baraza la maaskofu katoliki tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Heparin

    PostGE2025 TEC: Maandamano yaliyotokea nchini chanzo ni ukosefu wa demokrasia ya kweli na usalama, wasiojulikana, utekaji pamoja na kupotea na kuumizwa kwa watu

    Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) limesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 imeliingiza Taifa katika hali ya maandamano yaliyozaa vifo, watu kujeruhiwa, kupotea na uharibifu wa mali, hali ambayo imepelekea Taifa kuwa kwenye masononeko, na maumivu kwani wapo walioawa na kuumizwa...
  2. Nipe Maji

    SI KWELI Baraza la Maaskofu limetoa wito wa amani kuelekea uchaguzi mkuu

  3. Heparin

    Yaliyotokea kwa Katibu Mkuu wa TEC, Fr. Raymond Saba enzi za Magufuli yanataka kutokea kwa Katibu wa sasa Fr. Kitima?

    Tarehe 14/2/2018 Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) walitoa Waraka uliokuwa maalumu kwa ajili ya Kwaresima na Sikukuu ya Pasaka. Waraka huo ulisainiwa na Maaskofu 35 toka Tanzania nzima ulikuwa na ujumbe mkali dhidi ya serikali hasa kuhusu uchaguzi na vyama vya upinzani kunyima haki ya kikatiba...
  4. Influenza

    Maaskofu Katoliki: Tunu yetu ya amani nchini imeshambuliwa kutokana na matukio ya watu kutekwa na kuuawa ya hivi karibuni

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limelaani matukio ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini na kuvitaka vyombo vya dola kutimiza wajibu wake ipasavyo, ili kurudisha heshima ya Tanzania iliyozoeleka ya kuwa ni kisiwa cha amani. Mbali na hilo, maaskofu hao wamesema viongozi waliopo...
  5. Beira Boy

    Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima

    Amani iwe nanyi wana wa MUNGU Leo nikifatilia kongamano la Ekaristi takatifu nimemuona baba Padre Kitima akiwapandisha madhabahuni katibu mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika na Makamu Nwenyekiti wa CHADEMA-Bara, Tundu Lissu. Tuendelee kuliombea amani taifa...
  6. Mau Mau

    Ukimya wa Baraza la Maaskofu TEC juu Paroko na Mauaji ya Albino unaashiria nini?

    Sio kawaida Na hasa Kwa tukio gumu la kinyama Na kufedhehesha tena likimuhusisha anayetajwa kuwa ni Padre wa Kanisa Katoliki huko MKOANI Kagera. TAARIFA Mbao zimekuwa nyingi sana Kanisa linawajibika kuweka Sawa hali halisi ilivo. PIA SOMA - Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko...
  7. MsemajiUkweli

    Hakuna mwanasiasa/Rais aliweza kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na akashinda!

    Kwa wajuzi wa historia ya Tanzania wameishajua kuwa Tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) la kuhusu mkataba baina ya serikali ya Tanganyika AKA Tanzania na DP World ni kaa la moto mkali ambao unazidi kumchoma vikali muhusika mkuu na chama chake mpaka watakapokufa kisiasa mapema...
  8. Q

    Waraka: Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) latoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona nchini

Back
Top Bottom