bashiru

Ayotomiwa Sherif Dele-Bashiru (born 17 September 1999) is a Nigerian professional footballer who plays as a midfielder for Watford.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Bashiru afanya ziara ya kushtukiza mnada wa Igunga akuta walinzi hawalipwi

    Akiwa safarini kuelekea mkoani Singida, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Bashiru Ally amefanya ziara ya kushtukiza kwenye mnada wa mifugo wa Igunga mkoani Tabora ambapo amebaini changamoto ya aliyekuwa mzabuni wa mnada huo kwa upande wa ulinzi kampuni ya Emma Security kutowalipa wafanyakazi wake.
  2. Nyankurungu2020

    Dkt. Bashiru anapata wapi ujasiri wa kufanya kazi na serikali hii ili hali Polepole haijulikani alipo!

    Dk Bashiru Kakulwa alituaminisha kuwa mmoja wa watu ambao hawataki siasa za kihuni. Nashangaa sana kumuona ameungana na wahuni wa CCM kiasi cha kutokuwa na huzuni juu ya kilichompata Humphrey Polepole. Au ndio amendekeza njaa na kuungana na wahuni? Hyocrites pharisees
  3. DuaZaMama

    PostGE2025 Bashiru Ally: Maridhiano sio kati ya serikali na vyama vya siasa bali wananchi wenyewe

    Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally, amesema kuwa dhana ya maridhiano ya kweli haiwezi kujengwa juu ya makubaliano ya kisiasa pekee, bali lazima iyatokane na wananchi kama msingi wa mamlaka ya nchi...
  4. Mafyangula

    PostGE2025 Dkt. Bashiru: CHADEMA kutoshiriki uchaguzi umechangia kwa kiasi kikubwa Samia kupata ushindi mnono

    Jamani njooni msikilize Bashiru! Kwa mimi nilivyomuelewa kwamba CHADEMA ndio mbabe wao ndio maana CCM imeshinda kwa kishindo!. Ila kajisahau kwamba uchaguzi uliharibika sana! hizo kura za kushinda kishindo zilitoka wapi? ==================== Katibu Mkuu mstaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt...
  5. Ojuolegbha

    PostGE2025 Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiapa Bungeni jijini Dodoma tarehe 12 Novemba, 2

    Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiapa Bungeni jijini Dodoma tarehe 12 Novemba, 2025.
  6. K

    Polepole kutelekezwa na wenzake wakina Bashiru, Butiku na Warioba inasikitisha

    Polepole kutelekezwa na wenzake wakina Bashiru, Butiku na Warioba inasikitisha. Sasa na wenyewe wanaogopa kutekwa! yaani hata kusema kitu kuhusu mtu ambaye Mama yake anaenda kulia mahakamani! Kesho nani atakuwa salama
  7. Sifi Leo

    Profesa Tibaijuka na Masiringi ogeni maji ya moto mlale, mnajisumbua kuzunguka nae huyo sio wenu ni wa akina Bashiru Ally wa CUF

    Leo hii inafanyika mkutano wa HADHARA wa KISIASA pale mleba Proffesa Tibaijuka hakumbukwi hata kupewa mic asalimie kudadeki kila zama na zama zake Yaani mtu kama Masiringi Leo hii hapewi mic kuwatukana alivyozoea hii ni WITO kwao waache kujipendekezaogeni maji mlale CCM ya sasa ni ya Bashiru wa...
  8. K

    Nani mwingine anamuona Dkt. Bashiru kwenye nafasi kubwa sana pengine kurejeshwa kwenye ukatibu Mkuu kiongozi?

    Kwa walio na uwezo wa kuona mambo kwa jicho la tatu wataona Dkt. Bashiru atakuwa kiongozi mkubwa sana wa Taifa na anaweza kurejeshwa kwenye ukatibu Mkuu kiongozi au ukatibu Mkuu wa CCM. Hili ni mara ya pili nalisema juu ya Dkt Bashiru
  9. Mafyangula

    GE2025 Bashiru: Samia amezishinda siasa uzalendo uchwara

    "Umadhubuti wa Chama chetu na hasa umadhubuti wa uongozi wako Dkt. Samia Suluhu Hassan katika vipindi ambavyo dunia imetikiswa, si Tanzania peke yake, tumepigwa na korona, kuna mabadiliko ya tabia nchi, kuna vita ambavyo vinatikisa uchumi wa dunia lakini pia kumezuka siasa za kujitambulisha kwa...
  10. W

    GE2025 Dkt: Bashiru: CCM ndio chama pekee chenye nguvu ya kupambana na Rushwa

    Mratibu wa kampeni wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa mikoa ya Kanda ya Kati, Dk Bashiru Ally, amesema CCM ndio chama pekee chenye uwezo wa kupambana na rushwa na matumizi mabaya ya madaraka. Akizungumza Septemba 21, 2025, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Parking, Nzega Mjini, kwa...
  11. Msanii

    Kauli za Bashiru na Tulia kuwa CCM itatumia dola kubaki madarakani zimefafanuliwa na Humphrey Polepole

    Great Thinkers. Leo tunashuhudia Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA akishtakiwa kwa kosa asilotenda la Uhaini. Sote yaani sisi raia na mpaka wanaomshtaki wanajua Lisu hajatenda wala kuthubutu kuwa mhaini. Bila kuzunguka sana, naenda kwenye hoja yangu. Kwa nyakati tofauti, viongozi waandamizi wa...
  12. Carlos The Jackal

    Dkt. Bashiru, usomapo andiko hili mara moja hapo Msibani kwa Ndugai, chukua hatua mara moja za kulinda uhai wako

    Mzee, wewe ni moja ya watu muhimu sana waliobakia katika taifa hili tunapozungumzia suala la uzalendo. Nimekuona hapo msibani kwa Ndugai, nashindwa kukutumia ujumbe wa SMS kupitia simu yako. Jambo unalotakiwa kulizingatia sana sana: wanamtandao wamemtafuta Ndugai ili kuwapata wengine, kama...
  13. Mmawia

    Bashiru: Tutatumia sana dola kubaki Madarakani ilimradi kwa mujibu wa Katiba, Sheria na kwa Maendeleo ya wananchi

    Naomba tumsikilize ndugu Bashiru Ally aliyekuwa kwenye utawala wa hayati Magufuli. Anadai chama chochote kilichopo madarakani ili kiondoke madarakani basi kimependa chenyewe maana kina faida nyingi sana za kukifanya kubakia madarakani. Kwa maana hii basi ccm itatawala milele labda aje kiongozi...
  14. F

    Polepole na Bashiru hawakulelewa na CCM !

    Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!! Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli! Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo. Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi...
  15. Knock life

    Baada ya Bunge kuvunjwa rasmi, Je Dkt. Bashiru Ally anarudi UDSM kufundisha siasa na kuishi kwake pale Ubungo Maziwa?

    Bashiru Ally Kakurwa sijamuona akichukua Form Na sioni Kama akiteuliwa tena kwa Sababu alipopewa nafasi ya kutawala kosa kubwa alilofanya alitumia nguvu kubwa kutengeneza maadui . Je, atarudi Ubungo Maziwa na Udsm kuendelea kufundisha political science. Ushauri, mitaala imebadika kwa hiyo...
  16. and 998 others

    Dkt. Bashiru, Dkt. Chamuriho & Prof. Manya mbona hawajachukua Fomu za Ubunge 2025-30? Au wanasubiri tena Uteuzi?

    Wasomi wetu hawa (PhD holders) walipata bahati ya kuteuliwa Ubunge kwa zile Nafasi kumi (10) za Mheshimiwa. Sasa zoezi la kuchukua Fomu limepita na wao wapo kimya! Kulikoni?
  17. Fbn

    Picha ya mbunge bashiru bungeni inaweza kutupa nini kilichopo bungeni

    Hapa ndio ufahamu kuwa CCM imejaza vilaza na propaganda zao. Bungeni unaweza kuona mpita njia anauliza mpita njia kuwa na wewe unapita.
  18. DR HAYA LAND

    Sura ya Bashiru Ally Kakurwa inazungumza mambo mengi sana !

    Sura huwa inazungumza. Ukimtazama Bashiru Anafikiria alivyoharibu demokrasia kuhasisi mambo ya kupita bila kupingwa Anafikiria ule mchakato wake wa wabunge na madiwani wa chadema kuhama na kuunga mkono juhudi. Na anafikiria je agombee ubunge pale Bukoba vijjini je atatoboa ? Wabunge wa ccm...
  19. Now and then

    Yote haya aliyaleta Bashiru Ally Kakurwa

    Mambo ya kupita bila kupingwa . Kununua wapinzani . Kuvuruga uchaguzi . Ni Kazi kubwa ya Bashiru Ally Kakurwa.
Back
Top Bottom