Yule dada machachari mwenye dishi lililochangamka kwani hajateuliwa kugombea ubunge?
Sifa zote anazo, ni mpingaji mzuri wa dhambi ya ushoga na usagaji, anafaa kuwa hata Rais.
Babu yake mwakyembe anapeta tu, nasikia kawa sijui Mkurugenzi wa nini. Natamani na Catherine naye akumbukwe.
Amefungua...