Leo wana lunyasi tujadiliane namna ya kunusuru timu yetu baada ya kuona sasa tunapokwenda sio kabisa,kulingana na mustakabali wa team yetu.
Simba ni team ambayo ilijizolea umaarufu mkubwa sana hapa barani Afrika na ulimwenguni pia,club ya simba ilishaanza kuwa tishio midomoni, masikioni mwa...
Wasalaam wana JF
Hakika maumivu ya mapenzi ni magumu sana, hayasikii pain killers, pombe, bangi, maombi na ata ushauri (nasihi). Wapo waliopoteza maisha au kupoteza muelekeo katika maisha waliyoyapoteza. Jambo hili ulione na kulisikia kwa wenzio, usiombe likukute.
Pamoja na magumu na machungu...
Ukweli ni mchungu lakini tufike mahali tuuseme hata kama unauma.
Mengi yamesemwa kuhusu ajali miaka nenda rudi, lakini ajali ziko pale pale.
Bahati mbaya mzizi wa tatizo umekuwa hausemwi kwa kujua au kutokujua.
"Tatizo letu kuu kimsingi ni ujinga ndugu zangu."
1. Kulikoni dereva kuendesha...
Habarini za wakati huu ndugu zangu, moja kwa moja niende kwenye mada
Kumekuwa na wimbi kubwa na mateso makali sana ya haya matakataka (majini mahaba) kutesa watu wa jinsia zote kwa muda mrefu bila msaada na kusababisha huzuni kubwa katika maisha ya wahanga hawa.
Dalili zake ni nyingi sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.