ccm chadema

The Chama Cha Mapinduzi (CCM; lit. 'Party of the Revolution' in English) is the dominant ruling party in Tanzania and the second longest-ruling party in Africa, only after the True Whig Party of Liberia. It was formed in 1977, following the merger of the Tanganyika African National Union (TANU) and the Afro-Shirazi Party (ASP), which were the sole operating parties in mainland Tanzania and the semi-autonomous islands of Zanzibar respectively.
TANU and its successor CCM have ruled Tanzania uninterruptedly since independence. The party has been described as authoritarian. Since the creation of a multi-party system, CCM has won the past six general elections in 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 and 2020. Jakaya Kikwete, its presidential candidate in 2005, won by a landslide, receiving more than 80% of the popular vote and John Magufuli as a candidate in 2020 exceeded to 84% campaign. In the 2010 election, it won 186 of the 239 constituencies, continuing to hold an outright majority in the National Assembly.

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    Suala la Bandari tunajihujumu Sisi Wenyewe

    Katika siku za karibuni, taarifa zimeibuka kuwa Bandari ya Mombasa, Kenya, imeanza kupokea meli za mizigo ambazo hapo awali zilikuwa zikitia nanga Bandari ya Dar es Salaam. Kwa lugha nyepesi kabisa, mizigo imehama, yaani wateja wamehama. Lakini kwa lugha ya siasa nyepesi zaidi, lawama...
  2. McLaren

    GE2025 CCM mabango yenu kila sehemu yanaboa. Naomba kamati za mazingira mliangalie hili

    Wakuu, Nimechoka kuona mabango ya CCM mtaaani. Yaani kila sehemu ni mabango tu. Nimeenda pale Makumbusho mabango yako hadi kwenye magari Halmshauri mko wapi? Mazingira kwa kweli ni mabovu na machafu maana kuna karatasi kila sehemu CCM watafute namna ya kufanya kampeni zao bila sisi...
  3. G.T.L

    PreGE2025 CCM kuipa Majimbo CHAUMMA na kukifanya chama kikuu upinzani Bara

    Wakuu, ni dhahiri sasa CCM imetumia tena mkakati wa divide and Rule kuelekea uchaguzu mkuu 2025. Ninachokiona kitakachotokea, CCM watawaachia CHAUMMA majimbo mawili au matatu kwenye mikoa yenye majimbo yasiyo pontential kwao, then watapata nafasi ya viti maalumu visivyopungua 20 na kukifanya...
  4. Tabutupu

    Chadema 5-0 CCM kipindi cha kwanza

    Katika makosa ambayo ccm imewahi kufanya basi kosa la kimkamata tundu lissu wakati huu ni kosa baya sana. 1. Chadema imekuwa popula mara dufu kwa wananchi. 2. Chadema imekuwa popula kimatafa 3. tanzania imekuwa exposed kama nchi isiyo fuata demokrasia . 4.Kosa hili limefuta mazuri ya Rais...
  5. Zanzibar-ASP

    Wanachama wa CCM wanakiri wazi wazi kuwa Wasira na Makalla ni mizigo mizito kwa Chama chao, hawatoshei kabisa

    Kama kuna vitu vya ovyo ambavyo vimewahi kufanywa na mwenyekiti wa CCM katika utendaji wa CCM basi huenda ni uteuzi wa Stephen Wasira kuwa makamu mwenyekiti wa CCM na Amos Makalla kuwa katibu mwenezi Wanachama wa CCM taifa. Wanachama wa CCM wengi kwa sasa wanakiri wazi wazi kuwa hao jamaa ni...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    PreGE2025 Ni Mpango wa CCM CHADEMA kisiwe chama cha kitaifa, Ndio maana Mbowe kwao ni Chaguo Sahihi

    Mpo salama! Ninachowakubali CCM wanajua kusukuma Kete zao kwa AKILI Sana na pale inapohitajika nguvu kidogo wanatumia CCM KAMWE haitaruhusu Chama chochote cha upinzani kiwe chama cha siasa cha kitaifa. CCM hawaoni shida wala haiwashughulishi chama cha upinzani kutawala kanda Fulani au Mkoa...
  7. Mindyou

    LGE2024 Kigamboni: CCM wararuana wenyewe kwa wenyewe. Vurugu zapamba moto kwenye Uchaguzi wa ndani ya chama

    Wakuu ni rasmi sasa mnara wa babeli wa CCM unaaanza kuanguka. Huko Kigamboni kwenye mkutano wao wa ndani ya chama umevurugika na kumetokea vurugu wakati wapo kwenye mchakato wa kura za maoni. Soma Pia: Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani Hii ni ishara kuwa hata ndani ya...
  8. P

    PreGE2025 Mbunge Abdulhafar: CCM ni wazoefu wa kupokea matokeo ya kushinda na kushindwa, upinzani wafundishwe

    Mbunge Abdulhafar Juma akichangia kwenye miswada ya sheria uchaguzi ametoa pendekezo la kuongeza kipengele cha kutoa elimu namna ya kupokea matokeo. Akisema, "Kushindwa kwa baadhi ya viongozi katika uchaguzi ndio kunaleta kitahalani katika taifa. Kumbe labda tu kwasababu hawana elimu. "Nadhani...
  9. M

    Mbowe na Lissu wanawachanganya wafuasi wao!

    Mbowe ametangaza maandamano mkoa wa Dar es Salaam siku ya tarehe 24 January 2024 huku Makamu Mwenyekiti wa akiwa nchini Ivory Coast kuipa hamasa Taifa Stars. Kwa mujibu wa Lissu atakuwa nchini Ivory Coast hadi January 24 amesema kuwa atatazama mechi zote za Taifa Stars! Huku ni kukingamana kwa...
Back
Top Bottom