chombo cha moto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Struggle ya kumiliki chombo cha moto na huna basic knowledge ya chombo hicho

    Umestruggle kulima mpunga Igurusi Mungu kakubariki umevuna umepata visenti vyako ukaona ununue zako gari la kurahisisha harakati zako unaweka rekodi ya kuwa mtu wa kwanza kwenye ukoo wa Mwakalinga kumiliki gari Struggle zinaanza kimsingi utajifunza mengi but in hardway bahati mbaya upate fundi...
  2. Kuna kitu huyu Samia kanikumbusha enzi hizo ndo nimeanza kuingia barabarani na chombo cha moto na nikapata ajali

    Nakumbuka kulikuwa kuna watoto wasumbufu sana huo mtaa,kila ukiwazuia wasifanye hiki wao wanafanya yaan hata ukiwafukuza wanarudi Sasa kuna wakati walidandia gari kwa nyuma wakati na ondoka,nikawa nimepatwa hasira kutokana na kufanya jitihada kubwa sana za kuwazuia lakin hawasikii,sasa...
  3. Msaada, Hivi inakuwaje ukinunua chombo cha moto, chenye madeni TRA nalipa mimi au analipa yule ambae ameniuzia

    Inakuwaje kwa mfano ukinunua chombo cha moto ambacho kinasoma jina LA mtu mwingine na Lina deni unatakiwa kufanya Nini ili kuepukana na changamoto hiii... Na chombo tayari umeshanunua?
  4. K

    Napendekeza kuwe na tozo kwa kila chombo cha moto kitachopita juu ya daraja la Magufuli

    Tumeambiwa kuwa Daraja limegharimu fedha nyingi takriban 716 billioni. Hizi ni fedha nyingi hivyo basi zinatakiwa zirudi polepole. Ninapendekeza kuwa kuwe na tozo kwa kila chombo cha moto kitakachopita juu ya daraja la Dkt. Magufuli kama ilivyo daraja la Kigamboni. Nawasilisha.
  5. A

    Msaada namna ya kusajili chombo cha moto

    Nawezaje kujua usajiri wa chombo cha moto iwe gari au pikipiki kwa kutumia plate number?!.
  6. Vishoka wanaweza kunisaidia kupata chombo Cha moto?

    Wakuu Kuna bodaboda nimemaliza mkataba kutoka bank Sasa bank wananisumbua kunipa kadi je vishoka wa tra wanaweza kunisaidia kufyatua kadi mpya ya bodaboda??
  7. Inachukua muda gani kufanya transfer (kubadili jina la chombo cha moto) pikipiki?

    Mambo vipi Wakuu, Hivi karibuni nilianza kulipia kidogo kidogo kwaajili ya Kununua Pikipiki, kwa hawa watu hapa wapo Mbagala Zakiemu, Mimi nipo mkoa x Nimefanikiwa kulipia kidogo kidogo mpaka kumaliza, ila baada ya kumaliza wanasema kuna process mbili, Moja ni Kuhakiki Miamala (Yaani kuomba bank...
  8. Viambata vinavyotakiwa katikakuhamisha umiliki wa chombo cha moto

    1. Kadi ya Usajili wa Chombo cha Moto. 2.Mkataba wa Kisheria wa Mauziano na Risiti ya EFD kutoka kwa Mwanasheria aliyesaini mkataba huo au risiti ya manunuzi uliyopewa wakati wa manunuzi wa chombo hicho toka kwa muuzaji. 3.Kiapo cha Umiliki. 4.Taarifa za Muuzaji (Picha ndogo moja na nakala ya...
  9. VIAMBATA VINAVYOTAKIWA KATIKAKUHAMISHA UMILIKI WA CHOMBO CHA MOTO

    1. Kadi ya Usajili wa Chombo cha Moto. 2.Mkataba wa Kisheria wa Mauziano na Risiti ya EFD kutoka kwa Mwanasheria aliyesaini mkataba huo au risiti ya manunuzi uliyopewa wakati wa manunuzi wa chombo hicho toka kwa muuzaji. 3.Kiapo cha Umiliki. 4.Taarifa za Muuzaji (Picha ndogo moja na nakala ya...
  10. VIAMBATA VINAVYOTAKIWA KATIKAKUHAMISHA UMILIKI WA CHOMBO CHA MOTO

    1. Kadi ya Usajili wa Chombo cha Moto. 2.Mkataba wa Kisheria wa Mauziano na Risiti ya EFD kutoka kwa Mwanasheria aliyesaini mkataba huo au risiti ya manunuzi uliyopewa wakati wa manunuzi wa chombo hicho toka kwa muuzaji. 3.Kiapo cha Umiliki. 4.Taarifa za Muuzaji (Picha ndogo moja na nakala ya...
  11. VIAMBATA VINAVYOTAKIWA KATIKAKUHAMISHA UMILIKI WA CHOMBO CHA MOTO

    1. Kadi ya Usajili wa Chombo cha Moto. 2.Mkataba wa Kisheria wa Mauziano na Risiti ya EFD kutoka kwa Mwanasheria aliyesaini mkataba huo au risiti ya manunuzi uliyopewa wakati wa manunuzi wa chombo hicho toka kwa muuzaji. 3.Kiapo cha Umiliki. 4.Taarifa za Muuzaji (Picha ndogo moja na nakala ya...
  12. Viambata vinavyotakiwa katika katika kuhamisha umiliki wa chombo cha moto

    1. Kadi ya Usajili wa Chombo cha Moto. 2. Mkataba wa Kisheria wa Mauziano na Risiti ya EFD kutoka kwa Mwanasheria aliyesaini mkataba huo au risiti ya manunuzi uliyopewa wakati wa manunuzi wa chombo hicho toka kwa muuzaji. 3. Kiapo cha Umiliki. 4. Taarifa za Muuzaji (Picha ndogo moja na nakala...
  13. Nani anitumie mkataba wa chombo cha moto (pikipiki au bajaji) wenye masharti mazuri kwa tajiri

    Wakuu nataka niwekeze humu kwene piki piki. Nahitaj kumiliki vyombo vya moto kwa kuanza na pikipiki moja. Nataka nipate mkataba ambao utaniwea rahisi na unaombana mwendeshaji kuweka nidham ya chombo changu pia kumfanya asilete masihara! Karibuni wamiliki
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…