cameroon

Cameroon ( (listen), French: Cameroun), officially the Republic of Cameroon (French: République du Cameroun), is a country in west-central Africa. It is bordered by Nigeria to the west and north; Chad to the northeast; the Central African Republic to the east; and Equatorial Guinea, Gabon and the Republic of the Congo to the south. Its coastline lies on the Bight of Biafra, part of the Gulf of Guinea and the Atlantic Ocean. The country is sometimes identified as West African and other times as Central African, due to its strategic position at the crossroads between West and Central Africa. Its nearly 25 million people speak 250 native languages.Early inhabitants of the territory included the Sao civilisation around Lake Chad, and the Baka hunter-gatherers in the southeastern rainforest. Portuguese explorers reached the coast in the 15th century and named the area Rio dos Camarões (Shrimp River), which became Cameroon in English. Fulani soldiers founded the Adamawa Emirate in the north in the 19th century, and various ethnic groups of the west and northwest established powerful chiefdoms and fondoms. Cameroon became a German colony in 1884 known as Kamerun. After World War I, it was divided between France and the United Kingdom as League of Nations mandates. The Union des Populations du Cameroun (UPC) political party advocated independence, but was outlawed by France in the 1950s, leading to the Bamileke War fought between French and UPC militant forces until early 1971. In 1960, the French-administered part of Cameroon became independent, as the Republic of Cameroun, under President Ahmadou Ahidjo. The southern part of British Cameroons federated with it in 1961 to form the Federal Republic of Cameroon. The federation was abandoned in 1972. The country was renamed the United Republic of Cameroon in 1972 and the Republic of Cameroon in 1984. Paul Biya, the incumbent president, has led the country since 1982; he previously held office as prime minister from 1975 on. Cameroon is governed as a Unitary presidential republic.
The official languages of Cameroon are French and English, the official languages of former French Cameroons and British Cameroons. Its religious population is predominantly Christian, with a significant minority practicing Islam, and others following traditional faiths. It has experienced tensions from the English-speaking territories, where politicians have advocated for greater decentralisation and even complete separation or independence (as in the Southern Cameroons National Council). In 2017, tensions over the creation of an Ambazonian state in the English-speaking territories escalated into open warfare.
Large numbers of Cameroonians live as subsistence farmers. The country is often referred to as "Africa in miniature" for its geological, linguistic and cultural diversity. Its natural features include beaches, deserts, mountains, rainforests, and savannas. Its highest point, at almost 4,100 metres (13,500 ft), is Mount Cameroon in the Southwest Region. Its cities with largest populations are Douala on the Wouri River, its economic capital and main seaport; Yaoundé, its political capital; and Garoua. Cameroon is well known for its native music styles, particularly Makossa and Bikutsi, and for its successful national football team. It is a member state of the African Union, the United Nations, the Commonwealth of Nations, Non-Aligned Movement and the Organisation of Islamic Cooperation.

View More On Wikipedia.org
  1. Pdidy

    HAKI INGETENDEKA IMAGIME.LEO INGEKUWA (TANZANIA VS CAMEROON)

    DAH POLEN SANA CAMEROON POLEN TEAM CAMEROON MBAYA ZAIDI MECHI KAMA YA LEO SIKUWA NA HAMU KUANGALIA BAADA YA UHUNI ULIOTOKEA MECHI VS MOROCO LEO TUNGEKUWQ TUNAANGALIA CAMEROON VS TANZANIA KAMA SIO UHUNI WA AFCON REFARII POLEN ZANA WATZ NXZTTM MJIFUNZE AFCON KWENU MJIPANGE MAREFA WAWATETEEE
  2. Meja Jenerali Isamuhyo

    Vituko AFCON: Timu ya Cameroon yaita vikosi viwili tofauti, kimoja cha kocha aliyetimuliwa, kingine kaita Etoo kama Rais wa Shirikisho

    Afrika kivyetu vyetu. Huko Cameroon kuna vituko vinaendelea kwa timu yao ya taifa. Kocha wa timu hiyo Marc Bris, aliyefukuzwa kazi na Samuel Etoo amegoma kuachia ngazi baada ya kusikika akisema kuwa yeye ameajiriwa na Wizara ya Michezo ya Cameroon na sio Etoo. Akaenda mbali zaidi akatangaza...
  3. tonicimmobility

    Cameroon: Mpinzani wa Paul Biya akimbilia uhamishoni Gambia

    Kiongozi wa upinzani nchini Cameroon, Issa Tchiroma Bakary, amekimbilia nchini Gambia kwaajili ya usalama wake kufuatia mvutano uliotokea baada ya uchaguzi wa Oktoba, ambao ulimrejesha madarakani Rais Paul Biya katikati ya maandamano yenye vurugu. Serikali ya Gambia imethibitisha kuwa Tchiroma...
  4. R

    Upinzani Cameroon yatoa saa 48 kuachiliwa kwa wote waliokamatwa kwenye Maandamano ya Uchaguzi 2025

    Upinzani nchini Cameroon unaendelea kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika hivi karibuni Mgombea wa urais wa chama pinzani aliyeibuka mshindi wa pili, Issa Tchiroma Bakary, ametoa masaa 48 ya mwisho kwa mamlaka za nchi hiyo kuwaachia huru wote waliokamatwa wakati wa maandamano...
  5. R

    Rais wa Cameroon Paul ameshinda tena urais kwa awamu ya nane

    Rais wa Cameroon, Paul Biya mwenye umri wa miaka 92, ambaye ni mkuu wa nchi mzee zaidi duniani, ameshinda tena uchaguzi wa urais kwa muhula wa nane, kwa mujibu wa matokeo rasmi yaliyotangazwa leo Oktoba 27, 2025 na Baraza la Katiba Soma pia Rais Paul Biya anaongoza kwa 53% Matokeo ya awali...
  6. W

    Mtoto wa Rais Paul Biya alalamikia unyanyasaji na kufuatiliwa tangu kumalizika kwa uchaguzi Cameroon

    Brenda Biya, binti wa Rais Paul Biya, amejitokeza kwenye mitandao ya kijamii akieleza kuchoshwa na kile anachokiita unyanyasaji na ufuatiliaji unaoendelea dhidi yake tangu kumalizika kwa uchaguzi wa urais. Kupitia video inayosambaa mtandaoni, Brenda alisema: “Imetangazwa kwamba Tchiroma ndiye...
  7. R

    Wananchi Cameroon waandamana wakitaka Matokeo halali ya Uchaguzi kuheshimiwa

    Hali ya wasiwasi imekithiri katika miji mbalimbali ya Cameroon, kufuatia madai ya ushindi yaliyotolewa na mgombea wa upinzani, Issa Tchiroma Bakary, katika uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 12, 2025 Soma Kiongozi wa Upinzani ajitangaza Mshindi wa Urais Cameroon, amuomba Rais Paul Biya...
  8. R

    Zoezi la kuhesabu kura linaendelea Cameroon huku Upinzani wakilalamika kupewa vitisho

    Zoezi la kuhesabu kura linaendelea nchini Cameroon kufuatia uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 12, 2025, ambapo Rais aliyepo madarakani, Paul Biya, anatafuta kuendelea kushikilia madaraka baada ya miaka 43 uongozini. Biya, mwenye umri wa miaka 92 na anayejulikana kama Rais mzee zaidi...
  9. R

    Maelfu wamuunga mkono mpinzani wa Rais Paul Biya wa Cameroon

    Maelfu ya watu wamekusanyika katika jiji la Maroua, kaskazini mwa Cameroon, kumuunga mkono mgombea wa upinzani Issa Tchiroma Bakary, siku chache kabla ya uchaguzi wa urais utakaofanyika Oktoba 12, 2025 Hii inajiri wakati Rais Paul Biya , mwenye umri wa miaka 92, anatafuta kuendeleza utawala...
  10. R

    Rais wa Cameroon Paul Biya afanya Mkutano wa Kampeni yake ya kwanza, baada ya kutoonekana kwa muda mrefu

    Rais wa Cameroon mwenye umri wa miaka 92, Paul Biya, ameonekana hadharani Jumanne Oktoba 7, 2025 katika mkutano wake wa kwanza wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu ujao, ambapo kiongozi huyo mkongwe zaidi duniani anawania muhula wake wa nane madarakani Akihutubia maelfu ya wafuasi katika uwanja wa...
  11. R

    Cameroon yapewa tamko kuwaachilia huru wafuasi 36 wa Upinzani

    Amnesty International imetoa wito wa kuachiliwa mara moja kwa wafuasi 36 wa chama cha upinzani cha Movement for the Renaissance of Cameroon (MRC) waliokaa gerezani kwa miaka mitano kwa kushiriki maandamano ya amani dhidi ya Rais Paul Biya. Wafuasi hao walihukumiwa kifungo cha kati ya mwaka mmoja...
  12. Chizi Maarifa

    Siku hazirudi Nyuma : Kile Kizazi cha Dhahabu cha Team ya Taifa ya Cameroon

    Mfululizo wa Makala zangu za SIKU HAZIRUDI NYUMA. Hapa namaanisha kile kikosi Shababy kabisa cha Cameroon. Mguu wa shingo mguu wa Roho. “golden generation” ya Cameroon iliyotikisa dunia kwenye Kombe la Dunia 1990 (Italia) wakati wa Roger Milla na wenzake. Hicho ndicho kikosi kinachokumbukwa...
  13. W

    Baraza la katiba nchini Cameroon limeunga mkono uamuzi wa tume ya uchaguzi wa kumuondoa kiongozi wa upinzani Maurice Kamto katika uchaguzi wa Urais

    Baraza la Katiba la Cameroon limeunga mkono uamuzi wa tume ya uchaguzi ya nchi hiyo wa kumwondoa kiongozi wa upinzani Maurice Kamto katika uchaguzi wa urais wa tarehe 12 Oktoba. Wakati mwanasiasa huyo machachari akiondolewa, Rais Paul Biya mwenye umri wa miaka 92 — ambaye pia alikumbana na...
  14. tonicimmobility

    Mahakama ya Cameroon yamzuia Mpinzani wa Rais Paul Biya kugombea urais

    Mahakama ya Katiba nchini Cameroon imemzuia mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa Maurice Kamto kugombea urais dhidi ya Rais Paul Biya, ambaye ana miaka 92 na amekuwa madarakani tangu 1982! Mahakama imesema Kamto amechelewa kuwasilisha maombi ya kuwania urais kupitia chama kipya cha MANIDEM...
  15. Parabolic

    Mpinzani mkuu wa Rais Paul Biya wa Cameroon aenguliwa kugombea

    Kiongozi wa upinzani nchini Cameroon Maurice Kamto ameondolewa kwenye orodha ya wagombea katika uchaguzi wa urais wa Oktoba 12, 2025. Ni majina 13 tu kati ya 83 yaliyowasilishwa kwa baraza la uchaguzi nchini humo yalikubaliwa. Hakuna sababu iliyotolewa kwa uamuzi wa kutomruhusu Kamto kusimama...
  16. R

    Rais wa Cameroon Paul Biya abadili viongozi wa kijeshi kabla ya uchaguzi

    Rais wa Cameroon mwenye umri wa miaka 92, Paul Biya amabaye ni kiongozi mkongwe zaidi duniani kwa sasa ametekeleza mabadiliko makubwa katika safu ya juu ya jeshi siku chache tu baada ya kutangaza nia ya kugombea kwa muhula wa nane kwenye uchaguzi wa urais utakaofanyika Oktoba 12. Kupitia amri za...
  17. R

    Rais wa Cameroon Paul Biya atangaza kuwania Urais kwa awamu ya nane

    Rais wa Cameroon, Paul Biya, mwenye umri wa miaka 92, ametangaza nia ya kugombea kwa muhula wa nane katika uchaguzi wa urais utakaofanyika October 12, 2025 Biya, ambaye ni kiongozi wa taifa mwenye umri mkubwa zaidi duniani kwa sasa, alitoa tangazo hilo kupitia machapisho kwenye mtandao wa X...
  18. Mad Max

    Full Time: Tanzania 3 - 2 Cameroon | Futsal WAFCON 2025 - Morocco | Semi Final

    Baada ya kuwacharaza Senegal 3-1 na kuongoza Group letu, leo tunakipiga Semi Final. Dada na mama zetu wanaendelea kutuwakilisha uko leo wakicheza na Cameroon. Kikosi chetu hiki hapa: Tumeshinda tena asanteeeeee 3-2 Tanzania kwakua tmeshinda, sio tu kwamba tutaenda kucheza Fainali ila pia...
  19. L

    Jengo jipya la Bunge la Cameroon ni alama ya ushuhuda wa urafiki wa kunufaishana kati ya China na Cameroon

    Hivi karibuni, China imekabidhi funguo za jengo jipya la Bunge la Cameroon kwa Spika wa Bunge hilo, Cavaye Yeguie Djibril katika hafla iliyohudhuriwa na maofisa wa serikali, wanadiplomasia, na wageni wengine waalikwa. Spika Cavaye amesema, jengo hilo ni kubwa zaidi, zuri zaidi na lenye kuvutia...
  20. Mkalukungone Mwamba

    Cameroon: Bibi harusi anguka ghafla na kuaga Dunia wakati sherehe za harusi zikiendelea

    Katika hali kuendelea kufurahi lakini ghalfa watu wanadondosha machozi na vilio vingi baada ya kupokea au kushuhudia mmoja wao anapata tatizo ambalo linampelekea kufariki dunia. Sikia hiki kisa kutoka huko Cameroon ========= Katika hali ya kushangaza Jumamosi ya Oktoba 26, bibi harusi...
Back
Top Bottom