Baada ya mechi ya kwanza ya nusu fainali dhidi ya Al Masry, nilikumbushia kwamba Simba ina tatizo sugu la kuleta ugumu pale njia rahisi inapokuwa mbele yake.
Simba ndiyo wakali wa hizi kazi, inafuzu kwenda nusu fainali vizuri tu
Nilichokuwa nina uhakika nacho ni kuwa Simba ingeenda kusahihisha...