ess utumishi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi TTCL walia na Mfumo wa PEPMIS, wadai Mameneja hawapitishi tathmini zao

    Sisi watumishi wa TTCL Corporation tunakabiliwa na changamoto kubwa licha ya kutekeleza majukumu yetu kwa bidii na kujaza taarifa za utendaji kazi kwenye mfumo wa ESS Utumishi (PEPMIS) kama inavyotakiwa. Tatizo linalotusumbua ni kwamba baadhi ya viongozi wetu, hususan Mameneja, hawapitishi...
  2. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania ESS Utumishi kwanini hamruhusu Loan Take Over? Mnatutesa wengi

    Wasalaam Aleykhum Ndugu zangu Ebwana mfumo huu mzuri wa kiutumishi umerahisisha mambo mengi kwakweli. Sie tunafanya mambo mengi wenyewe popote bila kwenda kuweka foleni katika mabenki kote huko bara na hapa Zanzibar pia LAKINI Changamoto ipo Sasa nkiwa bara nilitaka kuhamisha ama kuuza mkopo...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO NMB na ESS utumishi kuna nini kinaendelea?

    Kuna agenda gani kati ya NMB na mfumo wa ESS UTUMISHI katika suala la uuzaji mikopo? Maana watumishi waliokuwa na mikopo NMB wanashindwa kuuza mikopo yao (topup to another bank) bank nyingine, ikiwa baadhi ya watumishi ambao wanamikopo katika bank nyingine tofauti na NMB kwenye Mfumo wa ESS...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Wanaosimamia mfumo wa ESS Utumishi (Watumishi Portal), hawajaona busara ya kutoa taarifa kwa watumishi wa umma juu ya kusitisha baadhi ya huduma?

    Katika hali ya kawaida, unapositisha huduma kwa watu unowahudumia au ambao ndio wanakufanya uwe kazini na upate kipato, busara inaelekeza utoe taarifa kwao tena uombe na radhi na utamke bayana ni lini unatarajia huduma zitarudi kama kawaida. Cha ajabu, wenzetu wa ofisi ya Raisi Utumishi...
Back
Top Bottom