bajeti 2026/2027

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Bajeti 2026/2027 ni ya uongo ina lengo la kumtumbukiza Mtanzania kwenye umaskini, haijaweka fungu la Katiba mpya

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 10, 2026, amesema Kamati kuu ya Chama imepitia Bajeti kuu ya serikali ya mwaka 2026/2027 na kwamba haikisi maisha halisi ya Mtanzania, pia haijaweka fungu la gharama ya Katiba...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Je, serikali kupandisha kodi kwenye KAMALI ni njia sahihi ya kusaidia kijana kuondokana na uraibu wa kubeti?

    Waziri wa Fedha, Balozi Khamisi Mussa Omar amesema Serikali inapendekeza kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha asilimia 5 kwenye thamani ya dau la kamari (gaming) linalochezwa kupitia michezo ya kubashiri ya ardhini au mtandaoni, michezo ya kasino ya ardhini au mtandaoni, mashine za sloti...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Fedha: Serikali inatarajia kukopa jumla ya shilingi trilioni 15.54

    Waziri wa fedha, Balozi Khamis Mussa Omar akiwasilisha hotuba ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 amesema ..... Serikali inatarajia kukopa jumla ya shilingi trilioni 15.54. Kati ya kiasi hicho, mikopo ya ndani ni shilingi trilioni 6.56, mikopo ya nje yenye masharti nafuu...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Fedha-Khamis: NIDA kuanza kutoza Tsh. 1,000 kwa Wananchi wanaohitaji Nakala ya Taarifa zao

    Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, akiwasilisha Mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 bungeni leo, ametangaza mabadiliko makubwa katika utoaji wa huduma za Mamlaka ya Usajili na Utambuzi wa Watu (NIDA), ikiwemo kuanza kutoza ada kwa wananchi na taasisi...
  5. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Fedha: Napendekeza Gari au trela zilizosajiliwa Zanzibar kufanya kazi Tanzania bara ili kutatua changamoto baina ya pande mbili

    Waziri wa fedha, Balozi Khamis Mussa Omar akiwasilisha hotuba ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 amesema ..... Ninapendekezwa kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani, Sura 168 ili kuruhusu gari au trela iliyosajiliwa kwa mujibu wa sheria za usajili za Tanzania...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Fedha: Serikali kupunguza ushuru wa forodha kutoka 25% hadi 10% kwenye magari yanayotumia nishati ya umeme

    Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2026/27, serikali inapendekeza kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye vifaa vitakavyotumika katika vituo vya kuchaji magari yanayotumia umeme vinavyoingizwa nchini na kutambulika kwa HS Code 8504.00 Ambapo Katika...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo ya Serikali ili kupunguza matumizi ya fedha taslimu katika mwaka 2026/27

    Ili kupunguza matumizi ya fedha taslimu katika mwaka 2026/27 inapendekezwa kufanya maboresho yafuatayo: Kuweka sharti la baadhi ya malipo ya huduma na biashara kufanyika kwa njia za kidijitali kama ilivyoainishwa katika Aya Na. 61; Kusitisha usambazaji na matumizi ya vocha za kukwangua za muda...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Fedha Khamis Mussa: Serikali Kuvutia Uwekezaji Zaidi Kupanua Wigo wa Kodi

    Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2026/27, serikali itaendelea kutekeleza Mkakati wa Ukusanyaji wa Mapato wa Muda wa Kati wa 2025/26–2027/28 kwa kuchukua hatua mbalimbali za kuimarisha ukusanyaji wa mapato. Amesema miongoni mwa hatua hizo ni kuvutia uwekezaji...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Fedha: Misaada kutoka nje imeendelea kupungua mwaka hadi mwaka, haiwezi kuwa chanzo cha kuaminika cha mapato katika utekelezaji wa Bajeti

    Waziri wa fedha, Balozi Khamis Mussa Omar akiwasilisha hotuba ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 amesema ..... "...mkakati wa kuongeza mapato. Mheshimiwa Spika, takwimu za miaka ya karibuni zinaonesha kuwa misaada kutoka nje imeendelea kupungua mwaka hadi mwaka na hivyo...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Fedha: Bajeti hii imeandaliwa kwa kuzingatia miongozo ya kitaifa, kikanda na kimataifa

    Waziri wa fedha, Balozi Khamis Mussa Omar akiwasilisha hotuba ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 amesema ..... Bajeti ya 2026/2027 ni ya kwanza katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050. Bajeti hii imeandaliwa kwa kuzingatia miongozo ya kitaifa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaomba Tsh Bilioni 525.3 kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya wizara mwaka wa fedha 2026/2027

    Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo yaomba Tsh Bilioni 525,327,857,000 kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Pia soma Didier Drogba atinga bungeni kushuhudia uwasilishwaji wa bajeti ya Wizara ya Habari Mchanganuo 1. Tsh Bilioni 39,071,597,000 kwa...
Back
Top Bottom