Earl Simmons (born December 18, 1970), better known by his stage name DMX, is an American rapper and songwriter. He began rapping in the early 1990s, and released his debut album It's Dark and Hell Is Hot in 1998, to both critical acclaim and commercial success, selling 251,000 copies within its first week of release. He released his best-selling album, ... And Then There Was X, in 1999, which included the hit single "Party Up (Up in Here)". Since his debut, DMX has released seven studio albums.
He has been featured in films such as Belly, Romeo Must Die, Exit Wounds, Cradle 2 the Grave and Last Hour. In 2006, he starred in the reality television series DMX: Soul of a Man, which was primarily aired on the BET cable television network. In 2003, DMX published a book of his memoirs entitled, E.A.R.L.: The Autobiography of DMX.
Katika wimbo wake wa 'what's my name' kuna sehemu mgumu huyu (dmx) anasema;
"Look at all these off‐brand niģgaz runnin' around yappin' about they be holding figures as big as jigga's"! Halafu kuna sauti inasindikiza hiyo verse inasema, "that's the bullshit"!
Nimejikuta tu nakumbuka siku chache...
Msanii wa hip hop mkongwe DMX aaga dunia baada ya kulazwa hospitalini kutokana na mshtuko wa moyo.
R.I.P. Legend!
DMX, the hardcore hip-hop star whose ominous, snarling raps chronicled the violence and struggles of the American street, has passed away at 50 yrs.
He died on Friday after...
Ikiwa ni siku kadhaa baada ya Rapper wa Marekani DMX kuripotiwa kuji overdose na madawa ya kulevya.
Taarifa za muda huu ni kwamba amefariki leo Hospitalini jijini New York, Rapper huyo amefariki leo akiwa na umri wa miaka 50.
DMX ambaye jina lake la kuzaliwa ni Earl Simmons amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 50
Mnamo tarehe 3 Aprili 2021, alilazwa katika Hospital ya White Plains iliyoko Jijini New York ikielezwa kuwa alikuwa akisumbuliwa na Shambulio la Moyo linalodaiwa kutokana na matumizi ya #DawaZaKulevya...
Naandika nafuta maana nikiandika hii nyingine inakuja naona kama iko mzuka kuanza nayo nikitaka kuanza nyingine inakuja sasa nimekaa hapa hata sielewi nianze ipi nimalize na ipi 😫😀😀
Wazee list yenyewe hii hapa inayovuruga kichwa
Quincy Jones - Producer nambari moja dunia kwa upande wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.