ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. JamiiForums Tanzania Sijaona Kada wa CCM mwenye uwezo wa kujibizana na Polepole

    Hii ipo wazi kabisa. Hata Steven Wassira na ujanja wake wa kupangua hoja amekwama. Mfano Wassira anakiri kuwa ni kweli katiba ya JMT imekiukwa maana rais Samia ametumika zaidi ya miaka 3. Hili la utamaduni wa kumuachia aendelee ni kinyume na katiba ya JMT. Mkuu wa mkoa wa Dar kuropoka kuwa...
  2. JamiiForums Tanzania GE2025 Nini kinaendelea majimbo ya CCM Mkoa wa Katavi mbona majibu hayawekwi wazi?

    Mkoa wa una majibo Matano; Jimbo la Mpanda Mjini, Jimbo la Katavi, Jimbo la Tanganyika, Jimbo la Katavi na Jimbo la Nsimbo yote naona kuna ukimya unatawala kuhusu majibu ya Kura za Maoni kuhusu wanaowania Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nini kinaendelea? Pia soma ~ Nini kinaendelea...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Wajumbe CCM ni kirusi nchini, Wanakula rushwa na kupitisha viongozi wasiofaa

    Hello jf members, Hilo halina ubishi hawa wajumbe wamegeuka janga kwenye nchi yetu. Bora kura tupige wanachama wote.
  4. JamiiForums Tanzania Huwezi kuitenganisha CCM na rushwa

    Unapotamani kwenye chaguzi za CCM kusiwepo na rushwa au upendeleo, ni kama unataka kusema CCM isiwepo! Huwezi kuitenganisha CCM na rushwa halafu CCM ikaendelea kuwepo. Rushwa kwa wana CCM wengi ni kama ndiyo damu na pumzi inayoifanya CCM iwe hai. Siasa za ndani ya CCM zinahitaji Hela nyingi...
  5. JamiiForums Tanzania Kwa Sinema tulizozionesha CCM, No Reforms No Election haipingiki

    Mabadiliko kwenye mfumo wa chaguzi zetu hayapuuziki wala hayazuiliki. Pamoja na jeuri ya kichama na kidola, mabadiliko ni muhimu kama chumvi na ndimu kwenye supu adimu. Muhimu kama elimu ya kumkomboa mwanadamu kutoka zamadamu. No Reforms, No Election imepata uungwaji mkono na sinema za CCM. Ni...
  6. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM: Kuongoza Kura za Maoni haimaanishi umeteuliwa

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ubungo kimehitimisha zoezi la kura za maoni kwa ajili ya kuwapata wagombea wa nafasi ya Ubunge katika majimbo ya Ubungo na Kibamba, huku Prof. Kitila Alexander Mkumbo na Anjellah Kairuki wakiibuka vinara wa kinyang’anyiro hicho Akizungumza na waandishi wa...
  7. JamiiForums Tanzania Tumchambue Rostam Aziz, ni mjamaa mwana CCM kweli?

    Billionea Rostam Aziz 'kada' wa CCM Moja ya misingi ya Imani ya mwana CCM ni kwamba : Binadamu wote ni sawa Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake jamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru Pamoja na Imani hizi ambazo ni...
  8. JamiiForums Tanzania GE2025 Neto Kapalata amtwanga Kigwangalla kura za maoni Ubunge wa CCM Nzega Vijijini

    Katika jambo la kustaajabisha mithili ya Mende kuangusha kabati, Kada wa CCM Jimbo la Nzega Vijijini, Ndugu Neto Kapalata ameshinda kura za Maoni kwa kura 2,570 dhidi ya Ndugu Hamis Kigwangala. Kigwangalla ambaye ni Kada Mkongwe wa CCM na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo, amepata kura 1,715, huku...
  9. JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM 'walioanguka' kura za wajumbe

    Katika kile kinachoonekana kama mabadiliko ya upepo wa kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wabunge kadhaa waliokuwa wakitetea nafasi zao wamejikuta wakitemwa na wajumbe wa chama hicho katika kura za maoni zilizofanyika Agosti 4, 2025, katika maeneo mbalimbali ya Tanzania. Ingawa...
  10. JamiiForums Tanzania Kura za ubunge CCM ni faraja kwa Polepole, legasi ya JPM inazidi kuishi

    Mpaka sasa idadi kubwa ya wabunge waliopitishwa na wajumbe CCM kuwa wabunge 2025-2030 ni walewale waliokuwa wanakubalika au waliopitishwa na Magufuli kuwa wabunge mwaka 2020, mabadiliko ni madogo sana lakini nayo mengi inaonekana ni ya watu waliopata kibali cha JPM kama Masanja Kadogosa...
  11. JamiiForums Tanzania GE2025 Uchaguzi wa CCM unaenda vizuri

    Uchaguzi wa ndani CCM unaenda vizuri. Bado tunasubiri kuona Uchaguzi ndani ya vyama vingine. Lakini tunasikitika kuhusu Chadema kwamba haitakuwa katika Uchaguzi Mkuu. Judges 21:6 Today Israel has lost one tribe.
  12. JamiiForums Tanzania Charles Mhando Njama: Safari ya Mwanamapinduzi Aliyetwaa Tiketi ya Ubunge wa Korogwe Mjini 2025 kupitia CCM

    Korogwe Mjini, 4 Agosti 2025 Katika siku iliyojaa hamasa, matumaini, na shangwe, jina la Charles Mhando Njama limeandikwa upya kwenye historia ya siasa ya Korogwe Mjini. Wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamempatia ushindi wa kishindo katika kura za maoni akiwaacha mbali sana wapinzani...
  13. JamiiForums Tanzania CCM walivyowanyoosha COVID-19 toka CHADEMA hadi raha!

    Kitu nawapendea CCM likija swala la Kura na Kusaka vyeo hawachek na yeyote NI ama utoe pesa ya kueleweka (hii njia nayo haina uhakika 100%) au wakutose mazima. Wapi, 1. Ester Matiko 2. Nusrat Hanje 3. 4.
  14. JamiiForums Tanzania Hii mikoa ikipiga kura za visasi dhidi ya CCM ya Samia haipati hata asilia 25

    Tanga, kauli ya kifo ni kifo bado inawauma sana. Katavi, imetupwa kushoto kuliko hata Kizimkazi yenye watu 20000 Mwanza, tukio la machi 17 2021 bado linawauma sana. Maana bado hawaamini kama ni mkono wa Mungu Geita, waemkaa kimya ila wanasema walishatengwa kabisa baada ya machi 17 2021...
  15. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Majimbo mawili ambayo washindi wapili ni uhakika watarudi kuwa ndio wapeperusha bendera ya ccm

    Jimbo la iringa mjini mshindi ni Fadhili Ngajiro kwa kura 1899 na wa pili ni Moses Ambindwile kwa kura 1523. ANACHUKULIWA MOSES, fadhili kagombea zaidi ya mara mbili akakosa, leo kaongoza lakini anaemfuata ni mgeni kabisa chamani na siasa za Iringa mjini lakini amemkaribia mwenyekiti wa jumuiya...
  16. JamiiForums Tanzania GE2025 Shangwe laibuka baada ya Eric Shigongo kuibuka mshindi kura za maoni CCM, jimbo la Buchosa

    Shangwe latawala mara baada ya Mbunge wa Buchosa aliyemaliza muda wake, Eric Shigongo, kuibuka mshindi katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwania muhula wa pili wa ubunge katika jimbo hilo.
  17. JamiiForums Tanzania GE2025 CCM imejianika kuwa ni adui namba moja wa DEMOKRASIA nchini kupitia kura za uteuzi wagombea

    Leo tarehe 04 Agosti 2025 nchi nzima imeshuhudia zoezi la kura za uteuzi wa wagombea nafasi za Udiwani na Ubunge kuelekea uchaguzi mkuu hapo Oktoba 29. CCM ilianza kuvunja Katiba ya Nchi baada ya kumteua Samia Suluhu kuwa mgombea pekee wa Urais hapo January ambapo kwa mujibu wa Ibara ya 38 ya...
  18. JamiiForums Tanzania Kesi ya Dr Malisa Vs CCM isikilizwe kwa njia ya mtandao pia

    Nashauri kesi hii kubwa nayo isikilizwe kwa njia ya mtandao. Pia ikibidi CCM isitishiwe ruzuku na izuiwe kufanya shughuli zake hadi kesi ya msingi iishe ili Mgombea anayelalamikiwa asije akavuruga ushahidi
  19. JamiiForums Tanzania Mpaka sasa mbunge mstaafu Seleman Bungala a.k.a BWEGE alikuwa mbele ya muda sana kwa wanaojita wapinzani na wanachama wa CCM

    Nakumbuka huyu mzee aliwahi kusema mala kadhaa pale bungeni kuwa itafika mahali hakuta kuwa na chama cha upinzani kitachokuwa na wabunge, madiwani na hata wenye viti wa vitongoji na watabaki CCM Watupu bado watanyosheana vidole na hata kugombana wenyewe kwa wenyewe,Na hiki ndicho kinachotokea...
  20. JamiiForums Tanzania Vyombo vya ulinzi kama CCM wametendeana hivi (mtu mkavu) vipi Kwa wapinzani? (Mti mbichi)

    Vyombo vya ulinzi angalieni yaliyotokea kwenye uchaguzi wa CCM maeneo mbalimbali nchini. Swali kwenu kama wameutendea mti mkavu hivi vipi Kwa mti mbichi? Kuna Uzi uliwekwa hapa asubuhi hapa Kwa kumpongeza Lissu kujitoa sadaka Kwa wengine na Mimi naunga mkono lissu ni kama mkombozi Kwa walio...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…