eac

The Eurasian Conformity mark (EAC, Russian: Евразийское соответствие (ЕАС)) is a certification mark to indicate products that conform to all technical regulations of the Eurasian Customs Union. It means that the EAC-marked products meet all requirements of the corresponding technical regulations and have passed all conformity assessment procedures. The mark was introduced in August 2013.

Before this marking came into use, the prevalent product marking was GOST R 50460-92: Mark of conformity for mandatory certification.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Tanzania yahimiza Matumizi ya Akili Unde (Artificial Inteligence – AI) Kuimarisha Mtangamano na Maendeleo EAC

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza matumizi ya Akili Unde (Artificial Inteligence – AI) ikiwa ni moja ya nyenzo muhimu na ya kisasa katika kukuza mtangamano na kuharakisha maendeleo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kupitia sekta mbalimbali ikiwemo Kilimo, Elimu, Viwanda, Afya na...
  2. Archival Sense

    EAC Heads of State Endorse Reforms Including New Pay Structure for EALA Members

    Leaders of the East African Community (EAC) have endorsed a series of reforms aimed at strengthening the efficiency and sustainability of the regional bloc’s institutions. Among the key decisions adopted by the Heads of State is a new arrangement under which members of the East African...
  3. Archival Sense

    EAC Summit Calls for Ceasefire in Eastern DRC

    Leaders of the East African Community (EAC) have called for an immediate ceasefire and a peaceful resolution to the ongoing conflict in eastern Democratic Republic of the Congo during the 25th Ordinary Summit of the EAC Heads of State being held in Arusha, Tanzania. During the high-level...
  4. Archival Sense

    Tanzania’s Stephen Patrick Mbundi Appointed New EAC Secretary General

    Tanzanian diplomat Stephen Patrick Mbundi has been appointed the new Secretary General of the East African Community (EAC), where he will serve a five-year term leading the regional bloc’s secretariat. Mbundi replaces Veronica Mueni Nduva of Kenya, a governance professional who has been serving...
  5. H

    Ambassador Stephen Patrick Mbundi Appointed New Secretary General of the EAC

    Ambassador Stephen Patrick Mbundi Appointed New Secretary General of the EAC The Government of the United Republic of Tanzania warmly welcomes the appointment of Ambassador Stephen Patrick Mbundi as the new Secretary General of the East African Community (EAC). Ambassador Stephen Patrick...
  6. Archival Sense

    Museveni To Take Over as EAC Chairman

    President Yoweri Kaguta Museveni is set to take over the chairmanship of the East African Community (EAC) during the 25th Ordinary Summit of the EAC Heads of State held in Arusha, Tanzania. Museveni is set to assume the regional leadership role as heads of state from member countries convene in...
  7. H

    Waziri Kombo ampokea Rais wa Burundi kushiriki mkutano wa 25 wa EAC - Arusha

    Rais wa Jamhuri ya Burundi Mheshimiwa Évariste Ndayishimiye amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika leo tarehe 7 Machi, 2026 katika Makao...
  8. H

    Waziri Kombo ampokea Rais Rutto kushiriki mkutano wa 25 wa EAC Arusha

    Rais wa Jamhuri ya Kenya Mheshimiwa Dkt. William Samoei Ruto amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika leo tarehe 7 Machi, 2026 katika Makao...
  9. H

    1 Day to Go: 25th EAC Head of State Summit

    1 Day to Go 📍 Arusha, Tanzania 🗓️ Saturday, 7th March, 2026 8 countries, 1 Agenda : Building a single, competitive regional market that unlocks opportunity for the over 300 million East Africans.
  10. H

    Mawaziri EAC wakutana kukamilisha maandalizi ya mkutano wa wakuu wa nchi

    MAWAZIRI EAC WAKUTANA KUKAMILISHA MAANDALIZI YA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umefanyika leo tarehe 5 Machi 2026 jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mwisho ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi wanachama wa...
  11. Roving Journalist

    Mawaziri EAC Wakutana Kukamilisha Maandalizi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi

    Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umefanyika leo tarehe 5 Machi 2026 jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mwisho ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi wanachama wa Jumuiya hiyo utakaofanyika tarehe 7 Machi 2026. Mkutano huo ambao umepokea na...
  12. Roving Journalist

    Makatibu wakuu EAC wakutana kwa maandalizi ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi

    Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha, ikiwa ni muendelezo wa maandalizi ya Mkutano wa 25 Wakuu wa Nchi Wanachama wa EAC utakaofanyika tarehe 7 Machi 2026 jijini Arusha...
  13. H

    25th EAC Heads of State Summit to Launch Landmark Regional Customs Bond in Arusha

    𝟐𝟓𝐓𝐇 𝐄𝐀𝐂 𝐇𝐄𝐀𝐃𝐒 𝐎𝐅 𝐒𝐓𝐀𝐓𝐄 𝐒𝐔𝐌𝐌𝐈𝐓 📍 Arusha, Tanzania 🗓️ 7th March, 2026 🔹 During the Summit, the Heads of State are expected to launch the EAC Customs Bond; a single regional customs guarantee that replaces the current requirement for multiple national bonds along transit routes. 🍃 Under the...
  14. H

    Katibu Mkuu wa (EAC), Bi. Veronica Nduva, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa (EAC)

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Bi. Veronica Nduva, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya hiyo, unaotarajiwa kufanyika tarehe 7 Machi 2026 jijini Arusha.
  15. H

    𝟐𝟓𝐓𝐇 𝐄𝐀𝐂 𝐇𝐄𝐀𝐃𝐒 𝐎𝐅 𝐒𝐓𝐀𝐓𝐄 𝐒𝐔𝐌𝐌𝐈𝐓 🍃 The EAC Bond was rolled out in January, 2026.

    𝟐𝟓𝐓𝐇 𝐄𝐀𝐂 𝐇𝐄𝐀𝐃𝐒 𝐎𝐅 𝐒𝐓𝐀𝐓𝐄 𝐒𝐔𝐌𝐌𝐈𝐓 🍃 The EAC Bond was rolled out in January, 2026.
  16. H

    Makatibu wakuu EAC wakutana kwa maandalizi ya mkutano wa 25 wa wakuu wa nchi

    MAKATIBU WAKUU EAC WAKUTANA KWA MAANDALIZI YA MKUTANO WA 25 WA WAKUU WA NCHI Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha, ikiwa ni muendelezo wa maandalizi ya Mkutano wa 25...
  17. H

    𝟐𝟓𝐓𝐇 𝐄𝐀𝐂 𝐇𝐄𝐀𝐃𝐒 𝐎𝐅 𝐒𝐓𝐀𝐓𝐄 𝐒𝐔𝐌𝐌𝐈𝐓 The EAC Heads of State are set to convene for the 25th Ordinary Summit of the EAC Heads of

    𝟐𝟓𝐓𝐇 𝐄𝐀𝐂 𝐇𝐄𝐀𝐃𝐒 𝐎𝐅 𝐒𝐓𝐀𝐓𝐄 𝐒𝐔𝐌𝐌𝐈𝐓 The EAC Heads of State are set to convene for the 25th Ordinary Summit of the EAC Heads of State on 7th March 2026, in Arusha, United Republic of Tanzania. Theme: ‘𝑫𝒆𝒆𝒑𝒆𝒏𝒊𝒏𝒈 𝑰𝒏𝒕𝒆𝒈𝒓𝒂𝒕𝒊𝒐𝒏 𝒇𝒐𝒓 𝑰𝒎𝒑𝒓𝒐𝒗𝒆𝒅 𝑳𝒊𝒗𝒆𝒍𝒊𝒉𝒐𝒐𝒅𝒔 𝒐𝒇 𝑬𝑨𝑪 𝑪𝒊𝒕𝒊𝒛𝒆𝒏𝒔’. #25thEACSUMMIT...
  18. Roving Journalist

    Maandalizi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za EAC yaanza jijini Arusha

    Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeanza katika Makao Makuu ya Jumuiya jijini Arusha, ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya hiyo unaotarajiwa kufanyika tarehe 7 Machi 2026 jijini Arusha. Mkutano huo Maalumu wa...
  19. H

    Nduva aaga, amshukuru Rais Samia kwa ushirikiano na uungaji mkono wa mtangamano wa EAC

    Nduva aaga, amshukuru Rais Samia kwa ushirikiano na uungaji mkono wa mtangamano wa EAC Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mhe. Veronica Nduva, ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa ushirikiano wa karibu alioupata...
  20. H

    Rais Samia akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine, Katibu Mkuu ambaye anamaliza...
Back
Top Bottom