baby mama

A baby mama (or baby momma, also baby mother) is a slang term for a mother who is not married to her child's father, although the term often carries other connotations as well. This term is associated with African Americans originally, coming from Jamaican Creole and finding its way into hip-hop music.
The equivalent term for a male is baby daddy (or baby father), but it is not used as frequently.

View More On Wikipedia.org
  1. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo mkeo ni baby mama wa mwanaume mwingine?

    Imagine kuunga tela kwenye familia ya mwanaume mwingine wakati unaweza kuanzisha familia yako Kwanini ujiingize kwenye Mgogoro usiokuhusu? Una haraka sana ya kuoa? Umekosa mwanamks wa kuanza nae mechi 0-0? Imagine wakati lile bao la mimba linaingia mkeo alivyomshikilia baba mtoto kwa nguvu ili...
  2. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Boss wa mke wangu ana moyo wa utu sana

    Leo niliitikia wito wakwenda ofisini kwa mke wangu kuonana na boss wake kwaajili ya mazungumzo! Nimefika tumezungumza mambo mengi sana Kubwa zaidi boss wake kasema nimruhusu mke wangu ampangie nyumba karibu na kazini ili awe anapata muda wakupumzika mapema nakufanya kazi zaidi maana ilikuwa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Haya mambo ya Co - Parenting, Baby mama, Baby Daddy yanavuruga malezi, badala ya wazazi kulea mtoto, wanashindana kupata attention ya mtoto

    Katika baadhi ya familia, baada ya wazazi kutengana au kutoshirikiana moja kwa moja katika ndoa, huibuka mifumo ya malezi kama co-parenting, au mtoto kubaki na mzazi mmoja huku mwingine akihusika kwa zamu au kwa mipango maalum ya kumlea mtoto. Kwa mtazamo wa kitaalamu wa malezi, changamoto...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Aliyezaa na bwana harusi aharibu harusi ya mwenzie kwa kupeleka mtoto aliyezaa na mwanaume huyo

    Kila kitu kilienda kama kilivyo kua kimepangwa mpaka pale mama moja lie zalishwa na bwana harusi alivo leta mtoto wa bwana harusi kama zawadi ya harusi kwa bibi na buana harusi. Wanawake wengi kujilegeza kwa wanaume wa wazalishe ili wa olewe, ila wengi kugonga mwamba na kubaki kama singo maza...
Back
Top Bottom