Tanzania ina vyuo vikuu vichache mfano Udsm, Must , SAUT, KAMPALA, UDOM n. K
College ziko ndani ya chuo mfano udsm ina CONAS ,CoECIT , COET,Vyuo vinaweza kuwa na campas udsm ina campus ya DUCE, MuchAS
Institute sio vyuo vikuu DIT, IFM, CBE hivi ni vitivo vinahusika na fani za aina Moja pekee...