Hali iko hivi kwa wakazi wa Jiji la Dar
1) Kuna barriers kila sehemu, ukipita lazima uwe na ID to verify your identity. Ni Polisi na Wanajeshi
2) Bolt ukimwita akupeleke Airport tokea maeneo ya Sinza, anataka LAKI 2 au zaidi
3) Ukiwa unaenda Airport, lazima ueleze unaenda wapi na kufanya...