Niseme ukweli ,nilikuwa nawaaminia sana CHADEMA na haswa viongozi wao ,nikiwaona na magwanda na namna wanavyosema nilijiaminisha wanaweza kuuteka umma na wao kuwa mstali wa mbele.
Ila mapambano sio lelemama ,nilitegemea Mwaka huu twente faiv CHADEMA wataunga pale walipowekeza CUF kuishauri...