Habari zenu ndugu zanguni,
Ninaomba msaada wa uzoefu wenu 🙏.
Kwa wale waliowahi kuchukua mkopo wa mshahara kupitia CRDB Bank, benki hutumia mfumo gani wa riba kwenye marejesho yao?
Je, ni ule wa flat rate (unakata kiasi sawa kila mwezi bila kujali salio),
Au ni ule wa reducing balance (ambapo...