Katika uzi huu nitakua naweka subwoofers,soundbars,home theater,speakers na radio za brand tofauti tofauti .
Nitakua nauza bei nafuu kuliko mahali popote Tanzania hii
utachagua bidhaa na kuletewa popote ulipo
0614228735
Katika jitihada za medical tourism hizi ni baadhi ya complex medical procedure zitakuwa nafuu Tanzania kuliko sehemu yeyote duniani
Bone marrow transplant
Liver resection
Pancreas resection
lung resection
Coronary Revascularization
Surgical Ventricular Restoration
Septal Myectomy
Thoracic...
Wadau nauza hii simu yangu
Maelezo yake na picha hapo chini
Samsung A34
Storage 128gb
Inakaa na chaji zaidi ya masaa 24 ukiwasha data na mpaka siku 3 bila data
Napatikana Dar es salaam
Namba 0765137266
Bei Tsh 430,000
Nauza vifaa mbalimbali vya electronics kwa bei nafuu
Ila huu uzi nitajikita kwenye freezers na friji za brand tofauti tofauti
Nipo kariakoo ndanda na tandamti
call 0614228735
Whatsapp bonyeza hapa
Free delivery kwa DSM na malipo ni ukishapokea mzigo
Update 🚨🚨
Uzi wa TV pitia hapa...
Wakuu kwema!
Nina mchele mzuri wa kutosha pamoja na maharage ya njano
Mchele
Jumla 2400 tsh kuazia kilo 100
Rejareja 2700 tsh
Maharage
Jumla 3000tsh kuazia kilo 100
Rejareja ni 3400 tsh
Wenye maduka ya rejareja pia tueasiliane
Location nipo Tabata Majichumvi (kwa mkuwa)
Nakuletea popote...
Katika lawama za wachina kuwepo nchini, reference ya watu wengi ni vitu kuwa bei nafuu. Kwa miaka kadhaa watu wamelalama vitu kuwa bei juu inakuwaje sasa watu wanaanza kulaumu vitu kuwa bei nafuu?
Je, wanaolalama vitu bei nafuu ni kwa manufaa ya nani?
Suala la soko la ndani hoja nyingine...
Je, unatafuta bidhaa bora za nyumbani kwa bei nafuu sana? Tunakuletea suluhisho kamili kwa mahitaji yako ya households na furniture! Tunauza bidhaa mbalimbali kama meza, viti, kabati, mapambo ya nyumbani, vifaa vya jikoni, na vingine vingi – vyote kwa bei rafiki unayoweza kumudu.
Kwa nini...
Bado tuna majibu mepesi mepesi na ya kisiasa kuhusu suala la kununua umeme toka Ethiopia. Kwanza tuliwauliza kama sisi tuna transmission losses kubwa kupeleka umeme mikoa ya kaskazini, Ethiopia hawana? Mkajibu kuwa kununua umeme ni sehemu ya kuimarisha usalama wa power supply nchini -...
Kampuni: Honor LED
Watts 3 - 10,000 PC 10
Watts 5 - 12,000 PC 10
Watts 7 - 13,000 PC 10
Watts 9 - 14,000 PC 10
Free Delivery piga : 0614502969
Dar na mikoani
Sajili kampuni yako sasa kwa 350,000
Tutakusaidia usajili
1. Brela utapata cheti haraka
2. TRA makadirio madogo ya kodi
3. Maombi ya leseni
Yote haya kwa 350,000
Kwa mawasiliano zaidi
0765042935 piga/WhatsApp
Nipo Kampala, lakini huenda nikahitaji kufika Rwanda na Burundi.
Naomba taarifa za hivi karibuni juu ya:
1. Hali ya hizo nchi kiusalama (Rwanda na Burundi)
2. Gesti za bei nafuu lakini salama katika miji ya Kigali nchini Rwanda, Bunjumbura nchini Burundi, na Gitega nchini Burundi.
Naamini...
Je, wewe ni mjasiriamali na unajiuliza ni vipi utaongeza ubora wa bidhaa zako na kuongeza mauzo. Leo Digital Sprayer tunalo jibu la maswali yako. Tumekuletea huduma ya uchapaji(printing) na ubunifu(design) wa label za bidhaa za aina zote kwa gharama nafuu na ubora wa hali ya juu.
LABEL NI...
Wewe mkazi wa Dodoma au popote ulipo, kama umekuwa ukiota kumiliki kiwanja Dodoma, sasa ndoto yako inaweza kutimia! Tunakupa fursa ya kipekee ya kumiliki kiwanja kwa bei nafuu na chenye thamani. Wekeza leo kwa faida ya sasa na baadaye.
Viwanja Vinavyopatikana:
1. Kiwanja Karibu na Hospitali ya...
Habari wakuu
Mashine hizi za kisasa za kushona kwa kutumia umeme zinauzwa .
Unaweza kushona mishono zaidi ya ishirini kwa wakati mmoja kwa kadri utakavyopenda wewe.
Bei yake ni Shilingi 200,000/- kwa kila moja.
Mashine zipo Dar Es Salaam ila unaweza kutumiwa popote.
Karibuni
Unapoamua kuingia kwenye ulimwengu wa biashara, zipo changamoto kadhaa ambazo lazima
utakutana nazo katika harakati za utafutaji. Changamoto kubwa zaidi ni kujua wapi pa kupata bidhaa kwa bei ya jumla ili uweze kuuza kwa jumla na rejareja.
Najua, ndugu msomaji wa kitabu
hiki, pengine hata wewe...
Wakuu wa Jamii Forums,
Nina habari njema sana kwa nchi yetu! Tanzania ipo mbioni kupokea huduma za intaneti kupitia satelaiti kutoka kampuni ya Starlink. Hatua hii ni fursa muhimu kwa Watanzania wote, na ni nafasi yetu kutoa maoni yetu chanya kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kuunga...
Hello wapendwa una mtaji mdogo au mkubwa na unataka uanze biashara ya Nguo za mtumba
Then karibu nikuhudumie kwa buku tu kukuelekeza na kukushauri kuhusu biashara ya nguo za mtumba
Za watoto
Za kike
Na kiume
Bei nafuu
Mfano nguo za watoto unapata kwanzia sh 300 , 500 , 1000 wewe tu
Nguo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.