The Eurasian Conformity mark (EAC, Russian: Евразийское соответствие (ЕАС)) is a certification mark to indicate products that conform to all technical regulations of the Eurasian Customs Union. It means that the EAC-marked products meet all requirements of the corresponding technical regulations and have passed all conformity assessment procedures. The mark was introduced in August 2013.
Before this marking came into use, the prevalent product marking was GOST R 50460-92: Mark of conformity for mandatory certification.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza matumizi ya Akili Unde (Artificial Inteligence – AI) ikiwa ni moja ya nyenzo muhimu na ya kisasa katika kukuza mtangamano na kuharakisha maendeleo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kupitia sekta mbalimbali ikiwemo Kilimo, Elimu, Viwanda, Afya na...
Leaders of the East African Community (EAC) have endorsed a series of reforms aimed at strengthening the efficiency and sustainability of the regional bloc’s institutions.
Among the key decisions adopted by the Heads of State is a new arrangement under which members of the East African...
Leaders of the East African Community (EAC) have called for an immediate ceasefire and a peaceful resolution to the ongoing conflict in eastern Democratic Republic of the Congo during the 25th Ordinary Summit of the EAC Heads of State being held in Arusha, Tanzania.
During the high-level...
Tanzanian diplomat Stephen Patrick Mbundi has been appointed the new Secretary General of the East African Community (EAC), where he will serve a five-year term leading the regional bloc’s secretariat.
Mbundi replaces Veronica Mueni Nduva of Kenya, a governance professional who has been serving...
Ambassador Stephen Patrick Mbundi Appointed New Secretary General of the EAC
The Government of the United Republic of Tanzania warmly welcomes the appointment of Ambassador Stephen Patrick Mbundi as the new Secretary General of the East African Community (EAC).
Ambassador Stephen Patrick...
President Yoweri Kaguta Museveni is set to take over the chairmanship of the East African Community (EAC) during the 25th Ordinary Summit of the EAC Heads of State held in Arusha, Tanzania.
Museveni is set to assume the regional leadership role as heads of state from member countries convene in...
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mheshimiwa Évariste Ndayishimiye amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika leo tarehe 7 Machi, 2026 katika Makao...
Rais wa Jamhuri ya Kenya Mheshimiwa Dkt. William Samoei Ruto amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika leo tarehe 7 Machi, 2026 katika Makao...
1 Day to Go
📍 Arusha, Tanzania
🗓️ Saturday, 7th March, 2026
8 countries, 1 Agenda : Building a single, competitive regional market that unlocks opportunity for the over 300 million East Africans.
MAWAZIRI EAC WAKUTANA KUKAMILISHA MAANDALIZI YA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI
Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umefanyika leo tarehe 5 Machi 2026 jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mwisho ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi wanachama wa...
Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umefanyika leo tarehe 5 Machi 2026 jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mwisho ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi wanachama wa Jumuiya hiyo utakaofanyika tarehe 7 Machi 2026.
Mkutano huo ambao umepokea na...
Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha, ikiwa ni muendelezo wa maandalizi ya Mkutano wa 25 Wakuu wa Nchi Wanachama wa EAC utakaofanyika tarehe 7 Machi 2026 jijini Arusha...
𝟐𝟓𝐓𝐇 𝐄𝐀𝐂 𝐇𝐄𝐀𝐃𝐒 𝐎𝐅 𝐒𝐓𝐀𝐓𝐄 𝐒𝐔𝐌𝐌𝐈𝐓
📍 Arusha, Tanzania
🗓️ 7th March, 2026
🔹 During the Summit, the Heads of State are expected to launch the EAC Customs Bond; a single regional customs guarantee that replaces the current requirement for multiple national bonds along transit routes.
🍃 Under the...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Bi. Veronica Nduva, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya hiyo, unaotarajiwa kufanyika tarehe 7 Machi 2026 jijini Arusha.
afrika
afrika mashariki
eac
habari
jumuiya
jumuiya ya afrika mashariki
katibu
katibu mkuu
kuhusu
maandalizi
mashariki
mkutano
mkuu
waandishi
waandishi wa habari
wakuu
MAKATIBU WAKUU EAC WAKUTANA KWA MAANDALIZI YA MKUTANO WA 25 WA WAKUU WA NCHI
Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha, ikiwa ni muendelezo wa maandalizi ya Mkutano wa 25...
𝟐𝟓𝐓𝐇 𝐄𝐀𝐂 𝐇𝐄𝐀𝐃𝐒 𝐎𝐅 𝐒𝐓𝐀𝐓𝐄 𝐒𝐔𝐌𝐌𝐈𝐓
The EAC Heads of State are set to convene for the 25th Ordinary Summit of the EAC Heads of State on 7th March 2026, in Arusha, United Republic of Tanzania.
Theme: ‘𝑫𝒆𝒆𝒑𝒆𝒏𝒊𝒏𝒈 𝑰𝒏𝒕𝒆𝒈𝒓𝒂𝒕𝒊𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒓 𝑰𝒎𝒑𝒓𝒐𝒗𝒆𝒅 𝑳𝒊𝒗𝒆𝒍𝒊𝒉𝒐𝒐𝒅𝒔 𝒐𝒇 𝑬𝑨𝑪 𝑪𝒊𝒕𝒊𝒛𝒆𝒏𝒔’.
#25thEACSUMMIT...
Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeanza katika Makao Makuu ya Jumuiya jijini Arusha, ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya hiyo unaotarajiwa kufanyika tarehe 7 Machi 2026 jijini Arusha.
Mkutano huo Maalumu wa...
Nduva aaga, amshukuru Rais Samia kwa ushirikiano na uungaji mkono wa mtangamano wa EAC
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mhe. Veronica Nduva, ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa ushirikiano wa karibu alioupata...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam.
Pamoja na masuala mengine, Katibu Mkuu ambaye anamaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.