dotto magari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chiembe

    Dotto Magari amzidi wafuasi John Heche mara mbili, Dotto ana wafuasi 1.2 instagram, Heche laki tano tu, je wanachama 13 milioni wa chadema wako wapi?

    Sensa fupi ya mtandao wa Heche inaonyesha hali hii. Heche angegombea leo angeishia kura laki tank, bora amekimbia
  2. Yoda

    Sielewi wanachokifanya Dotto Magari na boss wake Issa Tambuu mtandaoni

    Kuna watu wawili watatu wamenionyosha video clip za huyu Dotto Magari na boss wake Issa Tambu sijui wakitaniana na kucheka au wakifanya comedy Watu walionionyesha hizo video clips inaonekana wao zimewabamba sana. Mimi sikuona kitu cha kufurahisha kama utani au kuchekesha kama comedy zaidi ya...
  3. mdukuzi

    Mkojani na Dotto magari hawakupaswa kupewa fomu

    Kulinda hadhi ya chama hawa watu wawili hawakupaswa hata kusogelea ofisi ya chama Ningekuwa muhusika nisingewapa hata fomu,ningewafukuza kama mbwa mwizi
  4. DuaZaMama

    GE2025 'Dotto Magari' ajitosa ubunge jimbo la Kinondoni kupitia CCM

    Mfanyabiashara wa magari maarufu Dotto Magari amechukua fomu y kugombea ubunge jimbo la kinondoni kupitia chama cha mapinduzi CCM. kupitia ukurasa wake wa instagram Dotto amethibitisha akichuka fomu nakuandika maneno haya "ni muda wa kumsaidia mama kuwatumikia wananchi wa jimbo la kinondoni"
  5. Fbn

    Kwanini Dotto Magari anamuogopa Askofu Gwajima

    Siku Dotto Magari akishupaza bichwa lake basi ukweli wa wezi simu Kinondoni, dawa, utapeli utajulikana. Msiwe mnajisahau ndio maana bill nasi kawa mkimya anafahamu shukuru Nandy
  6. Yoda

    Sishauri Dotto Magari kupewa jukumu la kuwajibu Gen Z Wakenya kwa niaba ya Tanzania

    Nimemsikia mbunge mmoja mwanamke wa vitu maalumu akiwaonya Wakenya dhidi ya kejeli na matusi yao kwa mamlaka za Tanzania akiwapa tahadhari kama wanajua matusi sana basi tutawapa Dotto Magari wapambane naye! Niwaambie tu wabunge wasithubutu kufanya hivyo, tutaaibikia zaidi. Mfumo tu wa maisha...
  7. Fbn

    Bunge kumtuma Doto magari kuwajibu wakenya?

    Bunge la tanzania ni hatari kwa baadae sababu wapo karibu na hospitali ya vichaa .ambao wao wana bunge vichaa wana mirembe. hivi hawa wabunge zimo kweli. Kwa nini: mada hii imetaka kubadilishwa na kuwa kama vpn mods. Kwani tuna tunga hapa
  8. M

    Mlitudanganya sana kuhusu Bandari kuwa imeuzwa leo mnatudanganya No reforms No elections, ndio maana Dotto Magari anachukia wasomi

    Mlifanya maandamano na mikutano ya kufa mtu mkishinikiza serikali isiingie ubia na wawekezaji, mlijifanya nyie mnajua sana sheria kuliko mawakili wa serikali, kila inachokifanya serikali kwenu hakuna zuri. Suala la mkataba wa Bandari ndilo lilimpa umaarufu Mwabukusi hadi leo amekuwa Rais wa...
  9. kyagata

    Walimu acheni kujidhalilisha kwa vitu vidogo vidogo

    Nilienda bank ya nmb kwa lengo la kupata huduma flani ya kifedha. Kwenye ATM pale nikaona msururu wa watu wamejipanga kutaka kutoa pesa.nikadodosa nikaambiwa wengi wao ni walimu mishahara imetoka, nikafanya utafiti wa tofauti ya kutoa pesa kwenye ATM na kwa wakala ni how much nikaona tofauti ni...
  10. Meja Jenerali Isamuhyo

    Dotto Magari ni muumini wa dini gani?

    Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?
  11. BUMIJA

    Elimu iheshimiwe kwa manufaa yake

    Wasalaam.Kumekua na tabia siku hizi hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha kwa njia tofauti na kisomo kuwabeza waliosoma kwamba si chochote. Mfano kuna mtu anaitwa Dotto Magari na Mbunge Msukuma. Hawa wanaponda sana watu walio na Elimu kwamba haina faida. Najiuliza wakienda Hospitali hao...
  12. SSH2025_2030

    Press Conference ya Dotto Magari - Serena Hotel, Ijumaa saa 5 asubuhi

    Mfanyabiashara maarufu wa magari nchini, Ndugu Dotto Magari anatarajiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari, kuzungumzia na kufafanua masuala ya kitaifa na Kimataifa. Wote mnakaribishwa.
  13. GENTAMYCINE

    Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

    "Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi...
  14. GENTAMYCINE

    Acheni tu huyu Dotto Magari aendelee Kutudharau Sisi Wasomi wa Tanzania na ninakubaliana nae kwa 100%

    "Wasomi nikiwa nawasema Kutwa msiwe mnanichukia kwani nawatoeni Ushamba na nawafundisha jinsi ya Kufikiri. Unakuta Msomi ananunua Simu aina ya Iphone 15 yenye Thamani ya Shilingi Milioni Tano halafu unakuta amepakuwa App ya Bolt. Sasa kwanini hiyo Shilingi Milioni Tano yako usingenunua tu...
  15. K

    Dotto Magari: Mabilionea na Wawekezaji waliokimbia Nchi, wote wamerudi na wanawekeza Tanzania

    Huyu hapa Dotto Keto 'Dotto Magari' anasema Mama Samia apewe maua yake kwa kupambana kuwatoa maeneo ya Makaburini na kuwapeka Mikocheni, kwamba kwa takribani miaka 30 hawakuwa na ofisi. Msikilize kwenye ‘clip’ hapa, namnukuu “Mabilionea na Wawekezaji wote waliokimbia, wote wamerudishwa...
  16. Mindyou

    Kizimkazi Imelipa: Hii pesa aliyoitaja Dotto Magari kuandaa harusi yake ni sahihi?

    Habari zenu wakuu. Mko vizuri? Nimekutana na video Instagram ya Dotto Magari akiwa na bosi wake Issa Tambuu ambapo Dotto ametangaza kuwa harusi yake itagharimu Milioni 60 kama bajeti. Dotto alifunga ndoa juzi juzi hapa na mkewe Bi Aisha, harusi ikija siku chache tangu amalize dili la ubalozi...
  17. ELI COHEN

    Kina Dotto Magari na wenzake wanawabeza watu waliosoma bila kujua kodi wanazokatwa ndio zinatumika kuwapa ujira wa uchawa wao

    Dotto magari ni mfano wa limbukeni aliochangamka. Limbukeni anapopata pesa kinachofata ni kufanya mambo akiwa out of control. Hakuna anaependa kuwa nyuma kimaisha licha ya kusoma kwa maana alitegemea atapata ajira kwa maana kama mpiga kura aliahidiwa ajira, kama mkatwa kodi aliahidiwa ajira...
  18. Valencia_UPV

    Doto Magari ana hoja kuhusu Wasomi, asikilizwe!

    A). Mfanyabiasha Maarufu wa Magari nchini Ndugu Dotto Magari ameonekana kwenye mitandao akizungumzia namna Wasomi nchini wasivyojitambua Wala kutumia usomi wao kuongeza kipato. Na kutishia kwenye dimbwi la umaskini akifanikiwa Sana ananunua Hari ya IST Tena Kwa mikopo wa benki. B). Namnukuu...
  19. GENTAMYCINE

    Yaani Mtu anajiita Msomi halafu inapita Mwezi au Miezi hajafungua hata Email yake ajue kuna nini, kwanini Dotto Magari 'asitudharau' tu na Kumnunia?

    Wasomi wengi sana tunakosa Fursa au Mawasiliano ya maana kwakuwa wengi Wetu hatuna muda wa hata tu Kuangalia / Kuchungulia kuna nini katika Emails zetu ( Inbox ), likiwa ni Suala muhimu sana Kimawasiliano hasa kwa Zama hizi. Wasomi wengi hizi Emails Addresses tumeziweka tu kama Pambo, ila huwa...
  20. The Burning Spear

    Hii kauli Dotto Magari kuhusu Elimu. Anatakiwa achukuliwe hatua za kisheria kwa kupotosha na kutukana umma

    Hi Great Thinkers. Katika Pita pita zangu nimekutana na hii clip. In short siyo nzuri na haina afya yoyote. Yaani kwa huyu jamaa anataka kusema elimu haina msaada wowote licha ya mabilion ya pesa yaanyowekezwa ili watu wasome. Bila elimu hata hilo gari analolinga nalo sidhani kama lingepatikana.
Back
Top Bottom