Wakuu, Toka Uhuru, japo majaribio Kadhaa ya kumpindua Nyerere yalitokea, baada ya ujio wa Vyama vingi , CCM ilikua imezoea kua na Upinzani Uchwara tu, unaahidiwa kugombea Urais, ukikosa, wanakuteua U-RC.
Wakati mwingine unamwagiwa Pesa tu basi.
Kwa Ufupi hapakuwahi kutokea UPINZANI unaoitaka...