finland

Finland (Finnish: Suomi [ˈsuo̯mi] (listen); Swedish: Finland [ˈfɪnland] (listen), Finland Swedish: [ˈfinlɑnd]), officially the Republic of Finland (Finnish: Suomen tasavalta, Swedish: Republiken Finland (listen to all)), is a Nordic country in Northern Europe bordering the Baltic Sea, Gulf of Bothnia, and Gulf of Finland, between Sweden to the west, Russia to the east, Estonia to the south, and north-eastern Norway to the north. The capital and largest city is Helsinki. Other major cities are Espoo, Tampere, Vantaa, Oulu, Turku, Jyväskylä, Lahti and Kuopio.
Finland's population is 5.52 million as of July 2019, the majority of whom live in the central and south of the country and speak Finnish, a Finnic language from the Uralic language family, unrelated to the Scandinavian languages. Finland is the eighth-largest country in Europe and the most sparsely populated country in the European Union. It is a parliamentary republic of 310 municipalities, and includes an autonomous region, the Åland Islands. Over 1.4 million people live in the Greater Helsinki metropolitan area, which produces one third of the country's GDP. Swedish is the second official language of Finland, which is mainly spoken in certain coastal areas and on Åland. A large majority of Finns are members of the Evangelical Lutheran Church.Finland was inhabited when the last ice age ended, approximately 9000 BC. Comb Ceramic culture introduced pottery 5200 BC and Corded Ware culture coincided with the start of agriculture between 3000 and 2500 BC. The Bronze Age and Iron Age were characterised by extensive contacts with other cultures in the Fennoscandian and Baltic regions. At the time Finland had three main cultural areas – Southwest Finland, Tavastia and Karelia. From the late 13th century, Finland gradually became an integral part of Sweden through the Northern Crusades and the Swedish part-colonisation of coastal Finland, a legacy reflected in the prevalence of the Swedish language and its official status.
In 1809, Finland was incorporated into the Russian Empire as the autonomous Grand Duchy of Finland. In 1906, Finland became the first European state to grant all adult citizens the right to vote, and the first in the world to give all adult citizens the right to run for public office. Following the 1917 Russian Revolution, Finland declared itself independent. In 1918, the fledgling state was divided by civil war, with the Bolshevik-leaning Red Guard, supported by Soviet Russia, fighting the White Guard, supported by the German Empire. After a brief attempt to establish a kingdom, the country became a republic. In World War II, Finland lost parts of Karelia, Salla, Kuusamo and Petsamo to the Soviet Union.
Finland remained largely an agrarian country until the 1950s. After World War II, the war reparations demanded by the Soviet Union forced Finland to industrialise. The country rapidly developed an advanced economy while building an extensive welfare state based on the Nordic model, resulting in widespread prosperity and a high per capita income. Finland is a top performer in numerous metrics of national performance, including education, economic competitiveness, civil liberties, quality of life, and human development. In 2015, Finland was ranked first in the World Human Capital and the Press Freedom Index and as the most stable country in the world during 2011–2016 in the Fragile States Index, and second in the Global Gender Gap Report. It also ranked first on the World Happiness Report report for 2018 and 2019.Finland joined the United Nations in 1955 and adopted an official policy of neutrality. The Finno-Soviet Treaty of 1948 gave the Soviet Union some leverage in Finnish domestic politics during the Cold War. Finland joined the OECD in 1969, the NATO Partnership for Peace in 1994, the European Union in 1995, the Euro-Atlantic Partnership Council in 1997, and the Eurozone at its inception in 1999.

View More On Wikipedia.org
  1. The Mongolian Savage

    Sweden na Finland sasa hivi kuna njaa kali, msijisumbue kutamani kuja

    Maisha sasa hivi Sweden na Finland kwa wahamiaji (Foreigners) ni magumu sana kupita maelezo. Kuna njaa kali sana na hii serikali zao zinafanya maksudi kwa kubana na kukaza ili tu kuzuia wahamiaji. Kazi za kubeba box zimekuwa ngumu hata za kufagia tu zimekuwa za kugombania na siyo full time...
  2. H

    TANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA UTALII NCHINI FINLAND

    TANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA UTALII NCHINI FINLAND Ubalozi wa Tanzania nchini Sweden umeratibu na kushiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Matka yanayofanyika jijini Helsinki, Finland, kuanzia tarehe 14-18 Januari, 2026, huku ukitangaza vivutio vya utalii vya Tanzania pamoja na...
  3. H

    TANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA UTALII NCHINI FINLAND

    TANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA UTALII NCHINI FINLAND Ubalozi wa Tanzania nchini Sweden umeratibu na kushiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Matka yanayofanyika jijini Helsinki, Finland, kuanzia tarehe 14-18 Januari, 2026, huku ukitangaza vivutio vya utalii vya Tanzania pamoja na...
  4. H

    Tanzania yashiriki maonesho ya utalii nchini Finland

    Ubalozi wa Tanzania nchini Sweden umeratibu na kushiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Matka yanayofanyika jijini Helsinki, Finland, kuanzia tarehe 14-18 Januari, 2026, huku ukitangaza vivutio vya utalii vya Tanzania pamoja na filamu ya Tanzania: The Royal Tour. Maonesho hayo ni...
  5. A

    Balozi za nchi za Nordic (Denmark, Sweden, Norway na Finland) zatuma ujumbe kuhusu mauaji katika uchaguzi

    Balozi za nchi za Nordic zimetuma jumbe tofauti kwenye kurasa zao za Instagram kuhusu mauaji yaliyofanyika katika uchaguzi wa tarehe 29. Ubalozi wa Finland unatoa rambirambi zake za dhati kwa wote waliopoteza wapendwa wao na kwa wale walioathiriwa na matukio ya hivi karibuni baada ya uchaguzi...
  6. Knock life

    Kinacholeta maendeleo sio ukubwa wa nchi au rasilimali, ebu angalia nchi ndogo kama Finland inaisadia Tanzania!

    Ukiangalia kwa undani utajua kuwa nchi za watu weusi hazina watu wenye akili . Inawezekana vipi kanchi kadogo Kama Finland kakawa kanatupa misaada.!!?
  7. JanguKamaJangu

    Soka sio mchezo pendwa namba moja Nchini Finland, unaoongoza ni ice hockey

    Wakati Barani Ulaya inajulikana wazi kuwa mchezo wa soka (Football) ndio namba moja kwa kupendwa na kufuatiliwa zaidi na Watu, Nchini Finland hali ni tofauti, wao mchezo wao namba moja ni ice hockey. Mchezo huo unaongoza kwa umaarufu na kwa kufatiliwa na watu wengi Finland, hii inajumlisha...
  8. Waufukweni

    Finland yatajwa kuwa Nchi yenye furaha zaidi Duniani

    Je, Wajua? Finland ndiyo nchi yenye kiwango kikubwa zaidi cha furaha duniani kwa mujibu wa ripoti ya furaha ya Dunia ya Umoja wa Mataifa kwa miaka 7 mfululizo (2024, 2023, 2022, 2021, 2020, 2019, 2018). Raia wa Finland wameridhika sana na maisha yao ya kila siku, jambo linalochangiwa na mfumo...
  9. Just Pray

    Tanzania tujifunze kwa Finland kuhusu haki Sawa na Maisha ya Kazi, Serikali inalipa posho ya uzazi hadi mtoto akitimiza umri wa mwaka mmoja

    Wakuu, Karibuni tufahamu kwa uchache kuhusu nchi ya Finland kuhusu usawa wa haki na maisha ya kazi. Nchi hii imekuwa kinara wa usawa wa kijinsia kwa muda mrefu. Wafinlandi wamezoea kuwaona wanawake wakiwa katika nyadhifa za juu serikalini, katika sekta ya biashara, na hata kanisani. Mfumo...
  10. Carlos The Jackal

    Pamoja na janjajanja za CCM, Rais wa Finland amfikishia Rais Samia Ujumbe Mzito wa EU na kumtaka Lissu aachiliwe huru bila mashariti, Haki na Uchaguzi

    Duru zimethibitisha kua , Umoja wa Ulaya umechukizwa na Matendo ya kihalifu yanayoendelea Nchini huku wakiwa ni wahisani na wafadhili Wakubwa wa miradi ya Maendeleo Nchini Tanzania . Taarifa za Uhakika ni kua, Rais wa Finland, ameitaka Serikali ya Tanzania 👉Kumuachia TUNDU LISSU bila...
  11. K

    Raisi wa Finland kaja kupumzika tu

    Raisi wa Finland kaja kupumzika tu ! Kwa hali ya sasa anashidwa hata kutoa misaada maana bunge lake hataweza kukubali kwa hali mbaya ya kisasa tulio nayo kwa sasa. Hivyo kwasababu alikuwa balozi wa Tanzania ni kama kaja kupumzika tu hakuna mradi wowote wa maana, msaada wowote kwasbabu wa hali...
  12. Ojuolegbha

    Rais wa Finland atembelea mradi kuwezesha wanawake Machinga Complex

    RAIS WA FINLAND ATEMBELEA MRADI KUWEZESHA WANAWAKE MACHINGA COMPLEX Rais wa Jamhuri ya Finland, Mheshimiwa Alexander Stubb, ametembelea mradi maalum wa kuwawezesha wanawake wafanyabiashara wadogo unaofadhili na nchi hiyo kupitia shirika la Umoja wa Mataifa linashughulikia masuala ya Wanawake...
  13. Ojuolegbha

    Tanzania and Finland to forge stronger ties in diplomacy

    TANZANIA AND FINLAND TO FORGE STRONGER TIES IN DIPLOMACY
  14. Ojuolegbha

    Rais wa Finland azindua mradi wa kuongeza thamani bidhaa za misitu

    RAIS WA FINLAND AZINDUA MRADI WA KUONGEZA THAMANI BIDHAA ZA MISITU Rais wa Jamhuri ya Finland Mheshimiwa Alexander Stubb amezindua mradi unaolenga kufadhili shughuli za ubunifu wa kuongeza thamani bidhaa za misitu utakaotekelezwa nchini kupitia Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)...
  15. Ojuolegbha

    Tanzania na Finland kuimarisha Ushirikiano katika Usimamizi wa Amani na Usuluhishi wa migogoro

    Tanzania na Finland kuimarisha Ushirikiano katika Usimamizi wa Amani na Usuluhishi wa migogoro Rais wa Jamhuri ya Finland, Mhe. Alexander Stubb amesema Serikali ya Finland itaendelea kuimarisha ushirikiano na Tanzania ili kuhakikisha juhudi za pamoja zinatekelezwa katika usimamizi wa amani na...
  16. MURUSI

    Kwanini acount ya mtandao wa X ya Rais wa Finland haijapost picha wala habari za matukio ya kupokelewa Tanzania kama ilivyo kuwa Kenya?

    Walio soma Cuba wanaweza tusaidia hapa, au ni adimin wa account ya Raisi anaumwa? Hii alikuwa kwenye ndege kuanza ziara ya Kenya na Tanzania. Ikulu Kenya Akiwa na Ruto Kwa kifupi zipo tu za Kenya hadi sasaz sasa je ni adimini bado anachambu picha za kurusha? au kuna ishu nyingine? Wale wa...
  17. Ojuolegbha

    The President of the Republic of Finland, H.E. Alexander Stubb has arrived in Dar es Salaam, Tanzania, for a three-day state visit from May 14 to 16

    The President of the Republic of Finland, H.E. Alexander Stubb has arrived in Dar es Salaam, Tanzania, for a three-day state visit from May 14 to 16, 2025. This visit comes at the invitation of the President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan. During the visit, the...
  18. Roving Journalist

    Rais wa Finland, Alexander Stubb kufanya ziara ya Kitaifa nchini Tanzania kuanzia leo Mei 14 hadi Mei 16, 2025

    Rais wa Jamhuri ya Finland, Alexander Stubb, anatarajia kufanya Ziara ya Kitaifa nchini Tanzania kuanzia tarehe 14 hadi 16 Mei, 2025 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Finland na Tanzania zina mahusiano ya miaka 60 na zimekuwa zikishirikiana...
  19. BLACK MOVEMENT

    Tetesi: Heche atakamatwa na Polisi pindi tu Raisi wa Finland akiondoka nchini hapo ni kwenye ijumaa huko

    Nimepenyezewa habari usiku huu kwamba Polisi wameambia wa cancel kwanza ukamataji wa Heche hadi ugeni upite kwanza. Ukamataji wa leo ungeleta picha mbaya sana kwa Mheshimiwa Mama hivyo ikapendekezwa ifanyike baadae wiki hii na possible ni ijumaa. Uhakika wanataka wamkamye na wamuunganishe na...
  20. BLACK MOVEMENT

    PreGE2025 Rais wa Finland akitembelea Tanzania atumiwe email za kutosha kuhusu kutembelea nchi isiokuwa na utawala wa sheria

    Hii ndio njia ya kudili na hawa CCM kuliko kutwa nzima kujaza servers ya Jf na post za kulia lia tu. Tuachane na post za kulia lia. Sasa kwa upande wa Tanzania, huyu Mwamba wa Finland anapaswa kutumiwa email za kutosha kwamba anatembelea taifa lisiloheshimu misingi ya utawala Bora, akipata...
Back
Top Bottom