Katika utamaduni wa siasa ya vyama vingi, kawaida ni kuwa na chama tawala na vyama vya upinzani. Katika hali isiyoyakawaida, hapa Tanzania, chama kikuu cha upinzani ndio kimepata wapinzani.
Ni rasmi sasa CHADEMA inapingwa na wana CHADEMA wa kundi la G55, Chama Cha Mapinduzi, vyama vya...