boniface mwangi

Boniface Mwangi (born July 10, 1983) is a Kenyan photojournalist, politician and activist involved in social-political activism. He is known for his images of the post-election violence that hit Kenya in 2007 and 2008.

View More On Wikipedia.org
  1. Lord Denning

    Tuseme Kenya imewafanyia watanzania kama Boniface Mwangi na Agatha Atuhaire, Mamlaka za Tanzania zingemtoa yeyote kwa Kenya?

    Tunaposema Mwanasheria Mkuu wa Serikali anapaswa kuwa mtu mwenye weredi ya hali ya juu katika masuala ya kisheria ziwe za madai au jinai au za kitaifa au kimataifa hatutanii, tuna maanisha kweli. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni cheo nyeti sana katika nchi yoyote ile duniani. Ni kielelezo kikuu...
  2. S

    Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi, watakuja kufafanua vifungu vya sheria ya uhaini vinavyotaka kutumika kumtia hatiani Tundu Lissu?

    Tangu Tundu Lissu ataje orodha ya mashahidi wake, mashahidi kutoka Kenya na Uganda ambao hawakuwepo eneo la tukio (kwenye mkutano ambao Lissu alisema "tutakinukisha") na ambao si hata viongozi wa CHADEMA, nimebaki najiuliza swali hili: Watu hawa(Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi)...
  3. R

    Mwanaharakati Boniface Mwangi Atangaza Kuwania Urais Kenya 2027

    Mwanaharakati wa haki za binadamu nchini Kenya, Boniface Mwangi, ametangaza kuwania urais katika uchaguzi wa mwaka 2027. Mwangi, ambaye amekuwa mstari wa mbele kuongoza maandamano ya kupinga serikali yanayoshirikisha vijana wengi, anataka kugeuza nguvu hizo za maandamano kuwa harakati ya...
  4. 1Africa54

    Mwanaharakati Boniface Mwangi aondolewa mashitaka ya ugaidi, sasa akabiliwa na kosa la kumiliki risasi kinyume cha sheria

    Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) nchini Kenya imeondoa mashitaka ya ugaidi dhidi ya Mwanaharakati Boniface Mwangi, ambaye sasa anakabiliwa na mashitaka ya kumiliki risasi kinyume cha sheria. Mwangi, ambaye ameachiwa kwa dhamana, awali alishtakiwa kwa kusaidia shughuli za kigaidi kufuatia...
  5. E

    Boniface Mwangi afutiwa mashitaka ya ugaidi, ahusishwa na kupanga maandamano Juni 2025

    Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Kenya, Boniface Mwangi ameachiliwa kwa dhamana baada ya kufunguliwa mashtaka ya kumiliki risasi kinyume cha sheria kuhusiana na madai ya kuhusika kwake katika maandamano hatari dhidi ya serikali yaliyofanyika Juni mwaka huu. Mashitaka hayo...
  6. Stuxnet

    Wanaharakati wa CHADEMA waende Kenya kusikiliza kesi ya Boniface Mwangi ili kulipa fadhila

    Wakati Tanzania ilipomfukuza Boniface Mwangi mwezi Mei 2025, watu wengi walikimbilia kuikosoa, wakiita hatua hiyo ya kidikteta. Lakini sasa, Serikali ya Kenya kupitia taarifa za raia wema imemkamata kwa tuhuma nzito za kusaidia vitendo vya kigaidi wakati wa maandamano ya Juni 25 na ushahidi...
  7. Waufukweni

    Boniface Mwangi akamatwa nyumbani kwake na maafisa wanaodaiwa kuwa wa DCI

    Mwanaharakati Boniface Mwangi adaiwa kukamatwa nyumbani kwake, Courage Base, eneo la Lukenya katika Kaunti ya Machakos na maafisa wanaoaminika kuwa kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI), huku sababu ya kukamatwa kwake bado ikiwa haijafahamika. Afisa Mtendaji Mkuu wa Vocal Africa, Hussein...
  8. Mkalukungone Mwamba

    Agather Atuhaire na Boniface Mwangi Waishtaki Tanzania kwa Unyanyasaji wa Haki za Binadamu, Mahakama ya Afrika Mashariki

    Arusha, Tanzania – 18 Julai 2025: Katika hatua ya kihistoria ya kutetea utawala wa sheria, haki, na haki za binadamu katika Afrika Mashariki, watetezi wawili mashuhuri wa haki za binadamu – Bi. Agather Atuhaire kutoka Uganda na Bw. Boniface Mwangi kutoka Kenya – wakiwa wameandamana na mashirika...
  9. DuaZaMama

    Boniface Mwangi, Aliye Pigwa Risasi Nairobi CBD, yuko katika Uangalizi KNH

    Boniface Mwangi Kariuki, mfanyabiashara wa umri wa miaka 22, ambaye alipigwa risasi kwa umbali mfupi katika CBD ya Nairobi wakati wa maandamano ya Jumanne, yupo katika utaratibu wa kupona Kenyatta National Hospital baada ya kufanyiwa upasuaji uliofanikiwa, anasema baba yake, Jonah Kariuki...
  10. SankaraBoukaka

    PreGE2025 Yawezekana Boniface Mwangi na Agather Atuhaire wakawa waongo, ila Mbunge aliyesema "Walitakiwa warudishwe wakiwa kwenye gesi" kachukuliwa hatua gani?

    Mjadala mkubwa kwa sasa ni habari zinazowahusu Boniface Mwangi kutoka Kenya na Agather Atuhaire kutoka Uganda walipokuwa Tanzania. Wakati serikali ilikanusha madai ya ukiukwaji wa haki zao, baadhi ya raia na mashirika ya kiraia walitilia shaka mazingira ya tukio hilo. Lakini hata kama...
  11. Metronidazole 400mg

    Walichofanyiwa wanaharakati Boniface Mwangi na Agather ni ukatili mkubwa sana uliobeba machungu na hisia za unyonge

    Nimeangalia mkanda wa video wa Boniface Mwangi kutoka Kenya na mwanadada Agather Atuhaire kutoka Uganda. Wanaharakati hawa walikuwa wakielezea maswaibu mazito waliyoyapitia waliposhikiliwa na maafisa wa serikali ya Tanzania. Nikiri kwamba sikumaliza kuuangalia — ulikuwa umebeba machungu...
  12. Mkalukungone Mwamba

    Seneta Nairobi amtaka Ruto aachane na msamaha wa kinafiki, achukue hatua kali dhidi ya Tanzania

    Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna ataka Kenya ichukue hatua kali dhidi ya Tanzania kufuatia madai ya utesaji wa wanaharakati Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna, ametaka serikali ya Kenya ichukue hatua za kisasi dhidi ya Tanzania kufuatia madai ya mateso na ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya...
  13. Waufukweni

    Tanzania yakanusha kuwanyanyasa Kingono Wanaharakati Boniface Mwangi na Agather Atuhaire

    Serikali ya Tanzania imekanusha madai yaliyotolewa na wanaharakati wa Kenya na Uganda, Boniface Mwangi na Agather Atuhaire kuhusu kufanyiwa unyanyasaji wa kingono baada ya kushikiliwa nchini. Akizungumza kwenye mahojiano na DW Kiswahili, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema madai...
  14. W

    Ujasiri wa wakenya kama kina Boniface Mwangi kuanika kudhalilishwa kingono wakirekodiwa ni wa kuigwa, Watanzania kama kina Roma wapo kimya hadi leo

    Inahitaji mtu kuwa jasiri kuongea yaliyokukuta huku ukijua ulirekodiwa video ukiwa uchi huku ukidhalilishwa kingono na kutishiwa video zako kuvuja ukifungua mdomo. Safari ya kuitafuta haki hujaa maumivu na aibu, watanzania wengi huona bora kuficha aibu kuliko kupigania haki.
  15. Parabolic

    PreGE2025 Muliro: Walichosema Mwangi na Atuhaire ni maoni yao

    Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam Jumanne Muliro amejibu madai ya wanaharakati wawili kutoka Uganda, Agather Atuhaire (Uganda na Boniface Mwangi (Kenya) kuwa waliteswa walipokuwa Tanzania, akisema hayo ni maoni yao na kama wana malalamiko waende kushitaki kwenye mamlaka husika...
  16. Sijali

    Ushahidi wa Boniface Mwangi unadhihirisha Tanzania haifuati utawala wa sheria

    Nimetazama ushahidi wa Boniface Mwangi alioutoa kwenye vyombo vya habari vya Kenya akielezea unyama aliyofanyiwa na Polisi wa Tanzania. Natabiri kwamba kesi hii haitaishia kama wanavyowafanyia Watanzania. Tayari reaction ya Wakenya wengi wasema rais Samia asitie mguu Kenya. Ninavyowajua...
  17. Crocodiletooth

    Boniface Mwangi na Agatha wakielezea walivyofanyiwa udhalilishaji wa kingono na Polisi wa Tanzania

    https://www.youtube.com/live/SzOMXx0WhoE NALAANI upotoshaji huu wanaoufanya Hawa chain of activist uchwara! °Uchafuzi wa jina la taifa letu unazidi kuharibika,
  18. Waufukweni

    PreGE2025 Musukuma: Wanaharakati wa Kenya na Uganda mliwarudisha wa nini? Wangepelekwa kulima mashambani

    Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma ameshangaa Mamlaka ya Uhamiaji kuwarudisha Wanaharakati wa Kenya na Uganga nchini kwao, amedai wangepelekwa kulima masmbani. Musukuma amesema vyombo vya ulinzi na usalama vinapaswa kuwashughulikia wanaharakati wa Kenya wanaokuja nchini kufanya majaribio...
  19. W

    PreGE2025 Chama cha wanasheria Afrika Mashariki kimelaani vikali kukamatwa kiholela, kuteswa na kufukuzwa kwa Boniface Mwangi na Agather Atuhaire

    24 Mei, 2025. Arusha, Tanzania Taarifa kutoka Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki kuhusu Kukamatwa, Kuteswa na Kuachiliwa kwa Bw. Boniface Mwangi na Bi. Agather Atuhaire, na Wito wa Kuwajibika Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki (EALS) inalaani vikali kukamatwa kiholela, kuzuiliwa bila...
  20. N

    MAREKANI YADAI kuchunguza ripoti za mateso za mwanaharakati wa Kenya Boniface Mwangi na Agather Atuhaire wa Uganda nchini Tanzania; inataka uchunguzi

    https://nation.africa/kenya/news/africa/us-demands-answers-from-tanzania-on-boniface-mwangi-agather-atuhaire-torture-claims--5055008?fbclid=IwY2xjawKedsVleHRuA2FlbQIxMQABHukqJTQqQdD9M6_P7IAPsxMA2SmVPDulEpTFYPt8dKYcN4gL5jg93slqRle4_aem_Z13cOlvjRQOfJnicy5KMJg
Back
Top Bottom