demu

A diesel multiple unit or DMU is a multiple-unit train powered by on-board diesel engines. A DMU requires no separate locomotive, as the engines are incorporated into one or more of the carriages. Diesel-powered single-unit railcars are also generally classed as DMUs. Diesel-powered units may be further classified by their transmission type: diesel–mechanical DMMU, diesel–hydraulic DHMU, or diesel–electric DEMU.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyanda Banka

    Ukiamini Demu itakula kwako Bro

    “Nilipopata dola milioni moja kwa mara ya kwanza kupitia muziki wangu nilikuwa na furaha sana na nikasema acha niitumie haraka. Kitu cha kwanza nikanunua studio kwa ajili ya kurekodi ngoma za wanamuziki wengine na zangu endapo tu nitakuwa sina kitu. “Nilitumia dola laki mbili na nusu kwenye...
  2. jamaikatz

    Umemtongoza demu wa rafiki yako unaenda kumla unakuta bado ni bikra

    Hii imenitokea juzi kati kuna jamaa yangu, mmoja alikuwa demu wake mkali ,alisha wahi kunitambulisha kwa huyo demu wake ,sasa mazoea yakaanza mimi na huyo shemela ,tukawa tunaitana shem shem +kutaniana sana sasa siku moja nika jaribu kumshushia swagga akawa amejaa kwenye mfumo, kumpeleka ghetto...
  3. THE BEEKEEPER

    Nilivyopata Demu Mzungu

    Habari wazee Sikuwahi kufikiria kuwa siku moja ningeweza kumpata mrembo mzungu. Sio kwa ubaguzi, la hasha lakini kwa sababu maisha yangu Dar es Salaam yalikuwa ya kawaida tu. Nilikuwa kijana wa mtaa wa Kinondoni, na maisha yalikuwa ya harakati tu kazi, ndoto, na vuta subira. Siku moja jioni...
  4. Youbettersleep

    Demu wako ila kukupa hadi Hela inawezekana vipi?

    Wajomba kuna kijana wangu ana demu wake wameka miaka kama 3 hivi ola siku hizi jamaa kama kawa mwehu sababu ya demu Imagine demu hataki mazoea kama zamani na mzigo hadi jamaa atoe hela ndio anapewa hahaha juzi kafukunyua mzigo ile anamaliza likavuka ugomvi mkubwa demu anasema hawezi kuja bila...
  5. sonofobia

    Natafuta App nzuri ya kupata demu wa kizungu

    Wakuu msaada kwenye tuta wale wenye exposure zao mnajua haya mambo yanavyoenda ebu nipeni madini napataje mchumba wa kizungu kupitia apps maana nimedownliad hizo app naona kila kitu ni complicated. Wazungu hawanizingatii na mimi ndio target yangu wanajitokeza wabongo ambao najua mwisho wake ni...
  6. Tumbili in town

    Leo nimeaibika kwenye tendo

    kifupi ipo hivi niliachana na demu wangu last year nikawa ni mtu wa nyero na kununua madanga, hivi karibuni nimepata demu , Leo nilikua nae kwenye show baada ya bao la kwanza mashine ikasinyaa nikakaa kama nusu saa ikawa fresh tena ila Sasa kwenye bao la pili sikumwaga mpaka pumzi ikaniishia na...
  7. Sigara Kali

    Huyu demu wangu hapa home ananenepa ovyo ovyo nifanyaje kumdhibiti

    Kama mada inavyojieleza Baada ya kuchoka kuishi peke yangu nikaamua kutafuta binti wa kuishi nae ni mrembo wa 2005 Mwanzo naanza kuishi nae alikua na kamwili fresh kadogo dogo laini tumbo flat Ila ndani ya miezi 6 niliyoishi nae binti kanenepa ovyo kitambi cha maana hadi nakosa mood nae...
  8. Lighton

    Nimepiga shoo, Leo siku ya pili, demu anataka nizae nae.

    Ni demu flani hivi, ana shepu ni mweupe age 30s. Tumekutana bahati mbaya, demu kanikubali, tukapata show first time demu akanikubali kichizi. Now tupo room nimempiga viwili, analeta stori nyingi mara hii mara hii😃 Mimi nipo tu natype hapa jf😄😄 Sasa hivi kalala kifuani, anasema kesho asubuhi...
  9. LIKUD

    Huyu demu nitampata kwa gharama yoyote ile

    Nimesha mdm tayari. Ni Mganda yupo Kampala. # Nilizaliwa kwa ajili ya kufanya starehe. # I am living my life to the fullest
  10. Chizi Maarifa

    Huyu Demu aliyesababisha kaka zake wanigonge Makonzi akawa anacheka

    Heeeeeeh....binadamu hukutana milima haikutani. Huyu demu wakati mi nasoma kidato cha 3 nlikuwa nampenda sana.yeye alikuwa kidato cha 4. Basi ikawa alitoka shule mi nasimama getini jioni anarudi home kwao. Alikuwa demu mkali sana mpaka namwogopa. Nlikuwa namtizama mpaka napigwa ganzi. Yaani...
  11. Stability

    Jana nimelala geto kwa demu wangu huko mbagala leo nimeamka hivi, nisaidieni kujua hii ni condition gani?

    Wakuu! Jana nimelala geto kwa demu wangu huko mbagala leo nimeamka hivi, nisaidieni kujua hii ni condition gani?
  12. ELI COHEN

    Hakuna mtu alie arrogant kama demu alielewa pesa za kuhongwa

    Unakuta mtu basi tu ni tako ndio limemuokoa kutoka bunyokwa ndani ndani huko sasa ana enjoy pesa za wanaume, ameshajisahau kabisa, hata akiona mtu anakula mlenda anajisikia kutapika sasa hivi😁 wakti ndio ilikuwaga menu yao Eti demu anamuambia mshikaji mmoja hivi inakuwaje mbwa unampa makombwe...
  13. Stability

    Unamnunulia demu gari ila anaenda kulala na mwana aliemsaidia kuziba pancha road. Hivi hakika ni kipi warembo wetu hawa wanachokitaka haswa?

    Wanatia huruma ya kuhudumiwa, lakini katika upokeaji wao hawaji na appreciation ilio genuine, appreciation yoa inatoka mdomoni lakini haionganishi doti akilini mwao kuwa wanapaswa wakupe heshima kuu sio tu ukiwepo hata usipokuwepo kwa kuwa umemfanyia kitu kama vile baba yake angekuwa na uwezo...
  14. LIKUD

    Mwanamke wako akikwambia ana pumu usilazimishe aje ghetto. Ona kilicho tokea kwa demu huyu ( Rest In Peace)

    Huyu msichana umri wake ni miaka 24. Kamaliza Chuo ( Diploma) mwaka Jana Sema kwa sababu kwa aina ya diploma aliyo kuwa anachukua ( Procurement) ilikuwa ngumu kupata kazi so alikuwa nyumbani tu kwa wazazi anasaidia biashara za nyumbani. Perhaps alikuwa anasubiri kwenda Veta. Uhusiano wangu...
  15. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Nilifumaniwa kwenye geto la demu enzi hizo lakini mzee wa nyumba ile akasema nisipigwe na vijana wanisindikize hadi kwetu.

    Hii huwa inajirudia rudia sana kichwani kwanini mzee yule aliwakataza vijana wake wasinipige na akateua wawili wale wakubwa wanipeleke na wa hakikishe nimefika salama salimini bila kupigwa? Kipindi hicho genye ndo limeshika hatamu yaani huniambii kitu kuhusu mbususu mara kadhaa nilikuwa sili...
  16. ELI COHEN

    Twende logically, kwanini uhudumie demu ulie nae kihuni for the sake ya kupata penzi lake ambalo hilo hilo kuna mwana veta analipata bila ya kujipinda

    Acha mihemuko ya kuniambia "tafuta hela wewe" Acha mihemuko ya kuniambia "sasa unataka uhongwe wewe? Simaanishi kui-normalize hii ila more and more nazidi kuheshimu wale wana wanaotoa escorts mitandaoni na kwenda physically pale riverside, wanapigana nao mieleka baada ya hapo shughuli na yeye...
  17. mike2k

    Nimepata demu mkali balaa ila ana majini. Naomba ushauri wenu

    Habari zenu wadau. Kwenye moja na mbili,juzi kati nkaopoa demu moja mkali sana wa kisukuma.ila kwenye kuchati leo kaniambia ana tatizo la majini. Wazee nilikuwa nimepanga kuichapa leo night.ila kabla sijaiomba nimeona nije kwenu hapa jamvini mshe uzoefu wenu isijetokea ile ya kafia ghetho...
  18. THE BEEKEEPER

    Msaada ndugu zangu demu wangu kaondoka na nguo zangu za ndani tu?

    Habari Nimetoka chuo mda huu nimefika geto, nina kawaida ya kwenda kuoga kwanza. Nimetoka kuoga naona Nguo zangu za ndani zote hazipo nampigia demu simu kaniblock nipo confusion msaada
  19. kajamaa kadogo

    Suala la kulipia demu kodi ni gumu dunia kote sio kwa Mond tu

    Suala la kulipia demu kodi ni gumu dunia kote sio kwa Mond tu ndiyo maana nasemaga kuoa ni kwa ajili ya watu dhaifu 🤣 wanaume nice guy huwa inalipa kodi hadi milioni 3 eti..! Dah halafu unalikuta linalipa hiyo kodi hata bima ya afya hana. Mimi nakumbuka niliwahi kuachana na demu mmoja mseng&...
  20. Jobless_Billionaire

    Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

    Wakuu kwema.. Nimekuja kuamini sometimes expectations zetu ndio hupelekea disappointment. Unaweza kuwekeza muda mwingi, hata budget ili kufukuzia mtoto mkali from the head to the toe ukaweza hata kuwin ila dakika za mwisho ukashindwa kuamini ulichokutana nacho ni kweli au unaota.. Binafsi...
Back
Top Bottom