Katika jambo la kustaajabisha mithili ya Mende kuangusha kabati, Kada wa CCM Jimbo la Nzega Vijijini, Ndugu Neto Kapalata ameshinda kura za Maoni kwa kura 2,570 dhidi ya Ndugu Hamis Kigwangala.
Kigwangalla ambaye ni Kada Mkongwe wa CCM na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo, amepata kura 1,715, huku...