Msamaha ninaoomba ni kwa sababu nafahamu kuna mahali wadogo zangu hawa walipitiliza na sio kwa sababu walifanya kampeni (ile ni haki yao na uamuzi wao). Najua kuna maneno yalikukera, sio katika level ya siasa, bali katika level ya utu. NAOMBA MSAMAHA.
Soma: Diamond Platnumz: Fanyeni kazi...
Sijajua kwa nini ghafla tu umezuka mjadala kwamba wakosoaji wa serikali hawana kazi na ni watu wavivu, mimi wakosoaji wengi wa serikali ninaowajua au niliokutana nao karibia wote wana kazi zao tena wengine wana kazi nzuri sana tu. Nafikiri ni mtu mwenye kichwa kibuyu tu ndio anaweza kuwaza...
Huu ni ujumbe wa KISIASA alioutoa Diamond Platnumz Kwa Watanzania akiwaasa waache Lawama na wafanye kazi.
Kwani Kila Awamu wanailalamikia serikali.
----------------------------
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.