g20

The G20 or Group of Twenty is an intergovernmental forum comprising 19 countries and the European Union (EU). It works to address major issues related to the global economy, such as international financial stability, climate change mitigation, and sustainable development.The G20 is composed of most of the world's largest economies, including both industrialised and developing nations; it accounts for around 80% of gross world product (GWP), 59–77% of international trade, two-thirds of the global population, and 60% of the world's land area.
The G20 was founded in 1999 in response to several world economic crises. Since 2008, it has convened at least once a year, with summits involving each member's head of government or state, finance minister, or foreign minister, and other high-ranking officials; the EU is represented by the European Commission and the European Central Bank. Other countries, international organizations, and nongovernmental organizations are invited to attend the summits, some on a permanent basis.
At its 2009 summit, the G20 declared itself the primary venue for international economic and financial cooperation. The group's stature has risen during the subsequent decade, and it is recognised by analysts as exercising considerable global influence; it is also criticised for its limited membership, lack of enforcement powers, and for the alleged undermining of existing international institutions. Summits are often met with protests, particularly by anti-globalisation groups.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Uwepo wa Afrika kwenye kundi la G20 ni hatua muhimu kwenye kuongeza sauti ya Afrika kwenye jukwaa la kimataifa

    Umoja wa Afrika umekuwa mwanachama rasmi wa kundi la G20, baada ya kilio chake cha muda mrefu cha kutaka kuwa na sauti kwenye majukwaa ya kisiasa na uchumi ya kimataifa. Tangu kundi hilo lilipoanzishwa mwaka 1999, likiwa na nchi wanachama 19 + Umoja wa Ulaya, wakati wote mambo yanayohusu mambo...
  2. PakiJinja

    😂😂😂Afrikaa...🤣🤣🤣...Africa Union yapewa Uanachama wa Kudumu G20🤣🤣🤣🤣

    Do I need to say more? Wale wazee wa Vitofa (BRICS) Sijui watasemaje. @mods hapo kwenye title ni African Union tafadhali.
  3. S

    Mkutano wa G20 Waunga Mkono Kujengwa Reli ya Kutoka DRC na Zambia Mpaka Angola

    Reli Hiyo ni maalumu kubeba mizigo hasa madini kuitoa mkoa wa Katanga DR Congo na mkoa wa Copper Belt Zambia na kuipeleka bandari ya Lobito Angola. ===== African Union now a permanent G20 member The G20 welcomed the African Union as a member at their annual summit Saturday. There was...
  4. B

    G20 India, Putin aufyata tena!

    Ile mizimu anayoiwahisha kusamehewa kwa Mola ingali ina muandama: Lile mwamba jembe la Buza Kwa mara nyingine litaendelea kufichama Kremlin. "Kwamba, hatoki mtu Moscow!" Hakutokea BRICS Sauzi na sasa hatotia mguu India. Yatasemwa mengi ila ukweli wa mambo utabakia: Ama kweli malipo ni...
  5. Msanii

    India yapendekeza Umoja wa Afrika kuwa mwanachama wa kudumu wa G20....

    Pendekezo hilo limetolewa na waziri Mkuu wa India Je hii ni janja ya mabeberu kuizuia Aftica kujiunga na BRICS? Pitia hapa G20 set to grant membership to African Union, sources say - Reuters https://www.reuters.com/world/g20-agrees-membership-african-union-par-with-eu-bloomberg-news-2023-09-07/
  6. BARD AI

    Viongozi wa Nchi za G20 waridhia Umoja wa Afrika kuwa Mjumbe wa Kudumu wa Jukwaa hilo

    Mkutano wa Jukwaa Kuu la Ushirikiano wa Kiuchumi wa Kimataifa la Group of Twenty (G20) limetoa baraka za kuupa Umoja wa Afrika Ujumbe wa Kudumu katika Jukwaa hilo ambapo sasa AU itakuwa na hadhi sawa na Umoja wa Ulaya (EU). Kwa uamuzi huo, AU itakua na sauti kwenye Kura za Maamuzi yatakayogusa...
  7. ChoiceVariable

    Baada ya Nigeria kukataliwa kujiunga na BRICS+, yatuma maombi kujiunga na G20

    Nigeria ilituma maombi ya Kujiunga BRICS na Kukataliwa Kwa sababu za Kisiasa.Sasa imetuma maombi ya Kujiunga na G20 kundi la Mataifa yenye Uchumi mkubwa Duniani. Je watakubaliwa au watachinjiwa tena baharini? Tusubirie tuone. Mwisho Hivi hizi blocks Huwa na faidia ipi? Kwa mfano uanachama wa...
  8. Abdull Kazi

    G20 delegates embrace Srinagar's cultural gems

    Mughal Gardens and revitalized Polo View Market Srinagar (Jammu and Kashmir) Srinagar, the crown jewel of Kashmir, welcomed delegates from G20 countries on a journey of cultural immersion and appreciation. As they ventured beyond the confines of the meeting rooms at SKICC, the delegates were...
  9. B

    Lavrov wa Urusi awavunja mbavu wajumbe G20 India

    Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake. Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka: Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣 Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina...
  10. HERY HERNHO

    Blinken uso kwa uso na Lavrov pembezoni mwa mkutano wa G20

    Wanadiplomasia wa Marekani na Urusi wamezungumza kwa ufupi pembezoni mwa mkutano wa mawaziri wa mambo ya kigeni kutoka kundi la nchi 20 zilizopiga hatua kiviwanda G20, mkutano ulioshindwa kutoka na tamko la pamoja. Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken na mwenzake wa Urusi Sergei...
  11. L

    Huu ni wakati wa Umoja wa Afrika kujiunga na G20

    Katika Mkutano wa 17 wa Kilele wa Viongozi wa Kundi la Nchi 20 (G20) uliomalizika hivi karibuni nchini Indonesia, Rais Xi Jinping wa China, kwa niaba ya China, kwa mara nyingine tena, alieleza kuunga mkono Umoja wa Afrika kujiunga na G20. Kama taasisi ya kikanda inayowakilisha idadi kubwa zaidi...
  12. L

    Kutoka G20 hadi APEC, China yatoa mipango yake juu ya maendeleo na usalama ya dunia

    Kuanzia tarehe 14 hadi 19 Novemba 2022, Rais Xi Jinping wa China alihudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kundi la G20 (G20) kisiwani Bali, Indonesia, na Mkutano wa Viongozi wa Kibiashara wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi ya Asia na Pasifiki (APEC) mjini Bangkok, Thailand. Katika siku hizi...
  13. L

    China yatoa wito wa kufanywa juhudi za kupunguza pengo la kidigitali

    Katika zama za leo, ukubwa wa uchumi wa kidijitali unaendelea kupanuka. Mwaka 2022, mchango wa teknolojia ya kidijitali kwa uchumi wa dunia unatarajiwa kufikia 60%. Hata hivyo, bado kuna pengo kubwa la kidijitali kati ya nchi zilizoendelea na zinazoendelea. Alipotoa hotuba kwenye mkutano wa 17...
Back
Top Bottom