bunju b

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kinahitajika kiwanja, Bunju B Mabwepande

    Wadau, Naitaji kiwanja Bunju B Mabwepande, kama unacho njoo na offer yako. Nicheck whatsapp kwa namba hii: +255659741342
  2. M

    Nahitaji kiwanja Mabwepande, Bunju B

    Habari Wadau! Naitaji kiwanja Mabwepande Bunju B. Kama uncho njoo na Offer yako. Wasalaam.
  3. sekhal

    House4Rent Natafuta Chumba cha kupanga Bunju au Mapinga

    Habari zenu Natafuta room ya kupanga maeneo ya bunju karibu na stendi au mapinga karibu na shule ya baobab Mwenye kufahamu naomba anisaidie au aniunganishe na dalal wa maeneo hayo asanteni
  4. GISAMBO

    Plot4Sale Kiwanja Bunju B Sqm 1666

    Kiwanja ukifika Bunju Stand pale unaingia Kulia kama 1km watu washajenga kando ya kiwanja kina Hati na akidaiwi Bei n 80m negotiations 0692685475
  5. Tusker Bariiiidi

    Watano wafariki kwa ajali Bunju B usiku wa Jumamosi 26 Machi, 2022. Walikuwa wakitokea kwenye starehe

    Watano Wafariki kwa ajali Bunju B Usiku wa Jmosi wakitokea Juliana Pub wakaja kumalizia huku njia ya Moga kuna baa inaitwa Lava Lounge. Wakanywa tena hadi saa 10 wahudumu Waliwasihi sana walivyolewa hivyo wkalale logde ya huko huko msiendeshe lakini hawakuwasikiliza, Wakaondoka, ndio wakati...
  6. M

    INAUZWA Boss Chest Freezer BE-200L WHT- Bunju B

    Wadau Salaam, NAUZA Boss Chest Freezer BE-200L WHT KAMA ILIOPO KWENYE PICHA HAPO CHINI. IMETUMIKA MUDA MFUPI. BEI TZS. 500,000 (Dukani kwa sasa ni 750,000). IKO BUNJU, NIPIGIE 0754 34 36 42
  7. M

    Bata wanauzwa Bunju B

    Bata mbegu nzuri sana ya kienyeji wanauzwa Bunju B. Bei: Majike makubwa Tshs. 15,000 Wenye miezi 5 Tshs. 10,000 Dume kubwa la mbegu Tshs. 25,000 Piga 0759 819 819
  8. Kocha mchezaji

    House4Rent Nyumba ya ghorofa inapangishwa Bunju B

    Nyumba nzuri na mpya iliyo na servant quarter inapangishwa Bunju B. Bei 2,500,000/- Simu: 0713763026
  9. Jidu La Mabambasi

    Kero ya Bunju B, mchinga hadi barabarani: Serikali haioni kero hii?

    Kwa wale tunaotumia barabara ya Dar Bagamoyo kila siku mtakubaliana na kero hapo Bunju B. Hapa vibanda vya machinga vipo hadi shoulder za barabara, na wapita kwa miguu, baiskeli, mikokoteni na bodaboda na bahaji xote wanagomnea kupita. Matokeo yake asubuhi na jioni hapapitiki, foleni hadi...
  10. M

    Inaitajika nyumba ya kupanga Mabwepande (bunju b)

    Naitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Mabwepande Bunju B. iwe stand alone na ndani ya fance. Pia naitaki viwanja vya kununua(vilivyopimwa) maeneo ya Magwepande na Bunju B. Kama una offer naomba nicheck DM.
  11. Kurunzi

    Kituo cha Daladala Bunju B kiondolewe, kinasababisha foleni

    Kituo cha Daladala Bunju B tunaomba kiondolewe mahili kilipo sasa kisogezwe sehumu nyingine. Kituo hicho kinasababisha foleni muda wote, nimepita hapo leo saa 12 asubuhi foleni ni kubwa sana imechukuwa takribani dakika 10 kupita hapo. Pia wafanyabiashara wameingia mpaka eneo la barabara hali...
Back
Top Bottom