ujenzi wa Daraja hilo leo tarehe 24 Januari 2025 mkoani Mwanza, Waziri Ulega amemshukuru na kumpongeza...
Ushirikiano wa Serikali ya Wazi (OGP) unafuraha kubwa kutangaza uteuzi wa Aidan Eyakuze, Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Afrika Mashariki, kama Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa OGP. Eyakuze analeta uzoefu mkubwa katika masuala ya Serikali wazi, Uwazi, na Ushirikishwaji wa Wananchi barani Afrika na...
U.S. Government COVID-19 after action report is out .It clearly shows those who were called "Conspiracy Theorists" were RIGHT,and everyone else was wrong
Hal Turner World December 02, 2024
The US House of Representatives "COVID Committee" has released its Final Report (527 Pages) and it's now...
"The education system teaches people how to work for money, not how to make money work for them."
7 lessons from Why 'A' Students Work for 'C' Students and 'B' Students Work for the Government: Rich Dad's Guide to Financial Education for Parents by Robert T. Kiyosaki's:
1. The Education...
In a highly publicized press conference meant to address Tanzania’s ongoing Local government election process, Tundu Lissu, CHADEMA's Vice Chairman for Tanzania Mainland, voiced deep skepticism about the fairness and integrity of the current electoral climate.
Speaking to journalists today...
The Minister of State in the President’s Office for Regional Administration and Local Government, Mohamed Mchengerwa, has urged all candidates who are dissatisfied with the nomination of candidates for various positions in the upcoming Local Government Elections.
Read also: CHADEMA and ACT...
I hope in tanzania TISS take part in the government decision though they are supposed to be catalysts only. Is the the reason why the opposition parties particularly chadema can't face free and fair election?
If this is true why don't we reform our constitution to cover up this loop hole.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.