blogs

  1. Friedrich Nietzsche

    Nini kinasababisha tz blogs za matangazo ya kazi kuwa nyingi?

    Rejea kichwa cha habari Kama ww unafuatilia mambo ya blog utatambua kuna kuibukia au mfumuko mkubwa wa blogging Tanzani!! Lakini zote au asilimia 90 ni za matangazo ya kazi!! Swali la kujiuliza Je sababu ni nini wa kuwa na mfanano wa blog?? -Kwamba za matangazo ya kazi ni rahisi uandishi ( copy...
  2. H

    Rangi nyeupe imekuwa 'too much' kwenye websites nyingi na blogs

    Wataalamu wetu wengi wa hizi website na blogs rangi za screen zao ni black and white. Labda niulize kama ni sheria au lazima kutumia hii rangi ya black and white.Maana kila site unayoiona ni black and white. Kama ni sheria basi tuwekewe kifungu tuone. Pili rangi hiyo ni majanga sana macho...
  3. muafi

    Serikali turekebisiheni Sheria ya Usajili wa Blogs vijana tujiajiri

    Wakati vijana tunajitahidi kupambana na umasikini serikali nayo inazidi kupambana vijana tusitoke kwenye umasikini, Mimi ninataka kufungua blog ya kuwa natangaza mambo mengi ya urembo utanashati nk lakini nashangaa kumiliki blogu na kuisajili hapa nchini ni gharama kubwa mpk kufikia milioni...
  4. Analogia Malenga

    TCRA: Utoaji wa Leseni za Maudhui Mtandaoni umesitishwa hadi Juni 30, 2021

    Mkuu wa TCRA Kanda ya Ziwa, Mhandisi Mihayo akizungumza kwenye Usiku wa Waandishi wa Habari na Wadau wa Habari Kanda ya Ziwa katika ukumbi wa Gold Crest Hotel Jijini Mwanza. Mamlaka ya Mawasiliano ya Tanzania (TCRA) imetangaza kusitisha utoaji wa leseni za Maudhui Mtandaoni kwa muda kuanzia...
  5. FrancisDA

    Kama una ndoto ya kua blogger karibu

    Karibu kwa mtu mwenye ndotonya kua blogger na kumiliki blog tunakufungulia blog ndani ya dakika chache na kwa bei nafuu Mawasilianoi +255628557409
Back
Top Bottom