derby

Derby ( (listen) DAR-bee) is a city and unitary authority area in Derbyshire, England. It lies on the banks of the River Derwent in the south of Derbyshire, of which it was traditionally the county town. Derby gained city status in 1977, and by the 2011 census its population was 248,700.
Derby was settled by Romans, who established the town of Derventio, later captured by the Saxons, and later still by the Vikings, who made their town of Djúra-bý one of the Five Boroughs of the Danelaw. Initially a market town, Derby grew rapidly in the industrial era. Home to Lombe's Mill, an early British factory, Derby has a claim to be one of the birthplaces of the Industrial Revolution. It contains the southern part of the Derwent Valley Mills World Heritage Site. With the arrival of the railways in the 19th century, Derby became a centre of the British rail industry.
Derby is a centre for advanced transport manufacturing, being home to the world's second largest aero-engine manufacturer: Rolls-Royce. Bombardier Transportation has a production facility at the Derby Litchurch Lane Works while Toyota Manufacturing UK's automobile headquarters is located southwest of the city at Burnaston.

View More On Wikipedia.org
  1. NetMaster

    Derby ya Jumapili ni surprise kwetu Yanga, Baleke ni silaha mpya ambayo imekuja ghafla ndani ya muda mfupi kabla ya pambano kuu, hali si shwari

    Nimecheki mechi ya leo na iliyopita huyu wa kuitwa Baleke ni surprise na si kitu kizuri akitumiwa effectively mechi ya jumapili. Bado hajaweza kusomeka vizuri na huenda ana vitu extra ambavyo ndani ya muda mfupi bado hakuweza kuviweka, hii ni hatari mithiri ya adui anaetumia mkono wa kushoto...
  2. S

    TANZIA Songwe: Mchezaji afariki dunia Kwenye Derby ya Mashabiki wa Simba vs Yanga

    Chama cha mpira wa miguu wilaya ya songwe (Sorefa) kimetangaza kifo cha mchezaji wa timu ya Saza FC, Albat Andrea aliyefariki baada ya kugongana na mwenzake katika kuwania mpira. Tukio hilo limetokea katika mchezo wa kirafiki kati ya mashabiki wa Yanga na Simba wakichuana katika kusheherekea...
  3. SAYVILLE

    Je, mechi ya Simba na Yanga imeanza "kuchezwa"? Je hii picha inasema mbinu za nje ya uwanja zimeanza kutumika?

    Wajuvi wa siasa na harakati za nje ya uwanja inapokuja mechi ya Simba na Yanga embu tuelimishane. Wote tunakumbuka Clautus Chama alipotolewa katika mechi na Mbeya City alikwenda moja kwa moja vyumbani na baadae kurudi. Hii ikazua gumzo kubwa. Siku kadhaa baadae mchezaji wa Yanga anayevaa jezi...
  4. BARD AI

    Bondia Hemed Rashid apigwa hadi kutapika na kuzimia Dar Boxing Derby

    Bondia Hemed Rashid amepoteza pambano kwa TKO dhidi ya Iman Bariki 'Man Chuga', baada ya kupoteza fahamu na kupelekea kushindwa kuendelea na mapambano na kukimbizwa hospitalini kwa gari maalum ya wagongwa. Bondia huyo alipoteza mchezo huo katika raundi ya nane katika pambano la Dar Boxing...
  5. Expensive life

    Mambo ya kichawi niliyoyaona kwenye Derby ya Kariakoo jana kabla ya mchezo

    Natamani siku hizi timu mbili ziache kurogana kipigwe kavu kavu tuone kiuhalisia ni nani bora zaidi uwanjani na siyo haya mazingaumbwe wanayotufanyia. Haya ni baadhi ya mambo nikiyoyaona jana uwanjani; ~ Yanga SC ndiyo walikuwa wa kwanza kuingia uwanjani majira ya saa 3:05, baada tu ya kuingia...
  6. GENTAMYCINE

    Tunamshukuru Okra ila aambiwe tu kuwa Derby ya Tanzania ni zaidi ya uchoyo/ubinafsi wake

    Kama asingekuwa mbinafsi kama mchezaji ninayemchukia kupita kiasi kwa sasa ndani ya Simba SC Sakho kutokana na utoto na upuuzi wake usiyobadilika, leo Okra alikuwa anatoa pasi kama tatu hivi za magoli. Na kwa uwezo mkubwa na kipaji cha mwenye timu yake Clatous Chama, nina uhakika zote angefunga...
  7. Cvez

    Derby na matokeo ya sare ni kupotezeana muda tu

    Sasa ndio nini hiki tumeraruana wiki nzima halafu wanashindwa kufungana. Yaani ujinga tu haina hata raha 😡😡😡😡
  8. Vawulence

    Makocha 13 kushuhudia Derby ya Simba dhidi ya Yanga leo

    Siku ya leo Derby kati ya wababe wawili Simba dhidi ya Yanga itaweka rekodi ya kushuhudiwa na kufuatiliwa na makocha wa timu 16 za Afrika. Mchezo huu muhimu utashihudiwa na Kocha wa Club Africain ya Tunisia kwani atapenda kuwajua wapinzani wake Yanga atakaokutana nao tarehe 2 November 2022...
  9. Drat

    Kariakoo Derby 23 October

    Mchezo huu ambao huteka hisia za mashabiki wengi wa mpira wa miguu, utakuwa na msisimko mkubwa sana. Sababu ikiwa ni kila timu kuwa wakati wa kipekee, Yanga akiwa kabeba ubingwa bila kupoteza mechi lakini kashindwa kwenda hatua ya makundi, anasubiri kucheza na Africain ili afanikishe kwenda...
  10. Expensive life

    Kuelekea Kariakoo Derby: Simba SC ndiyo timu yenye kiwango bora hadi hivi sasa

    Takwimu hazidanganyi, kwa sasa Simba wapo vizuri sana. Mechi 5 walizocheza hadi hivi sasa; ~ Wamefunga magoli 11 ~ Wameruhusu magoli 2 Kimataifa wamecheza za jumla ya mechi 4; ~ Wanefunga magoli 8 ~ Wameruhusu goli 1 Wametinga hatua ya makundi CAF Champions League, vinara Ligi Kuu Tanzania bara.
  11. B

    Tetesi: Kariakoo Derby yawaleta Africain Bongo

    Uongozi wa Klabu ya Africain ya Tunisia umetuma mashushu ili kuja kuangalia mechi kati ya Yanga na Simba itakayofanyika siku ya tarehe 23 Oktoba. Wataalamu hao wa kusoma mchezo yaani 'match analysts', wanatarajiwa kushuka nchini siku ya Ijumaa na taarifa za ndani zinasema washapata tiketi kwa...
  12. Pionaire

    Historia ya Manchester Derby

    MANCHESTER DERBY, Ni mechi za mpira wa miguu zinazowakutanisha timu kuu mbili nchini Uingereza ambao ni Watani wa Jadi kutokea jiji la MANCHESTER upande wa GREATER MANCHESTER, Nao ni MANCHESTER UNITED(Man United) na MANCHESTER CITY(Man City). Viwanja vyao vya mchezo ni ETIHAD(Kwa Man...
  13. M

    Nimewatizama Kiumakini leo Kipa Manula na Beki Kapombe na kugundua kuwa Mechi ya Derby hawakuwa Wagonjwa bali ni miongoni mwa Wasaliti 9 Simba SC

    Mnaojiuliza na Kuumizwa kama Mimi ni kwanini Simba SC ni sawa na Mke Mkongwe wa Mume Shababi Yanga SC ( nikimaanisha anafungwa muda wowote ule ) majibu ni haya yafuatayo..... 1. Mjumbe Mulamu Ng'ambi 2. Mratibu Abbas Suleiman 3. Kocha Msaidizi Selemani Matola 4. Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC...
  14. M

    Mlio na Mtazamo wangu kama huu kwa 'Kariakoo Derby' ya jana tarehe 30 April, 2022 tujuane tafadhali....

    1. Kujiona ( Kujimwambafai ) kabla ya Mchezo kuanza kwa Mshambuliaji Hatari wa Yanga SC Fiston Mayele kulichangia Kumharibu / Kumharibia Kisaikolojia kwani Kitendo kile ni kama vile kiliwapa Kengele Mabeki wa Simba SC waongeze juhudi maradufu katika Kumdhibiti hadi akashindwa Kufurukuta. 2...
  15. M

    Kumbe Mechi ya Yanga SC na Namungo FC imelazimishwa ili Kocha Nabi atumikie Red Card yake na Mechi ya Derby awepo Benchini?

    TFF tambueni kuwa wakati nyie mkijifanya kuwa mna Akili tambueni kuwa kuna Watanzania wenye Akili kuwazidi halafu ni Wajanja kuliko nyie. Kwahiyo Matajiri wa Yanga SC wamewashawishi kwa kila namna huku wakiwapa chochote kitu ili muwapangie Mechi kabla ya kukutana na Simba SC ili Kocha wao Mkuu...
  16. John Haramba

    Cristiano Ronaldo kuukosa mchezo wa Manchester Derby, United wapata presha

    Manchester United inatarajiwa kumkosa mshambuliaji wake mkongwe, Cristiano Ronaldo katika mchezo dhidi ya Manchester City, leo Jumapili Machi 6, 2022 kutokana na kuwa majeruhi. Hizo ni taarifa mbaya kwa United kwa kuwa mchezo huo ni muhimu kwao dhidi ya City ambayo inaonekana kuwa vizuri kuliko...
  17. C

    Kama ni kweli Bodi ya Ligi wamemzuia CEO wa Simba kuingia kwenye derby basi huu ni uhuni mkubwa

    Nimesoma na kupokea kwa masikitiko taarifa ya kuzuiwa kuingia uwanjani kuangalia mechi ya leo Barbara Gonzales CEO wa Simba. Kusema kweli niliaminishwa shuleni kwamba wazungu walituita Waafrika (washenzi) yaani watu wasio wastaarabu kuwa walitunyanyasa kwa kutuita hivyo. Ila nimejifunza na...
  18. Albaab

    Dar Boxing Derby

    Pambano la sita 'super heavy weight' kati ya Hafidh Mlawa na Emmanuel Philimon lilikuwa kali sana!!! Ila kitendo alichokifanya bwana Emmanuel baada ya pambano kumalizika ni kibaya sana, dharau kubwa, ni cha kukemewa na BFT pamoja na wadau wote wa mchezo wa ndondi/masumbwi Tanzania. Pole sana...
  19. Greatest Of All Time

    Askari Polisi wa Mpwapwa, Rashid Mohamed Juma ambaye afariki akiangalia Mchezo wa Simba na Yanga

    Afande Rashid wa kituo cha polisi Mpwapwa, amepoteza maisha baada ya timu yake ya Yanga kuifunga Simba jana kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii. Afande alishikwa na furaha iliyopitiliza hali iliyosababisha kukutwa na mauti huko Mpwapwa, Dodoma! Poleni sana wafiwa, kwa kupoteza mpendwa wenu, hizi...
  20. M

    Simba SC kuelekea Derby na Yanga SC naona mnalirudia tena Kosa lile lile ambalo niliwaonya huko nyuma, tukifungwa mtatukoma Mashabiki

    Magori, Salim, Kocha Matola, Somo na Mkuu wa Itifaki Makoye ni mara ngapi mnataka niwe nawakumbusha hili ambalo huwa mnalipuuza kama siyo Kulisahau kila tukicheza na Yanga SC na Wanatufunga? Nilishawaambia kuwa hata kama Timu yetu sasa inaendeshwa Kisasa (Professionally) ila kwa Utamaduni wa...
Back
Top Bottom