Umejuaje kuwa usm algers hana ubavu wa kumfunga yanga?Usm Algiers haina ubavu wa kuifunga Yanga na kwa maana hiyo Yanga atabeba ndoo ya CAF Confederation of Losers.
Hizi ni taarifa mbaya sana kwa Simba SC, Kanjibai mwaka huu atatimua hadi mesenja.
Utahama timu mpaka uchoke. Sasa nataka nijue fainali ya FA utakua Azam au hautaangalia kabisa?Nipp pale
USM ALGER
Wewe Sio shabiki marumo mkuu?Nipp pale
USM ALGER
Uchezaji wake wa kiboya boya kama geita goldUmejuaje kuwa usm algers hana ubavu wa kumfunga yanga?
Tunza hii, tutakurudia kama mwewe hiyo JumapiliNipp pale
USM ALGER