battery

  1. JamiiForums Tanzania Battery Degradation kwenye EV na Hybrid: Sababu, Athari na Jinsi ya Kuongeza Life Span!

    Wakuu, kwema? Leo tuongelee kidogo kuhusu battery degradation za hybrids (HEV na PHEV) na magari ya umeme (EV), especially used tunayonunua kutoka Japan. Ili kuelewa degradation ya hizi battery, tuanze na utangulizi basics wa EV, PHEV na HEV kwa kutumia mifano ya magari maarufu ya hapa...
  2. JamiiForums Tanzania Msikimbilie gari za umeme.. Je mnajua gharama za kubadili battery?

    Bei ya betri za magari yanayotumia umeme (EV) kwa mwaka 2026 inakadiriwa kuwa kati ya TSh milioni 14 na TSh milioni 56 ($5,000 โ€“ $20,000), ikitegemea ukubwa wa gari na uwezo wa betri. Ingawa gharama ya teknolojia ya betri imeshuka hadi kufikia takriban $80โ€“$105 kwa kila kWh, bei ya kubadilisha...
  3. JamiiForums Tanzania Battery and alternator tester

    ๐Ÿ”‹ PIMA BETRI YAKO KWA URAHISI NDANI YA DAKIKA CHACHE! Gari lako linaanza kusumbua kuwaka? Epuka kukwama njiani! โœ”๏ธ Pima hali ya betri papo hapo โœ”๏ธ Angalia kama alternator iko sawa โœ”๏ธ Inaonesha: Nzuri, Kati au Chini โœ”๏ธ Rahisi kutumia kwa kila mtu ๐Ÿ’ก Inafaa kwa magari yote ya 12V ๐Ÿ”ฅ Pata kifaa hiki...
  4. JamiiForums Tanzania Laptop battery

    ##Extend your laptop battery life 1. Use hibernate mode when the laptop will not be used for an extended period. 2. Calibrate the battery periodically by allowing it to discharge and then fully recharge. 3. Limit the number of applications running simultaneously to reduce power consumption...
  5. JamiiForums Tanzania Natafuta battery ya dell computer

    Ni kikompyuta cha zamani dell xps 10.Mwenye kujua wapi naweza kupata battery yake anijuze.Natanguliza shukrani
  6. JamiiForums Tanzania Apk ya kujua afya ya battery ya simu yako (android phones)

    HABARI YAKO. Najua utakua umewahi pitia changamoto kwenye simu yako (Android phones) na kujiuliza sana kua "Mbona simu yangu inawahi kuisha chaji haraka sana?" bila kujua shida ni nini. Kwa upande wa iOS devices ninamaanisha iPhones hua wanakuonesha hali ya afya ya battery yako kwa mfumo wa...
  7. JamiiForums Tanzania Vita ya Teknolojia: Toyota wamegundua injini inayoendeshwq na maji, hamna haja ya battery wala umeme. Maji TU yatosha

    In a move that will shake up the global auto industry, Toyota has just unveiled a water-powered engine powered by hydrogen created through electrolysis โ€” emitting only water vapor! No lithium. No charging stations. Just pure disruption. With this bold move, Toyota isnโ€™t just competing with EVs...
  8. JamiiForums Tanzania Google pixel battery replacement

    Ushindwe wewe karibu ubadilishe betri original za pixel kwa bei nafuu Betri ni original Pixel 3 zote bei 25k Pixel 4 zote bei 40k Pixel 5 bei 40k pixel 6 zote bei 45k Pixel 7 bei 55k Pixel 8 bei 55k Epateletech tupo kukupa kilicho bora Unaweza kuulizq chochote kuhusu simu nitakujibu 0757937196...
  9. JamiiForums Tanzania Tanzania kuzalisha battery ambazo zitajaa kwa mda wa dakika 5 lengo ni kuokoa muda unaotumika kuchaji

    Nikiwa Rais wa Tanzania moja ya mambo tutakayofanya kama nchi ni kuzalisha battery zitakazotumia dakika 5 kujaa na hii itakuwa sio tu battery za simu, bali itajumuisha battery za ndege, helicopter na rockets Fahamu battery ya ndege inatakiwa baada ya km 2000 ndo liishe na lijazwe kwa dakika 5...
  10. JamiiForums Tanzania Tunauza lithium battery

    ๐—ง๐—”๐—œ๐—–๐—ข ๐—ง-๐—ข๐—ป๐—ฒ ๐—ฆ๐Ÿญ๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐Ÿฌ ๐Ÿฑ๐Ÿญ.๐Ÿฎ๐—ฉ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐—”๐—ต ๐Ÿญ๐Ÿฌ.๐Ÿฎ๐Ÿฐ๐—ธ๐—ช๐—ต ๐—Ÿ๐—ถ๐—™๐—ฒ๐—ฃ๐—ข๐Ÿฐ ๐—•๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐˜† โ– ๐—œ๐˜ ๐—ถ๐˜€ ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—น-๐—บ๐—ผ๐˜‚๐—ป๐˜๐—ฒ๐—ฑ โ– ๐—ฆ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐˜ ๐—•๐— ๐—ฆ โ€“ ๐—•๐—ถ๐—ด ๐—ฃ๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐—ฟ ๐Ÿญ๐Ÿฌ๐Ÿฌ/๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐—” โ– ๐—ฆ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐˜ ๐—•๐— ๐—ฆ โ– ๐—ฅ๐—ฒ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐— ๐—ผ๐—ป๐—ถ๐˜๐—ผ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ด โ€“ ๐—ฆ๐—ฒ๐—น๐—ณ-๐—ฑ๐—ฒ๐˜ƒ๐—ฒ๐—น๐—ผ๐—ฝ๐—ฒ๐—ฑ ๐—”๐—ฃ๐—ฃ โ– ๐—œ๐—ป๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐—ฎ๐—ฐ๐˜๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ ๐—ง๐—ผ๐˜‚๐—ฐ๐—ต ๐—ฆ๐—ฐ๐—ฟ๐—ฒ๐—ฒ๐—ป ๐—œ๐—ป๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ๐˜๐—ฒ๐—ฟ ๐—ฐ๐—ผ๐—บ๐—บ๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฐ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป โ– ๐Ÿฒ๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐Ÿฌ ๐—–๐˜†๐—ฐ๐—น๐—ฒ๐˜€ โ– ๐Ÿด๐Ÿฌ% ๐——๐—ข๐—— โ– ๐—Ÿ๐—ถ๐—ณ๐—ฒ๐—ฝ๐—ผ๐Ÿฐ ๐—ฃ๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐—ฟ ๐—ช๐—ฎ๐—น๐—น ๐—Ÿ๐—ถ๐˜๐—ต๐—ถ๐˜‚๐—บ ๐—•๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐˜† ๐Ÿฐ๐Ÿด๐˜ƒ โ– ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐—ฎ๐—ต ๐Ÿญ๐Ÿฌ๐—ธ๐˜„๐—ต ๐—ฃ๐—ผ๐˜„๐—ฒ๐—ฟ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—น...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale INAUZWA RAM 3GB, STORAGE 64GB Battery 5075mAH OALE SMART 9

    IMEUZWA
  12. JamiiForums Tanzania Mgonjwa aishi siku 104 na moyo wa bandia unaoendeshwa kwa battery.

    Mgonjwa ambaye alikuwa anasubiri operation ya kupewa moyo mpya (heart transplant) aliwekewa moyo wa bandia ambao ulimsaidia kuishi siku 104 mpaka pale moyo mpya ulipopatikana na katika tukio la kwanza la aina yake aliweza kuondoka hospitali na kwenda numbani katika kipindi hiko. Moyo huo...
  13. JamiiForums Tanzania THE BATTERY CONNECTION ERROR PLEASE CHECK BATTERY STATUS

    Habarini wakuu naombeni mnisaidie mawazo ya kwanza kuna simu (smartphone?)imechajiwa hapa kwa mpaka imefika 85% galfla imestop yani haiingizi charge kila tukichomeka kwa chaja inaleta tu ujumbe huo juu
  14. JamiiForums Tanzania Hii Radio ilikuwa ukisimama yashika stations zote ukiketi Hazifanyi ...na battery zikiisha Unaskia chwiiih tutuh sound

    Hii Radio ilikuwa ukisimama yashika stations zote ukiketi Hazifanyi ...na battery zikiisha Unaskia chwiiih tutuh sound
  15. JamiiForums Tanzania Simu za Google pixel 4a zimepata ugonjwa wa kufa battery ๐Ÿ”‹

    Google pixel 4a kila mwenye nayo kipindi hiki zinaua betri. Huu ugonjwa ni kama umezilipukia simu za Google pixel 4a Kuuza ni ngumu Na wauzaji wa simu ukiwapelekea kufanya top up wanagoma, wanasema google pixel 4a ikishakufa betri habari imekwisha Ukibadilisha ugonjwa wa kuuwa betri ukitumia...
  16. JamiiForums Tanzania Je, ni kawaida battery kupiga kelele wakati inachaji?

    Hamjamboni wana jf, napenda kujua, je, ni kawaida 'lead acid battery' kupiga kelele kana kwamba inachemka wakati inachajiwa kwa solar panel? Elimu tafadhali
  17. JamiiForums Tanzania Kuna Tesla Model 3 imefikisha kilometa 500,000 na bado iko na original battery inayosoma Battery Health 85%

    Kuna mwamba ameshare Model 3 yake likiwa na odometer ya miles 316,270 ambazo ni sawa na kilometa zaidi ya laki 5. Gari bado ipo kwenye original battery, na imepungua battery kwa asilimia 15 tu tokea iwe mpya. Kwa izo kilometa, kama angekua na gari la engine, linalomtaka afanye oil change...
  18. JamiiForums Tanzania Ukifuatilia, Chawa karibu wote hata darasani walikuwa vilaza, yaani uwezo mdogo, Low battery!

    Mpo wazima! Awe Chawa wa CHADEMA! Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule. Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya kutosha. Hiyo haiwezekani. Fuatilia machawa wote alafu waambie wakupe matokeo Yao ya shuleni...
  19. T

    JamiiForums Tanzania Survey, Supply, Installation, and Commissioning of Back-up Battery Bank and inverter System at The School of St Jude โ€“ Moshono Campus

    Interested parties are hereby invited to tender for the Survey, Supply, Installation, and Commissioning of Battery Bank and Inverter System at the School of St Jude โ€“ Moshono Campus. For more details, see the attached document.
  20. JamiiForums Tanzania Habari nzuri kwa makampuni ya Mabasi: CATL wazindua battery yenye lifespan ya miaka 15!

    Watengenezaji wakubwa wa battery za magari ya umeme CATL jana (tar 13 Sept) wamezindua battery Tectrans Bus Edition kwaajili ya mabasi ya umeme yenye lifespan ya miaka 15 au Kilometa Mil 1.5 na warranty ya miaka 10 au kilometa Million 1. Hii battery ina energy density ya 175 Wh/kg ambayo ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ