"Wasomi wetu na wale wanaojipachika medali za 'tuna uchungu na nchi', wakisikia muda wa kuchukua fomu unakaribia, huingia mitini kama mwizi wa kuku aliyekanyaga msumari, hukaa kimya, vichwa chini, sawa na beberu aliyevishwa viatu ili asichomwe mwiba! Ukishazuka uongozi usiyotimiza matakwa ya...